Nuru, maji, giza, upepo viliumbwa siku gani kati ya zile sita za uumbaji?

Nuru, maji, giza, upepo viliumbwa siku gani kati ya zile sita za uumbaji?

Mr Q

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
18,046
Reaction score
38,598
pengine labda sijaisoma vizuri biblia na kuielewa na ndio maana nimekuja hapa kuuliza wabobezicwa mambo haya ya 'elimu ya Uungu' kuwa

maji, giza, Nuru, na upepo viliumbwa siku gani kati ya zile sita za uumbaji?

maswali ya nyongeza juu ya utata wa tukio la safina ya nuhu

"Hivi ndivyo utakavyoifanya; mikono mia tatu urefu wa safina, mikono hamsini upana wake, na mikono thelathini kwenda juu kwake."
swali binadamu karibia wote (sio wote) walioonekana kumchukiza Mungu juu ya uso wa dunia/nchi wangeamua kuingia safinani wangetosha?
hivyo ni vipimo vya safina

katika mwanzo 6 msitari wa tano anasema "5 Bwana akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote."

ktk msitari wa saba anasema
7 Bwana akasema, Nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemwumba usoni pa nchi; mwanadamu na mnyama, na kitambaacho na ndege wa angani; kwa maana naghairi ya kwamba nimewafanya.
swali ilikua nchi au dunia?
kama ilikuwa nchi kwann mafundisho yaoneshe dunia iligharikishwa?


kama ilikuwa dunia watu waliwasiliana kwa lugha ipi kutoka kizazi cha nuhu mpaka kwingineko duniani?


kama ilikuwa nchi na sio dunia ni vizazi gani vingine vilisalimika tofauti na kizazi cha nuhu? hapa nahitaji kabisa kuwa taja wafuatao juu ya hili swali la mwisho
zitto junior
mitale na midimu
 
Mkuu sio kweli kama hujailewa vizuri Bible mi nahisi kama hujaisoma kabisa maana majibu ya hayo maswali yako ya mwanzo yapo wazi kabisa
 
Mkuu sio kweli kama hujailewa vizuri Bible mi nahisi kama hujaisoma kabisa maana majibu ya hayo maswali yako ya mwanzo yapo wazi kabisa
ndio maana nimekuja hapa kwa ufafanuzi
 
Mkuu sio kweli kama hujailewa vizuri Bible mi nahisi kama hujaisoma kabisa maana majibu ya hayo maswali yako ya mwanzo yapo wazi kabisa
afu unisaidie ilikua nchi au dunia iliyogjarikishwa?
 
Ngoja niache hapa hii
God was so uninterested in animals, in fact, that he didn’t even name them: He allowed Adam to do it instead, to call them whatever he wanted to. (Gen. 2:19) “I’m surprised there weren’t more creatures called ‘blaaahhs’ and ‘urrgghhs,’” God chuckled to himself and—wait—did Adam name himself? (Gen. 2:20)
For the first time, God called on Satan, whom he had apparently created at the same time he created reptiles. From the first, God didn’t like the way Satan looked at him. There was something knowing in his eyes. He acted as if he was God’s equal, which was ludicrous. “He knows nothing, he is my employee, I created him to work for me and that is all,” God thought.
“I want you to enter into my Garden of Eden and trick the woman,” he announced to Satan.
Satan studied God silently for a moment, then asked, “Why?”
“It’s a test obviously, Satan. I want to see if my humans will obey me.”
“You don’t know if they will?”
“Of course I know if they will. They won’t. Which is exactly my plan.”
“Your plan is for them not to obey you?”
Satan’s “innocent” questions irritated God. “Exactly!” he snapped.
“But if you already know they won’t obey why test them?
 
God stared at Satan for a second, then shook his head briskly. “Leave the big thinking to me, alright, Satan?” That blank look again. “He’s mocking me,” God thought. “I should kill him right now. Why do I need this guy? I don’t. Creating him, which I obviously did, was a mistake and I’m going to rectify that mistake right now.” God glowered at Satan and prepared to kill him—then hesitated, reconsidered. “No. I am God. I do not make mistakes. I am, by my own definition, perfect, not even capable of a ‘mistake.’ Therefore, I must have created Satan for a perfect reason. I will ignore his ridiculous questions and make him do my bidding.”
“Here’s the point, Satan: I have commanded them not to eat of the tree of knowledge of good and evil.” (Gen 2:17)
“The what?”
“The tree of knowledge of good and evil,” God repeated, puffing up a bit, quite proud of the name he’d given the tree. “Not pretentious in the least,” he’d congratulated himself.
“What is that?”
“It’s a tree that contains knowledge of good and evil, obviously.”
“And you don’t want them to know the difference between them?”
God tightened. He’d had enough of this asinine line of questioning; this wasn’t about
 
pengine labda sijaisoma vizuri biblia na kuielewa na ndio maana nimekuja hapa kuuliza wabobezicwa mambo haya ya 'elimu ya Uungu' kuwa

maji, giza, Nuru, na upepo viliumbwa siku gani kati ya zile sita za uumbaji?

