Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Nahitaji safety boot kama hizo za uturuki naweza pata
1702811780738.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_2023-12-18-13-11-05-476_com.whatsapp.w4b.jpg
    Screenshot_2023-12-18-13-11-05-476_com.whatsapp.w4b.jpg
    21.9 KB · Views: 15
hapo mpka inanifikia au kuna zingine kiongoz
- Hapo ni gharama ya Kununua + Kufikisha Tanzania

Ghalama Zingine:
  • Kodi ( Mamlaka husika itatujulisha)
  • Clearance Charges | Rejea post #1 kipengele hiki.
4. Iwapo kutakuwa na charges zingine Toka kwa shipping agent baada ya mzigo kufika utajulishwa na utawajibika kulipia.

5. Malipo yote utakayofanya utapewa stakabadhi husika.
==
Kipengele #4

Iwapo kutakuwa na charges zingine Toka kwa shipping agent baada ya mzigo kufika utajulishwa na utawajibika kulipia.

Zingine Zipi hizo?
==
Angalia hiki kielelezo
1660281306491.png


- Iwapo mzigo umekuja kwa ndege, hizi charges #1, #3 na #4 zitahusika.
==
Na iwapo mzigo umekuja kwa njia ya maji ( Sea shipping ) basi huwa kuna charges zingine ambazo huongezeka na mchanganuo wake hutegemea na mzigo husika.
 
Naomba kuuliza huu mzigo umefika
- Ndio umefika.
umefika na kuchukuliwa
Ndio umechukuliwa.

Swali nani kachukua?
- Mzigo ukishafika mikononi mwa speedaf TZ, kwenye tracking husommeka tdelievry tayari. Japo Mzigo bado haujakufikia.

Je nini unatakiwa kufanya?
  • Ingia kwenye officila tracking page ya speedaf.
  • Weka tracking number
  • Utaona namba ya mtu mwenye mzigo wako.

Piga hiyo namba na utasaidiwa.
 
Nimefanya hivyo ila namba simu hawapokei na nimeenda posta mwenyewe ila mzigo wanasema hawajauona bado?
- Ndio umefika.

Ndio umechukuliwa.

Swali nani kachukua?
- Mzigo ukishafika mikononi mwa speedaf TZ, kwenye tracking husommeka tdelievry tayari. Japo Mzigo bado haujakufikia.

Je nini unatakiwa kufanya?
  • Ingia kwenye officila tracking page ya speedaf.
  • Weka tracking number
  • Utaona namba ya mtu mwenye mzigo wako.

Piga hiyo namba na utasaidiwa.
 
- Ndio umefika.

Ndio umechukuliwa.

Swali nani kachukua?
- Mzigo ukishafika mikononi mwa speedaf TZ, kwenye tracking husommeka tdelievry tayari. Japo Mzigo bado haujakufikia.

Je nini unatakiwa kufanya?
  • Ingia kwenye officila tracking page ya speedaf.
  • Weka tracking number
  • Utaona namba ya mtu mwenye mzigo wako.

Piga hiyo namba na utasaidiwa.
 
nimeenda posta
Tracking number iwapo inaanza na TZ000... Posta hawahusiki, Hata kama kwenye anwani yako details zote ni za posta.

Na katika maelezo yangu sijataja posta.

Rejea kusoma, maelezo ya awali
 
Tracking number iwapo inaanza na TZ000... Posta hawahusiki, Hata kama kwenye anwani yako details zote ni za posta.

Na katika maelezo yangu sijataja posta.

Rejea kusoma, maelezo ya awali
Duuuh nimekuelewa mkuu sasa hii nitafanyeje na namba hawapokei kabisaaa na hao watu wana ofisi kila mkoa ? Au ndio wana ofisi dar tu na kama wana ofisi Dar je tulioweka ananuani za mikoani kama mimi itakuwaje?
 
Back
Top Bottom