BABUU ISAKI RITTE
Senior Member
- Jan 20, 2024
- 198
- 195
Mkuu Teacher SAMSUNG S10+ Plus nitaipata kwa bei gani?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TZS. 43,512Nahitaji kama hii ya Oppo watt80 View attachment 2953816
Mkuu hii inajumuisha gharama zote hadi mzigo unafika mkononi mwangu?TZS. 43,512
Shukran sana mkuu,nko Dar bas naomba unielekeze namna ya kufanya malipo hayoSAhihi, iwapo unapatikana Dar, kama upo mkoani kuna gharama ya kutuma kwa basi / EMS kulingana na malekezo yako baada ya mzigo kufika nchini.
Fungua alibaba.com , tafuta item husika, kisha nipe link yake na nitafanikisha kuitoa china na kukufikishia mahala ulipoNahitaji water pumps za diesel inch 3-4 pamoja na walking tractor aka powertiller
Mwl.RCT nahitaji kujua jinsi ya kuagiza na kulipia bidhaa kupitia Alibaba. Na process gani zinatakiwa nizifanye mpk niipate bidhaa yangu hapa Tanzania
Mkuu bado??View attachment 2953712
Nitakujulisha next week.
@Mwl.RCTNatamani kuagiza sex toys , hii biashara ni halal hapa bongo? Maana naona inafanywa kwa kificho haswa. Ila naiona fursa yake. Je unaweza kuniagizia?
Tatizo lawa china waongo sana Engine ya 1NZ eti brand new $540,bei ya hii Engine mpya siochini ya dolla $7,000 ningumu kumuamini seller kama huyu,Mkuu naomba niangalizie mpaka kushika mkononi sh ngap