Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Shukuran mkuu! vipi kuhusu kodi na gharama zingine km usafri hadi kuipata Au nikitoa hiyo nakuwa nimemaliza kila kitu
Hawana toleo lenye HDD hizo
Wana SSD za 128GB na 256GB

Xiaomi Mi Notebook Air: full specifications about laptop, reviews, photo | Xiaomi-Mi.com

View attachment 938684
Xiaomi Mi Notebook

15.6 Inch
i5-8250U Quad Core 8G/256GB - TZS 2,409,600

13.3 Inch
i5-7200U Dual Core 8G/256GB - TZS 2,316,000

- Ni laptop bora, ambazo kwa ubora utalinganisha na MS surface laptop au Laptop za kampuni ya apple.
 
kodi na gharama zingine
- Computer & computer parts hazina kodi,
- Bali kuna VAT asilimia 18 (18% )

Ghalama zingine
- Clearance & Handling charges za kampuni husika ni TZS 120,000
 
Ghalama: TZS 991,200
Muda: Wiki Tatu (3)
Njia ya malipo: Mobile Banking
Mawasiliano: Kwenye post ya kwanza

KARIBU
Naomba bei kwa simu moja 32gb au 64 gb ili nione cha kufanya mahitaji ni simu moja na sio zote kwa pamoja.
Asante kwa huduma.
 
1542630147148.png


TZS 2,284,830
Muda: Ndani ya siku 14
 
Mwalimu kwanza nashukuru kwa elimu nzuri ambayo umekuwa ukiitoa hapa jf.mm kwa upande nltaka kuagiza simu ya kampuni ya Xiaomi bajet yangu ni 350k yenye ubora wa camera 13 mp storage yake iwe 4gb RAM 64gb msaada please
 
Mkuu nipe bei ya xiaomi redmin note 4 ( 3GB RAM, 16GB storage) .
Oppo f3
 
Mkuu nimeiona xiaomi note 5 4gb 64 kwenye gearbest vp kwa $159.9 unaweza kunisaidia kuipata hii?
 
Back
Top Bottom