INAUZWA Nunua mashine za kutotolesha vifaranga zenye ubora kwa bei poa

INAUZWA Nunua mashine za kutotolesha vifaranga zenye ubora kwa bei poa

Mchanganuo mwingine ktk kuwekeza kwenye mashine za kutotolesha vifaranga. Je itarudisha gharama zako?
Hebu soma kwa makini mchanganuo huu:
Hebu tuchukulie umewekeza takribani, (2,000,000sh) kwenye mashine ya mayai 528. Utakuwa na uwezo wa kuzalisha takribani 176 vifaranga kwa wiki. Gharama zako hasa zitakuwa kwenye mayai yaliyorutubishwa na umeme. Hapo tuchukulie umekupata mayai yaliyorutubishwa kwa (400sh)@ mayai na (50sh) kama umeme utakaotumia kwa YAI, hivyo jumla ya gharama za kuzalisha kifaranga ni wastani (450sh Kifaranga. Kama utauza vifaranga vyako vyenye siku 1 kwa (1000sh) (makadirio ya haraka, inaweza kuwa zaidi), utatengeneza faida ya (550sh) @ kifaranga. Kama ukizidisha (550sh) kwa mayai 176 kwa wiki, utakuwa umetengeneza (96,800sh) kwa wiki. Sasa chukua mtaji wako uliowekeza awali wa (2,000,000sh) ugawanye kwa faida yako ya kila wiki ya (96,800sh), utarejesha gharama zako ulizowekeza awali ndani ya kipindi cha wiki 20 = miezi 5. Kama utabadilisha kidogo hizo namba hapo juu, utakuta muda mrefu kabisa utakaochukua kurejesha gharama zako za awali ulizowekeza itakuwa miezi 6. Hivyo jibu ni kati ya miezi 4 mpaka miezi 6 imechelewa sana mwaka 1 baada ya hapo ni faida tutu.
Unaweza kutengeneza kipato zaidi ya hapo kwa kufanya biashara ya kutotolesha mayai, na kuzalisha vifaranga kasha kuwalea na kuwauza kama kuku wazima. Kiukweli gharama zako zitarudi mapema zaidi na Kupata faida na faida. Be smart and make smart investment.

Aiseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Punguzo la bei kwa incubator ya mayai 1056. Sasa inapatikana kwa sh. 3milion tu. Wasiliana nami kwa namba hizi 0718 106434 na 0755571604(whatsapp)
 
Hii ndiyo faida ya kufanya biashara unayoipenda...yaani unajikuta unajifunza undani wake kiasi kwamba unaweza kusaidia na wengine wasojua nao wajue
Nakupa HEKO mkuu Urban86 kwa kunifumbua macho kuhusu hii biashara
 
Jipatie mashine za kutotolesha vifaranga kwa bei nafuu na uongeze zaidi kipato chako. Mashine ya mayai 176 kwa sh 1,150,000 ya mayai 264 kwa sh 1,400,000 ya mayai 352 kwa sh 1,600,000. Wasiliana nasi kwa namba 0755 571604/0718 106434. Tupo tabata kisiwani DSM.
 

