Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Habari mkuu...natafuta display ya samsung galaxy s6 edge plus. Naomba bei na muda mpaka kufika Tz
Muda: Ndani ya wiki Tatu
Bei: TZS 333,900 Ref: https://bit.ly/2xBaCNp
1537764903827.png
 
Muhimu
ANGALIZO

1. Usifanye malipo yeyote bila kuwasiliana nami kwanza, Kwa njia mojawapo ya mawasiliano tajwa hapo juu.

2. Haito tokea kupigiwa simu, au kuandikiwa ujumbe mfupi, kuwa fanya malipo kwenda namba Fulani ya simu.

3. Hakuna malipo yeyote yatakayofanyika kwa fedha taslimu kwa kukabidhiana mkononi.

4. Malipo yote ya fedha yatafanyika kwa utaratibu uliowekwa hapo juu.

5. Miongoni mwetu kuna wenye uoga na mawazo ya kuibiwa/ kutapeliwa pindi lijapo swala la fedha na swala zima la manunuzi mtandaoni.

Yaani kutuma fedha kwa mtu usie mfahumu/ kumuona/ asiye na ofisi mahala ulipo.
Na hujibainisha kwa haya maswali Ofisi yako iko wapi? , Uko wapi nataka nikukabidhi fedha mkononi au nataka tuandikishiane!

- ONDOA shaka, kwa kufuata taratibu zilizo ainishwa hapo juu, uko salama, Na bidhaa yako AU huduma utakayolipia utaipata.

- Iwapo UNA SWALI, PENDEKEZO au USHAURI wasiliana namI au andika kwenye hii thread.

KARIBU
 
Kaka nina simu ya batani aina ya nokia x2-02. Ina miaka 7 sasa. Naipenda sana na ipo vizur. Tatizo ni housing yake kwa ujumla imeharibika sana. Bat@an zinajitokea tu lakin cm nado inauwezo. Nimetafuta housing yake lakin cjapata. Je kwa nje naweza pata kwa sh ngapi? Picha hii hapa
101_3f435b37-2ce5-4d5e-85b0-2497517d8f67_grande.jpg
Screenshot_20180926-143959.jpg
 
TZS 62,010

JE IWE RANGI IPI?
Black... Gharama itaongezeka kiasi gani mpaka mzigo kunifikia dodoma
TZS 20,000 ghalama ya EMS

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipatie mawasiliano yako
View attachment 859231
Manunuzi yalifanyika
Tusubirie tracking number ndani ya siku chache

Ahsante
Shukrani sana mwl rct mzigo umenifikia na nimeupata ukiwa salama kabisa... pongezi kwako kwa huduma bora unazooendelea kuzitoa.. na ubarikiw,,, nimeokoa pesa nyingi sana.
 
Jamani nmefurahi sana. Leo nmepata kifaa changu Kutoka USA. Namshukuru sana mwal RCT.nliagiza Eko core digital stethoscope na malipo yote nlifanya pasipo kuonana nae. Na leo pia nmemtuma mtu ambaye ameniletea home.
Kwa huduma hii,mwal RCT utaendelea kunisaidia hata huduma nyingine Kama kulipia baadhi ya bills zinazohitaji credit cards/paypal
 
Leo nmepata kifaa changu Kutoka USA. Namshukuru sana mwal RCT.nliagiza Eko core digital stethoscope
1538587821952.png

Ahsante kwa mrejesho.
- Manunuzi yalifanyika tarehe 23.
- Estimated delivery ilikuwa ndani ya siku 14.
- Mzigo umefika mapema zaidi.
Kwa huduma hii,mwal RCT utaendelea kunisaidia hata huduma nyingine Kama kulipia baadhi ya bills zinazohitaji credit cards/paypal
Usisite kuwasiliana nami.
Karibu.
 
Mwl mwenzangu!!
msaada wako Kaka!!
Sina idea ya any online buying,lakin nahitaji vitu vifuatavyo.

MASHINE ya kukandia ngano.
MASHINE ya kupikia chapati.
Vyombo mbali mbali vya catering like serving dishes,glasses,vijiko

Pia outdoor furnitures!!

Natakiwa kufanya process gani before kuja kwako?
TAFADHALI nisaidie
 
Back
Top Bottom