maswali ya nyongeza juu ya utata wa tukio la safina ya nuhu

"Hivi ndivyo utakavyoifanya; mikono mia tatu urefu wa safina, mikono hamsini upana wake, na mikono thelathini kwenda juu kwake."
swali binadamu karibia wote (sio wote) walioonekana kumchukiza Mungu juu ya uso wa dunia/nchi wangeamua kuingia safinani wangetosha?
hivyo ni vipimo vya safina

katika mwanzo 6 msitari wa tano anasema "5 Bwana akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote."

ktk msitari wa saba anasema
7 Bwana akasema, Nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemwumba usoni pa nchi; mwanadamu na mnyama, na kitambaacho na ndege wa angani; kwa maana naghairi ya kwamba nimewafanya.
swali ilikua nchi au dunia?
kama ilikuwa nchi kwann mafundisho yaoneshe dunia iligharikishwa?


kama ilikuwa dunia watu waliwasiliana kwa lugha ipi kutoka kizazi cha nuhu mpaka kwingineko duniani?


kama ilikuwa nchi na sio dunia ni vizazi gani vingine vilisalimika tofauti na kizazi cha nuhu? hapa nahitaji kabisa kuwa taja wafuatao juu ya hili swali la mwisho
zitto junior
mitale na midimu
Mkuu nashkuru kwa kuniita kwenye mada nzuri hii labda nijibu kwa maoni yangu kutumia source tofauti maana sio kila kitu biblia inazungumzia

1.maji, giza, Nuru, na upepo viliumbwa siku gani kati ya zile sita za uumbaji?

Maji yalitengenezwa siku ya kwanza ama kabla ya siku ya kwanza yalishatengenezwa.... Kuna story ndefu kidogo inaitwa Gap theory inayoeleza muda kati ya mwanzo 1 na 2 kuwa Mungu aliumba dunia ila baada ya kuvurugana na shetani, alivyotupwa aliamua kuivuruga dunia na kuiharibu mfumo wake mzima hivyo kilichobaki ni maji tu na hakukuwa na mwanga yaani GIZA sababu shetani aliharibu nyota zote

Nuru iliumbwa kabla ya mwanzo 2 ila baada ya kuvurugwa na shetani ndipo akaamua kutengeneza nuru siku ya kwanza

3 Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru.
4 Mungu akaiona nuru, ya kuwa ni njema; Mungu akatenga nuru na giza.


NB: ila cha kuzingatia hapa huu mwanga sio jua... Jua lilitengenzwa siku ya 4 ila huu mwanga ulikuwa unaangaza dunia but halina uhusiano wowote na jua au nyota nyingine yeyote

kuhusu upepo ulianza mwanzo 8:1 yaani Nuhu alipokuwa kwenye safina na maji yamejaa dunia nzima hivyo akaamua kuleta upepo ili kutawanya maji na ardhi hivyo upepo umetajwa mara ya kwanza hapa ila kama upepo ndio mara zote unatenganisha maji na ardhi basi tunaweza kusema kwenye zile siku 6 upepo uliumbwa siku ya tatu pale alipofanya kitendo kilekile cha kutenganisha maji na ardhi.

2. swali binadamu karibia wote (sio wote) walioonekana kumchukiza Mungu juu ya uso wa dunia/nchi wangeamua kuingia safinani wangetosha?

Mkuu biblia inaonyesha kuwa alishadhamiria kumfanya Nuhu pekee aanzishe kizazi kipya ndio maana hata ukoo wote wa Seth yaani kina methuselah,kenan,mehujael n.k Mungu aliwachukua kupitia kifo miezi michache kabla ya gharika.... Piga hesabu utagundua ukoo mzima wa seth hakuna aliyekufa wakati wa gharika ila mwaka au miezi kabla ya gharika hata Methuselah naye alifariki miezi 6 kabla ya gharika yote haya ikimaanisha Mungu alishaona wanadamu hawana mpango wa kubadilika hivyo akaona aanze upya... So kujibu swali lako ni kwamba wasingetosha wote ila kama angejua wengi watabaki basi huenda asingeleta gharika kabisa au labda angewaficha tu kwenye Mlima au pango fulani na wakapona

3.swali ilikua nchi au dunia?
kama ilikuwa nchi kwann mafundisho yaoneshe dunia iligharikishwa

Ni dunia nzima ila waliita nchi ikimaanisha arshi yote iliyo juu ya maji hivyo ni dunia maana

Mwanzo 7
22 kila kitu chenye pumzi ya roho ya uhai puani mwake kikafa, kila kilichokuwako katika nchi kavu.

