Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni hii hyo web sjui naifanyaje ila ni official dji website storeAndika details zake.
- Screenshot maelezo yaliyopo kwenye hiyo bidhaa nami nitaitafuta.
- Then nitakupa Gharama yake.
unaweza nisaidia mean na gharama zote mpk inafkaAndika details zake.
- Screenshot maelezo yaliyopo kwenye hiyo bidhaa nami nitaitafuta.
- Then nitakupa Gharama yake.
hapo mpka inanifikia au kuna zingine kiongozView attachment 2855128
TZS. 2,173,500
- Hapo ni gharama ya Kununua + Kufikisha Tanzaniahapo mpka inanifikia au kuna zingine kiongoz
4. Iwapo kutakuwa na charges zingine Toka kwa shipping agent baada ya mzigo kufika utajulishwa na utawajibika kulipia.
5. Malipo yote utakayofanya utapewa stakabadhi husika.
==
Kipengele #4
Iwapo kutakuwa na charges zingine Toka kwa shipping agent baada ya mzigo kufika utajulishwa na utawajibika kulipia.
Zingine Zipi hizo?
==
Angalia hiki kielelezo
![]()
- Iwapo mzigo umekuja kwa ndege, hizi charges #1, #3 na #4 zitahusika.
==
Na iwapo mzigo umekuja kwa njia ya maji ( Sea shipping ) basi huwa kuna charges zingine ambazo huongezeka na mchanganuo wake hutegemea na mzigo husika.
Huwa wanazingatia uzito wa bidhaa au ni thamani yake ??- Hapo ni gharama ya Kununua + Kufikisha Tanzania
Ghalama Zingine:
- Kodi ( Mamlaka husika itatujulisha)
- Clearance Charges | Rejea post #1 kipengele hiki.
Invoice value itakayo ambatana na mzigo huiska
Bei | Inategemea na muuzaji utakaye chaguaS10 plus used ngap kiongoz
s inaeza ikafka M3Invoice value itakayo ambatana na mzigo huiska
- Ndio umefika.Naomba kuuliza huu mzigo umefika
Ndio umechukuliwa.umefika na kuchukuliwa
- Ndio umefika.
Ndio umechukuliwa.
Swali nani kachukua?
- Mzigo ukishafika mikononi mwa speedaf TZ, kwenye tracking husommeka tdelievry tayari. Japo Mzigo bado haujakufikia.
Je nini unatakiwa kufanya?
- Ingia kwenye officila tracking page ya speedaf.
- Weka tracking number
- Utaona namba ya mtu mwenye mzigo wako.
Piga hiyo namba na utasaidiwa.
- Ndio umefika.
Ndio umechukuliwa.
Swali nani kachukua?
- Mzigo ukishafika mikononi mwa speedaf TZ, kwenye tracking husommeka tdelievry tayari. Japo Mzigo bado haujakufikia.
Je nini unatakiwa kufanya?
- Ingia kwenye officila tracking page ya speedaf.
- Weka tracking number
- Utaona namba ya mtu mwenye mzigo wako.
Piga hiyo namba na utasaidiwa.
Duuuh nimekuelewa mkuu sasa hii nitafanyeje na namba hawapokei kabisaaa na hao watu wana ofisi kila mkoa ? Au ndio wana ofisi dar tu na kama wana ofisi Dar je tulioweka ananuani za mikoani kama mimi itakuwaje?Tracking number iwapo inaanza na TZ000... Posta hawahusiki, Hata kama kwenye anwani yako details zote ni za posta.
Na katika maelezo yangu sijataja posta.
Rejea kusoma, maelezo ya awali