Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Kwa hizi simu za XIAOMI ni vyema ukaangalia kwenye site za china direct kama
- aliexpress
- banggood etl

Sababu
- Amazon ipo soko kundi B
- Njia ya usafirishaji kuja TZ ni kupitia DHL ambayo ni ghalama kubwa USD22 zaidi, wakati kwa aliexpress standard shipping huwa chini ya dola 10.
- Hivyo kwa amazon unaongeza ghalama badala ya kupunguza, hata kama utaipata kwa bei ya chini.
 
Mkuu Hebu niambie hii mpaka niipate Kiasi gani kitangharimu??
Code:
https://www.amazon.com/Casio-CTK2400-61-Portable-Keyboard/dp/B00JZEW3KC/ref=pd_sbs_267_2?_encoding=UTF8&pd_rd_i=B00JZEW3KC&pd_rd_r=MGG3NBDCEQS4KZ04FSEZ&pd_rd_w=5hEJK&pd_rd_wg=GKWg6&psc=1&refRID=MGG3NBDCEQS4KZ04FSEZ
 
TZS 636,645.06
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…