4.kama ilikuwa dunia watu waliwasiliana kwa lugha ipi kutoka kizazi cha nuhu mpaka kwingineko duniani?
Biblia haielezi lugha gani ilioongelewa na Adam wenye biblia yao wanadai ni kiebrania ndio Adam aliongea yaani Adam naye alikuwa myahudi!!! Anyway kwa wasomi wengine wa elimu ya roho kama john dee et al wanadai lugha iliyoongelewa ilikuwa ''enochian'' yaani lugha ya kimalaika ilioongelewa kuanzia bustani ya edeni na waliipa hilo jina baada ya kuona ni Enock mtu wa mwisho kuongea lugha hii ila zaidi ya hapo ukweli haujulikani na kama upo umefichwa na wenye biblia yao.


5.kama ilikuwa nchi na sio dunia ni vizazi gani vingine vilisalimika tofauti na kizazi cha nuhu?
Kibiblia hakuna aliyesalimika kwenye gharika tukiachana na controversy ya mfalme Ogu aliyepona ili kuvusha damu ya wanefili ama mke wa Ham yaani neitamuk kubeba mimba ya shamael ili kuvusha kizazi cha Cain.... Hakuna jamii yeyote iliokuwepo kabla ya gharika ikapona na hii ni kwa mujibu wa biblia ingawa mpaka leo hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa dunia iliwahi kufunikwa na maji.....

Ni hayo tu mkuu labda niite wataalam zaidi

Malcom Lumumba Son of Gamba Mshana Jr Nanaa jolie piteni huku mtie neno
 
Wanaposema Nchi hapo kwenye biblia inamaana ya ardhi, haimaanishi nchi kama Tz ama Uk, Gharika liliifunika nchi kumaanisha sehemu yote ya ardhi
Naomba unijibu haya maswali mawili.
1) Baada ya gharika kuisha meli /safina ilituama kwenye mlima gani na huo mlima upo mpaka leo!!??
2) Hiyo gharika ilifunika ardhi yote unataka kusema ilifunika mlima Everest, mlima Kilimanjaro na mengine mirefu kuliko iliyopo uyahudini!!??
 
ukweli ni upi
Ukifata maandiko na simuliz za mungu anaanza kw story y kusema apo mwanzo yaan mwanza wa simuliz haimaansh nyuma yke hapakuwa na uumbaj au hapakuwa na kaz za kiungu ila mungu amejarbu kutusimulia yale tu ambyo ss km ss viumbe yanamaana kwetu ktk vpo ving ambvyo havjasimuliwa lkn je kwhyo yy hakuviumba jibu apana kuna malaika kawaumba na hawa hawakai pepon wala motoni ipo sehemu aliyowaandalia wanaish malaika wake watukufu lkn haijasimuliwa kwsabb story hyo ss km ss bnadamu haina faida kwetu chcht kilichoandkwa bs ujue kina maan kwetu..kiza liliumbwa na mungu na lipo kw makusudio yke mana mungu aliumba kila ktu karbia y vtu vyote aliumba kw namn mbili..hakuna ktu nature zaidi y uungu mwenyew lkn vlvyobak vyote yy ndy muekaji so elewa hvyo..nmetumia akili y kawaida uelewe
 
MUNGU NI MUNGU TU
Kabsa ndugu yangu na tatzo kubwa tulilonalo bnadam tunajiona wajuz san wa mamb mpk tunafanansha story za mamb ya uungu na story za zitto kabwe na mandela tunakosea ndugu zangu mungu fundi alfu anatisha tena s kdg kwelikweli wew ukitak kujua hebu kaa pekyko alafu fkria tu kw ufupi namn mbingu na ulimwengu ulivyopambwa na namn unavyofanya kaz zake automatcs bila kutumia umeme wala nishat y namn yyt lkn mmb yanaenda sawia bs ukishafkria ghafla mwili wko utatetemeka na kusisimka utakapojua fundi na muekaji wa hvyo vtu tuacheni kufkria vtu ambvyo kimsing hatupat majibu yke sahh na yakaturdhsha mpk dunia itasimama,hatuezi kushughulika tu na nguvu zetu za kiume tutaweza kushughulikia mmb y kiungu tuacheni utani..
 
Back
Top Bottom