Attachments

  • IMG_20161106_133051.jpg
    IMG_20161106_133051.jpg
    79.4 KB · Views: 88
  • IMG_20161106_133204.jpg
    IMG_20161106_133204.jpg
    97.9 KB · Views: 102
  • IMG_20161106_133428.jpg
    IMG_20161106_133428.jpg
    137 KB · Views: 72
  • IMG_20161106_134822.jpg
    IMG_20161106_134822.jpg
    85.6 KB · Views: 71
  • IMG_20161106_135018.jpg
    IMG_20161106_135018.jpg
    89.9 KB · Views: 76
Leo tuongelea Hatua muhimu za kufuata unapoanza kutumia mashine ya kutotolesha vifaranga.
Mashine nyingi za kutotolesha vifaranga zina mfumo unaofanana na hatua zake ni kama ifuatavyo:
1.Tumia plagi ya umeme inayobana vizuri kwenye soketi au eksitensheni kebo (extension cable) au soketi ya ukutani. Muunganiko uliolegea huweza kusababisha shoti ya umeme na kuharibu mashine yako.
2. Andaa sehemu iliyoinuka(jukwaa) angalau inchi 4 kutoka kwenye sakafu ambapo utaiweka mashine. Hii ni muhimu kwani sakafu huweza kuwa na joto au baridi sana au yenye vumbi. Unaweza kutumia wood pallets kama jukwaa ona picha chini.
3. Hakikisha jukwaa ni imara ili kuzuia mashine kutikisika wakati unapoitumia.
4. Sehemu ya kuweka mashine isiwe na vumbi, na iwe wazi. Weka mashine angalau futi 1 mbali na ukuta. Feni ya nje ya mashine inahitaji kuingiza hewa safi na isiyozuiliwa na kitu.
5. Fungua mashine toka kwenye boksi kwa uangalifu. Kisha fungua mlango wa mashine na hakikisha hakuna uchafu wowote ndani ya mashine.
6. Unganisha waya wa umeme na kisha uwashe mashine. Fuata maelekezo ya kwenye kitabu cha mwongozo wa kutumia mashine.
7. Unaweza kupuliza dawa ya kuua wadudu ndani ya mashine kabla ya kuanza kuitumia.
8. Unganisha mfumo ya maji kwenye beseni la maji kama inavyooneshwa kwenye picha chini.
9. Ning’iniza sensa ya unyevu na joto kwenye sehemu inayoelekezwa. Ona ktk picha chini.
10.Unganisha umeme na uwashe. Kisha washa feni. Unaweza kuwashaa na taa kama kuna ulazima.
11. Subiri kwa muda mpaka mashine itakapoonyesha kiasi cha joto na unyevu sahihi kisha weka mayai yako ndani ya mashine.
Tunakutakia kila la heri kwenye mradi wako.
Wasiliana nasi kwa namba 0755571604/ 0718106434 kwa ushauri au maswali. Tembelea ukurasa wetu wa facebook Eco Farms Innovatives
 
Wakati shilingi inapoadimika wekeza kidogo unachokipata na hutalalamika kama wengine wanavyolalamika.
Anzisha mradi wa kutotolesha vifaranga, totolesha vifaranga na uza kwa faida au totolesha na ufuge kibiashara.

Jipatie mashine za kutotolesha vifaranga kwa bei nafuu.
Mashine ya mayai 96 kwa 620,000, 176 kwa sh 950,000 ya mayai 264 kwa sh 1,300,000 ya mayai 352 kwa sh 1,500,000. Mashine zinatumia umeme wa nyumbani kwa kiasi kidogo, ni full automatic, na zinatotolesha mayai ya ndege tofauti.
Tunapatikana Mwananchi Relini-Mandela Road nyuma ya ukumbi wa Hepenon -DSM
Wasiliana nasi kwa namba whatsapp 0755 571604/0718 106434.
Pia tembelea ukarasa wetu fb Eco Farms Innovatives kwa taarifa zaidi
 

Attachments

  • IMG_20161106_133059.jpg
    IMG_20161106_133059.jpg
    88.6 KB · Views: 73
  • IMG_20161106_133349.jpg
    IMG_20161106_133349.jpg
    118.6 KB · Views: 76
  • IMG_20161106_133428.jpg
    IMG_20161106_133428.jpg
    137 KB · Views: 60
  • IMG_20161106_132940.jpg
    IMG_20161106_132940.jpg
    77.5 KB · Views: 61
  • IMG_20161106_134822.jpg
    IMG_20161106_134822.jpg
    85.6 KB · Views: 60
  • IMG_20161106_135018.jpg
    IMG_20161106_135018.jpg
    89.9 KB · Views: 66
  • IMG_20161106_134954.jpg
    IMG_20161106_134954.jpg
    145.7 KB · Views: 65
Karibu kwenye ukarasa wetu ujichagulie incubator za ukubwa tofauti
 
