Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Mwl.RCT nini maana ya Bid coz ukiingia ebay ukachagua bidhaa wanaleta current bid au starting bid
 
Mwl.RCT nini maana ya Bid coz ukiingia ebay ukachagua bidhaa wanaleta current bid au starting bid
Neno BID hutumika kwa bidhaa zilizo kwenye mnada.

Ambapo bei huanzia chini (starting Bid), na kupanda kadri dau la mnunuzi linavyopanda,

Hivyo ili ushinde manunuzi inatakiwa uweke dau kubwa zaidi ambapo hakuna mnunuzi mwingine wa kuweza kufikia hiko kiwango ndani ya muda wa muda kwisha.

Utafutapo bidhaa EBAY tafuta zile zenye kipengele cha BUY IT NOW
 
Shukran mkuu
 
Nataka niagize iphone SE used nimeiona ebay inauzwa 98.80USD
 
TZS 33,894
TZS 70,209

Angalizo kuhusu muda wa delivery
- Ebay economy/ standard shipping huchukua muda mrefu, zaidi ya wiki nne kwa mzigo toka HongKong.

Ufumbuzi
- Ni vyema ukatumia ALIEXPRESS
- Kwa aliexpress standard shipping huchukua kati ya siku 14 hadi 21 kwa mzigo kufika; Japokuwa ghalama kidogo inaongezeka.

Karibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…