Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

 
Hata mm nina shida na vitabu kadhaa...sasa link zake unazipataje mana natumia App ya Amazon Shopping
Screenshot picha ya kitabu
au
Nipe jina la kitabu na mwandishi, then nitafanyia kazi.
 
Vitabu havina kodi,
Asante kwa jibu lako zuri. Je nikimumua vitabu kama 10 hivi napo pia hakuna kodi ama kimoja ndo hakina kodi? Mana unaweza kununua kama vitabu 10 ama 15 alafu wakasema unanunua kwa ajili ya biashara ili wakukate. Ufafanuzi apo
 
Screenshot picha ya kitabu
au
Nipe jina la kitabu na mwandishi, then nitafanyia kazi.
Nina list vitabu ninavyovihitaji. Ndo mana nikauliza kwanza.. kingine mfano naona kwenye amazon wanasema buy new from lets say dola 1, lakin price list inaenda mpk lets say dola 50....
so hapo unasemaje icho cha dola 1 kinaweza kuwa sawa na dola 50? N.B hapo kwa mujibu wa description vyote ni NEW.
kingine ile PRIME wanasema free shipping ama dola 13 . Nieleweshe hapo
 
Screenshot picha ya kitabu
au
Nipe jina la kitabu na mwandishi, then nitafanyia kazi.
Kingine hapo kwnye new and used ni kuna tofauti kubwa kuanza bei ndogo hadi bei kubwa kuliko ma vyote wanasema ni new...sasa hapa inakuaje mana wengi wanaamini kua bei kubwa mdo bora zaidi na quality
 
Asante kwa jibu lako zuri. Je nikimumua vitabu kama 10 hivi napo pia hakuna kodi ama kimoja ndo hakina kodi? Mana unaweza kununua kama vitabu 10 ama 15 alafu wakasema unanunua kwa ajili ya biashara ili wakukate. Ufafanuzi apo
Tutapata ufafanuzi zaidi toka mamlaka husika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…