Nuremberg trials

Mkuu, hebu tuwekane sawa kidogo hapa. Mauaji ya kimbari (Crime of Genocide) huwa hayaangalii idadi ya watu ambao wameuawa bali nia ya mauaji hayo (The Intention of the perpetrator). Ndiyo maana unaweza usitekeleze uuaji, lakini bado ukafungwa kwa kosa la kupanga mauaji ya kimbari (Conspiracy to commit genocide).

Pili, kosa la mauaji ya kimbari kule Nuremberg lilikuwepo. Tofauti ni kwamba mpaka kufika mwaka 1948 mauaji ya kimbari (Crime of Genocide) yalikuwa ni sehemu ya kosa la Mauaji dhidi ya ubinadamu (Crimes against humanity).

Lakini baada ya wakina Raphael Lemkin kuandika kuhusu Genocide, na mwaka UNO 1948 tukatengeneza The Genocide Convention, ndiyo kosa la Genocide likaanza kujitegemea.


Mbali na hapo, hoja yako ni nzuri sana na inafanya mtu ajifikirie zaidi juu ya mambo mengi tunayoaminishwa kwenye historia.
 
Ukianzisha vita na ukashindwa lazima ulipe gharama.Adolf Hitler kosa lake ni kianzisha vita na kukiuka sheria za kimataifa.Stalin na Mao waliua watu wengi lakini wao hawakuanzisha vita.
Mkuu uvamizi dhidi ya Poland mnamo Septemba 1939 ulifanywa kwa pamoja na Ujerumani na USSR. Ina maana Stalin pia alikuwa aggressor na lipaswa kuwajibishwa. Narudia tena, Nuremberg trials were a victors' justice against the vanquished.
 
Akili nyingi watoe wapi!!!...huwezi kuwa na akili nyingi kisa ni dini au kabila
 
Akili nyingi watoe wapi!!!...huwezi kuwa na akili nyingi kisa ni dini au kabila
Hatuongei kama wanywa kahawa wa Gerezani. Myahudi ana statistics zinambeba. Ndio maana anachukiwa. Sisi wengine tunywe kahawa...halafu tunywe uji wa ulezi...halafu tunywe alkasusu...tukajambe na kulala
 
Hatuongei kama wanywa kahawa wa Gerezani. Myahudi ana statistics zinambeba. Ndio maana anachukiwa. Sisi wengine tunywe kahawa...halafu tunywe uji wa ulezi...halafu tunywe alkasusu...tukajambe na kulala
Kuna waethiopia ni wayahudi pia...hebu lete ushahidi kwamba Wana akili Sana,ukiambatanisha na tafsiri ya akili
 
Kuna waethiopia ni wayahudi pia...hebu lete ushahidi kwamba Wana akili Sana,ukiambatanisha na tafsiri ya akili
By large and far... Have you heard about the story of Ethiopian Jews who were taken back to Israel in 80s? Namba haziongopi. Sioku tukibadili kufikiri mambo yatakuwa mazuri sana
 
By large and far... Have you heard about the story of Ethiopian Jews who were taken back to Israel in 80s? Namba haziongopi. Sioku tukibadili kufikiri mambo yatakuwa mazuri sana
Unadhihirisha utumwa wako kwa kutumia lugha ngeni,mtumwa wa kifikra
 
Mkuu unatulisha matango mwitu. Japan ilisalimu amri kushindwa vita hiyo negotiation ya amani ilitoka wapi?
Jidanganye,unafikiri kwanini Hirohito alibaki kuwa mfalme wa Japan hadi 1989 alipofariki? Kila vita inapoisha huwa Kuna makubaliano .Vita haiishi bila makubaliano,1979 Idd Amin alipokimbia Uganda unajua kwanini majeshi ya Tz yalibaki huko zaidi ya miaka miwili?
 
Israel anachofanya Palestine atafikishwa kwenye hizo mahakama kweli.Sheria ni msumeno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…