Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
View attachment 2466763
- Baadhi ya wauzaji, hutoa punguzo katika bei zao.
- Punguzo hufikia hadi asilimia 60 ya bei ya awali.
- Ni kawaida kwa msimu wa sikukuu kwa website nyingi za kibiashara kama ebay, amazon, aliexpress n.k
Kiasi cha kulipia | TZS 155,550Club de Nuit Intense by Armaf 3.6 oz EDT Cologne for Men New In Box | eBay
Club de Nuit Intense by Armaf 3.6 oz EDT Cologne for Men New In Box.www.ebay.com
Tazama hapa kaka afu nipe maelekezo ya jumla
hivi bei inaposoma hivi inakuwa haina makato mengine i mean mzigo ukifika inakuwa na all taxes includedKiasi cha kulipia | TZS 155,550
Itatoka Dubai
Link iyakayotimika ni hii | https://ebay.to/3vxpXMw
Delivery | Kabla ya Jan 23 mzigo utakuwa nchini.
Hapana, Hiyo niliyoandika ni gharama ya manunuzi +kusafirisha + handling Chargesall taxes included
Mkuu hivi mzigo ukitoka huko kuja kufika Tz(wasafirishaji ni DHL) inachukua siku ngapi mzigo kukufikia mkononi baada ya kuanza Clearance?Hapana, Hiyo niliyoandika ni gharama ya manunuzi +kusafirisha + handling Charges
- Manunuuzi nje ya nchi | Yaweza kuwa USA , Japan au China.
- Kodi ni hapa nchini | Baada ya mzigo kufika, na kukaguliwa invoice value yake.
Asante Boss!Siku 7 hadi 14 | Toka nje ya nchi hadi Tanzania
Siku 3 hadi 5 | hapa nchini | taratibu za clearance kukamilika | kukufikishia mkononi.
Ndio inawezekana.kuagiza bidhaa moja toka alibaba ikiwa nimeikosa ali express
Mtu anaweza kuhitaji kitu halafu akupatie hela za kununulia hizo process zote uzifanye wewe mhitaji umpatie tu inawezekana?
Ndio, inawezekana,uzifanye wewe mhitaji umpatie tu inawezekana?
OK asnate kuna simu nitahitaji naogopa kununua dar nikauziwa muwa(fake) kwa gharama kubwa ni bora nikufuate wewe.mm sipo Tanzania.Ndio, inawezekana,
na ndio lengo hasa la hii thread.
Unachotakiwa kufanya
1. Nipe taarifa za bidhaa unayohitaji.
2. Nitakupa Jumla ya gharama | Manunuzi + Kusafirisha + Handling Charges
3. Utalipia na kusubiria ifike ili ukabidhiwe..
Taratibu zingine zote kuhakikisha mzigo unakufikia ni jukumu langu.
Muhimu: Iwapo bidhaa uliyoagiza toka nje ya nchi, ikadaiwa Kodi baada ya kufikishwa hapa nchini , Basi nitakujulisha na utalipia kodi husika, Ila 'still' inabakia kuwa ni jukumu langu kufuatilia Taratibu za clearance hapa nchini..
Karibu