Jipatie Incubator za kisasa za sola na umeme za mayai 32-120
Full automatic, inageuza yenye mayai na pia ina ultrasonic Humidifier kwa ajili ya kuongeza unyevu, zinatumia solar, betri na pia umeme wa kawaida.
Bei zetu kwa sasa ni kama ifuatavyo:
incubator ya mayai 32 ni 240,000
incubator ya mayai 48 ni 350,000
incubator ya mayai 56 ni 420,000
incubator ya mayai 96 ni 490,000
incubator ya mayai 112 ni 530,000
incubator ya mayai 120 ni 550,000
zote ni full automatic na zinatumia umeme+solar/betri
Tupigie/whatsapp #0755571604 au 0718106434 na 0783095169 Tupo
Tabata relini karibu na mwananchi communications.
IMG_20190116_140556.jpg
IMG_20190116_134216.jpg
IMG_20190116_140339.jpg
IMG_20190116_140025.jpg
mini-112-chicken-eggs-incubator-automatic-egg.jpg
 
Eco Farms Innovatives tunakuletea mashine mpya za kisasa kabisa za mayai 60, 120, 180, 240 na 300. Ni mashine zilizoboreshwa zaidi zinazotumia teknolojia ya kisasa kabisa na zenye ufanisi mkubwa Sana. Pia zinapokea umeme wa kawaida, jua ama betri ya 12v
Incubator ya mayai 60 ni sh 400,000 ya mayai 120 ni sh 600,000 ya mayai 180 ni sh 750,000 ya mayai 240 ni 850,000 na ya mayai 300 ni sh 990,000
Mashine ya mayai 240 na ya mayai 300 Inaweza kuicontrol kwa kupitia smartphone kwa kifaa cha wifi kilichopo kwenye mashine.
Tupo mkabala na shule ya Yusufu Makamba barabara ya Jeshini ukitokea Ubungo External kwenda Tabata Kimanga.
Tupigie 0783 095169 au 0755 571604 na tembelea ukurasa wetu wa Eco Farms Innovatives https://www.facebook.com/ecofarmsInnovatives/
lidow_201910175816552.jpg

lidow_201971793245541.jpg

lidow_20191018523535.jpg

lidow_2019101821590.jpg

IMG_20190929_105106.jpg

IMG_20190929_113405.jpg

IMG_20190929_113340.jpg

IMG_20190929_122033.jpg
 
Eco Farms Innovatives tunakuletea mashine mpya za kisasa kabisa za mayai 60, 120, 180, 240 na 300. Ni mashine zilizoboreshwa zaidi zinazotumia teknolojia ya kisasa kabisa na zenye ufanisi mkubwa Sana. Pia zinapokea umeme wa kawaida, jua ama betri ya 12v
Incubator ya mayai 60 ni sh 400,000 ya mayai 120 ni sh 600,000 ya mayai 180 ni sh 750,000 ya mayai 240 ni 850,000 na ya mayai 300 ni sh 990,000
Mashine ya mayai 240 na ya mayai 300 Inaweza kuicontrol kwa kupitia smartphone kwa kifaa cha wifi kilichopo kwenye mashine.
Tupo mkabala na shule ya Yusufu Makamba barabara ya Jeshini ukitokea Ubungo External kwenda Tabata Kimanga.
Tupigie 0783 095169 au 0755 571604 na tembelea ukurasa wetu wa Eco Farms Innovatives https://www.facebook.com/ecofarmsInnovatives/
View attachment 1220548
View attachment 1220550
View attachment 1220554
View attachment 1220556
View attachment 1220559
View attachment 1220562
View attachment 1220566
View attachment 1220571
Egg incubator ya mayai 180, bora na ya kiwango cha uhakika.
Kwa nini undelee kupata hasara ya mayai?
Ongeza kipato chako kwa kufanya ufugaji wa kisasa na wa tija?

