Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

nabuy nikaambiwa bidhaa haiuzwi tanzania
Ndio sababu ipo hii huduma ya BUY4ME na kuna hii thread ya manunuzi hapa JF. Fuata muongozo post ya kwanza. Then inbox kwa kukamilisha malipo Kwangu, na manunuzi yatafanyika ASAP.
nikubuy mzigo
Mimi mndio mfanya manunuzi na kusafirisha hadi nchini
utafikaje mkononi kwangu?
Nimetoa ufafanuzi posti #1
  • Iwao uo mkoani utatumiwa kwa EMS au njia ya gari (Basi za mkoa)
  • Kama upo dar kuna otion mbili

#1. Ufanyiwe delivery gharama kwa gharama yako. au
#2. Utapewa maelekezo uufuate mzigo.
 
Ok ngoja nikufate huko
 
Ni jambo zuri ila kuna mchafuzi wa hali ya hewa anaitwa Mwigulu akishajua anatumbukiza makato chonganishi ili tushindwe kukomboa mizigo
 
Iwapo kutakuwa na charges zingine Toka kwa shipping agent baada ya mzigo kufika utajulishwa na utawajibika kulipia.
Zingine Zipi hizo?
==
Angalia hiki kielelezo

- Iwapo mzigo umekuja kwa ndege, hizi charges #1, #3 na #4 zitahusika.
==
Na iwapo mzigo umekuja kwa njia ya maji ( Sea shipping ) basi huwa kuna charges zingine ambazo huongezeka na mchanganuo wake hutegemea mzigo husika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…