MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Mkuu, hebu tuwekane sawa kidogo hapa. Mauaji ya kimbari (Crime of Genocide) huwa hayaangalii idadi ya watu ambao wameuawa bali nia ya mauaji hayo (The Intention of the perpetrator). Ndiyo maana unaweza usitekeleze uuaji, lakini bado ukafungwa kwa kosa la kupanga mauaji ya kimbari (Conspiracy to commit genocide).Sasa wewe kwa akili yako unaamini kulikuwa na mauaji ya kimbari dhidi ya Mayahudi au ni propaganda tu? Hivi kwa population ya Mayahudi kipindi hicho wangeuawa milioni tano kungekuwa na Myahudi aliyesalia duniani hivi sasa? Kama kuna ukweli mbona hakuna tume yoyote huru iliyoundwa kuchunguza jinai hiyo na kila anayetaka kuchunguza au kuzungumza kinyume anawekewa vikwazo? Kuna Gypsies na Roma pia waliuawa kwa maelfu wakati wa WW2 mbona wao hakuna anayewazungumzia zaidi ya Mayahudi? Sipingi kuwa Mayahudi waliuawa kwenye WW2 lakini si kwa kiwango kinachosemwa ni propaganda tu hizo ili kulinda maslahi ya Mayahudi.
Pili, nikukumbushe tu kuwa Nuremberg trials hazikuwa tu kwa mauaji ya kimbari bali mashtaka mengine kama crimes against peace, crimes against humanity and war crimes yalisikilizwa ambapo pia Allies committed such atrocities. Mahakama ya Nuremberg ilikuwa ni victors justice against the vanquished.
Pili, kosa la mauaji ya kimbari kule Nuremberg lilikuwepo. Tofauti ni kwamba mpaka kufika mwaka 1948 mauaji ya kimbari (Crime of Genocide) yalikuwa ni sehemu ya kosa la Mauaji dhidi ya ubinadamu (Crimes against humanity).
Lakini baada ya wakina Raphael Lemkin kuandika kuhusu Genocide, na mwaka UNO 1948 tukatengeneza The Genocide Convention, ndiyo kosa la Genocide likaanza kujitegemea.
Mbali na hapo, hoja yako ni nzuri sana na inafanya mtu ajifikirie zaidi juu ya mambo mengi tunayoaminishwa kwenye historia.