Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
- Thread starter
- #981
Hatua ya kwanza: NIPE LINK YA ITEM HUSIKANaomba bei mpaka naipata mkonon ni tsh ngapi,mazabodi ya Mac book pro core i7
Hatua ya pili: NITAKUPA GHALAMA KWA TZS
Hatua ya Tatu: UTAFANYA MALIPO
Hatua ya Nne: MANUNUZI YATAFANYIKA NA UTHIBITISHO UNAPEWA
Hatua ya Tano: Ni kusubiri mzigo ufike TZ
Hatua ya Sita:
- Utapewa taarifa baada ya mzigo kufika - kwa kupigiwa simu
- Utafanyika utaratibu wa wewe kuja kuchukua DSM au kutumiwa kwa EMS kama upo nje ya DAR
- NB: Iwapo mamlaka husika itaushikiria mzigo wako na kutakiwa kulipia KODI / VAT utapewa taarifa, UWE TAYARI KULIPIA kodi/ vat.
KARIBU