- Kwa bei ya USD 19.99 ni kwa chupa zote tatu(3), Ambapo item itapokelewa NY (Free Shipping) kabla ya kutmwa Tanzania kwa ghalama itokanayo na uzito.Ni moja au hizo tatu zote?
Maana 19.99$ to 125,080 Tzs sijaelewa mkuu
Je iwe ya GB ngapiUsed Original Unlocked Apple iPhone 6S Plus Smartphone 5.5" 16/64GB ROM 2GB RAM 4G LTE Mobile Phone
Used Original Unlocked Apple iPhone 6S Plus Smartphone 5.5" 16/64GB ROM 2GB RAM 4G LTE Mobile Phone-in Mobile Phones from Cellphones & Telecommunications on Aliexpress.com | Alibaba Group
(from AliExpress Android)
Hii kufika itakuwa na bei gani
128 gbJe iwe ya GB ngapi
View attachment 677657
TZS 423,620Mwalimu i need this.. Please give me quotation
Crucial MX300 525GB M.2 Type 2280SS Internal SSD CT9676247 | Aspire E5-575G | Crucial.com
Ukiingia kwenye site ipi?Mkuu mm nikiingia huko
Unachotakiwa kufanya, kulingana na hii thread, ni wewe kunipatiawananiletea kulipia kwa paypal or mastercard na mwisho nafeli sipati wala sigiwi smu
Hii tuataagiza toka UK.
Zipo mpya na zilizotumika.
ILIYOTUMIKA
View attachment 664406
KWA MPYA
View attachment 664407
Je hitaji lako ni ipi?
- Iliyotumika au mpya
- Nijulishe ili nikupe ghalama ya kuifikisha Dar.
- Itachukua wiki 2 hadi 3 kufika
mzigo huo mkuuUkiingia kwenye site ipi?
Unachotakiwa kufanya, kulingana na hii thread, ni wewe kunipatia
- Link ya bidhaa unayotaka
- Nitakupa ghalama kwa TZS
- Utalipia kwa utaratibu nitakao kupa.
- Nitakamilisha muamala kwenye site husika
- Na utasubiri mzigo wako ufike nchini
KARIBU
Hiyo bei ikiwa mpyaView attachment 680394
Mzigo utakufikia kwa TZS 2,275,040
Hiyo bei mkuu nimeshindwa . vip hawa xiasom wanatablet au simu za bei kidog nafuuSahihi kabisa,
Ni mpya wewe ndiye mtumiaji wa kwanza
Xiaomi bidhaa zao (Tablet na PC) ni aghali sana, ni kama vile ilivyo kwa product za apple.Hiyo bei mkuu nimeshindwa . vip hawa xiasom wanatablet au simu za bei kidog nafuu