Ni mashine ya kisasa iliyobuniwa kutoa majibu ya changamoto za utotoleshaji wa vifaranga. Vifaranga hawatafia tena kwenye mayai sababu ya unyevu mdogo. Ina "humidifier" inayoongeza unyevu bila kuathiri kiwango cha joto.

Utaipata Eco Farms Innovatives kwa bei ya ofa ya sh 720,000 tu.
Tupigie/whatsapp 0783095169 au 0755571604.
 
kuna za kusuka ambazo kwa kijijini una tumia gesi na nyingine unatumia mafuta ya taa mkuu.
Hizi zinatumia umeme kidogo sana 80w sana na unit 0.84 kwa saa 24. Na zinatumia betri ya 12v kwa hiyo kama umeme umekatika unaunganisha betri direct bila hata ya inverter
 
Hizi zinatumia umeme kidogo sana 80w sana na unit 0.84 kwa saa 24. Na zinatumia betri ya 12v kwa hiyo kama umeme umekatika unaunganisha betri direct bila hata ya inverter
Hii inatumia umeme au solar/betri
Mini-Automatic-Egg-Incubator-192-Eggs-Incubator.jpeg
 
Kwa wale wanaotaka mashine ndogo kabisa za kuanzia inayotumia umeme na solar/betri hii itawafaa sana. Ni full automatic na inageuza mayai yenyewe. Inatumia watts 35 za umeme. Ukiwa na betri ya kuanzia N80 inaendesha hii incubator kwa masaa 24.
Bei yake ni sh 220,000 tu.
Tupigie/whatsapp 0783095169
PSX_20191101_104332.jpeg
PSX_20191101_105117.jpeg
 
Zote zipo dukani kwetu. Unahitaji ya mayai mangapi?

Zina ufanisi mkubwa, zinatumia umeme kidogo sana, full automatic na zina mfumo rafiki sana kutumia.

Zipo za mayai 60, 120, 180, 240, na 300.
Ya mayai 60 ni 420,000 ya mayai 120 ni sh 590,000 ya mayai 180 ni sh 690,000 ya mayai 240 Ni sh 840,000 na ya mayai 300 Ni sh 980,000

Tupo maeneo ya Ubungo external tunatazamana na shule ya Yusufu makamba barabara ya makuburi.

Tupigie/Whatsapp 0783095169 0755571604 au 0718106434
FlyerMaker_18122019_200029.jpeg
IMG_20191222_153135.jpeg
IMG_20191222_153149.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazo ni fedha na fedha ni wazo.
Pale wazo la jinsi ya kutengeneza fedha litakavyokukaa vizuri kichwani ndivyo itakuwa rahisi mtu kufanikiwa.
Yaani vile unapokuwa na taarifa sahihi na kamili inabaki utekelezaji tu.
Mfano unapojua wapi utakupata incubator bora na ya uhakika, mayai ya bora ya kutotolesha, umeme unao, na unajua jinsi ya kuingia kwenye soko la mayai, vifaranga, kuku. Sasa unasubiri nini kuanza mradi wako?

Zipo za mayai 60, 120, 180, 240, na 300.
Sasa utazipata kwa bei ya ofa sasa. Incubator
Ya mayai 60 ni 395,000 ya mayai 120 ni sh 570,000 ya mayai 180 ni sh 670,000 ya mayai 240 Ni sh 820,000 na ya mayai 300 Ni sh 960,000
Note: Bei zinahusisha incubator pekee

Wasiliana nasi kwa namba 0783095169 au 0755571604 au 0718106434

Tupo maeneo ya Ubungo external tunatazamana na shule ya msingi Makuburi Jeshini barabara ya makuburi.
IMG_20200109_082758_759.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom