Nuru, maji, giza, upepo viliumbwa siku gani kati ya zile sita za uumbaji?

Nuru, maji, giza, upepo viliumbwa siku gani kati ya zile sita za uumbaji?

Kabsa ndugu yangu na tatzo kubwa tulilonalo bnadam tunajiona wajuz san wa mamb mpk tunafanansha story za mamb ya uungu na story za zitto kabwe na mandela tunakosea ndugu zangu mungu fundi alfu anatisha tena s kdg kwelikweli wew ukitak kujua hebu kaa pekyko alafu fkria tu kw ufupi namn mbingu na ulimwengu ulivyopambwa na namn unavyofanya kaz zake automatcs bila kutumia umeme wala nishat y namn yyt lkn mmb yanaenda sawia bs ukishafkria ghafla mwili wko utatetemeka na kusisimka utakapojua fundi na muekaji wa hvyo vtu tuacheni kufkria vtu ambvyo kimsing hatupat majibu yke sahh na yakaturdhsha mpk dunia itasimama,hatuezi kushughulika tu na nguvu zetu za kiume tutaweza kushughulikia mmb y kiungu tuacheni utani..
lkn babu-humu tunajifunza tu,au kuna ubaya wowote kuyajua??
 
Giza ni matokea ya ukosefu wa mwanga(Nuru), Na mwanga(Nuru) lazima kuwe na source ya uwepo wake.

Giza lipo kabla hata ya uwepo wa dunia... ndiyo maana ukitoka nje ya duni kulipokua hakuna source ya mwanga ni giza maisha yote...


Cc: mahondaw
 
lkn babu-humu tunajifunza tu,au kuna ubaya wowote kuyajua??
Ahaaa bwana peter kumbe uko uku [emoji16][emoji16][emoji16] akuna ubaya kujifunza mana tunapojfunza nadhan ndy nidhamu tutakuwa nayo juu yke lkn tyr hili nimeshaliweka wazi kwmba simulz tofaut na mwanzo wa uhalisia mungu alianza story kw kusema neno hapo mwanzo kwkumaansha mwanzo wa simuliz hii ilianzia kw kuumba vtu kw muda wa siku sab lkn hsimaansh kila ktu kilichokuwepo amekizungumzia ila chcht unachokiona kimezungumzia na kusimuliwa na mungu ujue kina faida zake kwetu ss viumbe na ipo haja y kuvjua hvyo ambvyo unahs hajavzungumzia ipo sabb kwnn hajatusimulia..swali pls kwa muongozo zaidi
 
Kabsa ndugu yangu na tatzo kubwa tulilonalo bnadam tunajiona wajuz san wa mamb mpk tunafanansha story za mamb ya uungu na story za zitto kabwe na mandela tunakosea ndugu zangu mungu fundi alfu anatisha tena s kdg kwelikweli wew ukitak kujua hebu kaa pekyko alafu fkria tu kw ufupi namn mbingu na ulimwengu ulivyopambwa na namn unavyofanya kaz zake automatcs bila kutumia umeme wala nishat y namn yyt lkn mmb yanaenda sawia bs ukishafkria ghafla mwili wko utatetemeka na kusisimka utakapojua fundi na muekaji wa hvyo vtu tuacheni kufkria vtu ambvyo kimsing hatupat majibu yke sahh na yakaturdhsha mpk dunia itasimama,hatuezi kushughulika tu na nguvu zetu za kiume tutaweza kushughulikia mmb y kiungu tuacheni utani..
Hawatopata majibu sahihi never ila assumption watazisikia skia tu mwenye imani haba hujiaminisha na assumption ambazo hata hazionekani na ndipo dunia inazd kupotea
 
Ahaaa bwana peter kumbe uko uku [emoji16][emoji16][emoji16] akuna ubaya kujifunza mana tunapojfunza nadhan ndy nidhamu tutakuwa nayo juu yke lkn tyr hili nimeshaliweka wazi kwmba simulz tofaut na mwanzo wa uhalisia mungu alianza story kw kusema neno hapo mwanzo kwkumaansha mwanzo wa simuliz hii ilianzia kw kuumba vtu kw muda wa siku sab lkn hsimaansh kila ktu kilichokuwepo amekizungumzia ila chcht unachokiona kimezungumzia na kusimuliwa na mungu ujue kina faida zake kwetu ss viumbe na ipo haja y kuvjua hvyo ambvyo unahs hajavzungumzia ipo sabb kwnn hajatusimulia..swali pls kwa muongozo zaidi
[emoji23][emoji23][emoji23] nipo rafk yang_nashukuru kwa maelezo mazuri,tuko pamoja ndg
 
Giza ni matokea ya ukosefu wa mwanga(Nuru), Na mwanga(Nuru) lazima kuwe na source ya uwepo wake.

Giza lipo kabla hata ya uwepo wa dunia... ndiyo maana ukitoka nje ya duni kulipokua hakuna source ya mwanga ni giza maisha yote...


Cc: mahondaw
tunaweza kuhitimisha kuwa giza sio kitu halisi na hivyo hakikuumbwa?
 
tunaweza kuhitimisha kuwa giza sio kitu halisi na hivyo hakikuumbwa?
Ukisema uhitimishe kwmba giza siktu halis kwmaan hyo hakikuumba tfsr yke mungu mwenyew hawez kuumba kiza?huu ni uwongo man kuna vtu vngap vkubwa mfan wagza na havkutajwa lkn vimeumbwa?.ntakup mfan mdg kuna ktu knaitwa arshih yan ni ile sehemu sahh ambyo mungu yupo mm naww hatuijui lkn ipo na imeumbwa seuze kiza
 
Mkuu nashkuru kwa kuniita kwenye mada nzuri hii labda nijibu kwa maoni yangu kutumia source tofauti maana sio kila kitu biblia inazungumzia

1.maji, giza, Nuru, na upepo viliumbwa siku gani kati ya zile sita za uumbaji?

Maji yalitengenezwa siku ya kwanza ama kabla ya siku ya kwanza yalishatengenezwa.... Kuna story ndefu kidogo inaitwa Gap theory inayoeleza muda kati ya mwanzo 1 na 2 kuwa Mungu aliumba dunia ila baada ya kuvurugana na shetani, alivyotupwa aliamua kuivuruga dunia na kuiharibu mfumo wake mzima hivyo kilichobaki ni maji tu na hakukuwa na mwanga yaani GIZA sababu shetani aliharibu nyota zote

Nuru iliumbwa kabla ya mwanzo 2 ila baada ya kuvurugwa na shetani ndipo akaamua kutengeneza nuru siku ya kwanza

3 Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru.
4 Mungu akaiona nuru, ya kuwa ni njema; Mungu akatenga nuru na giza.


NB: ila cha kuzingatia hapa huu mwanga sio jua... Jua lilitengenzwa siku ya 4 ila huu mwanga ulikuwa unaangaza dunia but halina uhusiano wowote na jua au nyota nyingine yeyote

kuhusu upepo ulianza mwanzo 8:1 yaani Nuhu alipokuwa kwenye safina na maji yamejaa dunia nzima hivyo akaamua kuleta upepo ili kutawanya maji na ardhi hivyo upepo umetajwa mara ya kwanza hapa ila kama upepo ndio mara zote unatenganisha maji na ardhi basi tunaweza kusema kwenye zile siku 6 upepo uliumbwa siku ya tatu pale alipofanya kitendo kilekile cha kutenganisha maji na ardhi.

2. swali binadamu karibia wote (sio wote) walioonekana kumchukiza Mungu juu ya uso wa dunia/nchi wangeamua kuingia safinani wangetosha?

Mkuu biblia inaonyesha kuwa alishadhamiria kumfanya Nuhu pekee aanzishe kizazi kipya ndio maana hata ukoo wote wa Seth yaani kina methuselah,kenan,mehujael n.k Mungu aliwachukua kupitia kifo miezi michache kabla ya gharika.... Piga hesabu utagundua ukoo mzima wa seth hakuna aliyekufa wakati wa gharika ila mwaka au miezi kabla ya gharika hata Methuselah naye alifariki miezi 6 kabla ya gharika yote haya ikimaanisha Mungu alishaona wanadamu hawana mpango wa kubadilika hivyo akaona aanze upya... So kujibu swali lako ni kwamba wasingetosha wote ila kama angejua wengi watabaki basi huenda asingeleta gharika kabisa au labda angewaficha tu kwenye Mlima au pango fulani na wakapona

3.swali ilikua nchi au dunia?
kama ilikuwa nchi kwann mafundisho yaoneshe dunia iligharikishwa

Ni dunia nzima ila waliita nchi ikimaanisha arshi yote iliyo juu ya maji hivyo ni dunia maana

Mwanzo 7
22 kila kitu chenye pumzi ya roho ya uhai puani mwake kikafa, kila kilichokuwako katika nchi kavu.

4.kama ilikuwa dunia watu waliwasiliana kwa lugha ipi kutoka kizazi cha nuhu mpaka kwingineko duniani?
Biblia haielezi lugha gani ilioongelewa na Adam wenye biblia yao wanadai ni kiebrania ndio Adam aliongea yaani Adam naye alikuwa myahudi!!! Anyway kwa wasomi wengine wa elimu ya roho kama john dee et al wanadai lugha iliyoongelewa ilikuwa ''enochian'' yaani lugha ya kimalaika ilioongelewa kuanzia bustani ya edeni na waliipa hilo jina baada ya kuona ni Enock mtu wa mwisho kuongea lugha hii ila zaidi ya hapo ukweli haujulikani na kama upo umefichwa na wenye biblia yao.


5.kama ilikuwa nchi na sio dunia ni vizazi gani vingine vilisalimika tofauti na kizazi cha nuhu?
Kibiblia hakuna aliyesalimika kwenye gharika tukiachana na controversy ya mfalme Ogu aliyepona ili kuvusha damu ya wanefili ama mke wa Ham yaani neitamuk kubeba mimba ya shamael ili kuvusha kizazi cha Cain.... Hakuna jamii yeyote iliokuwepo kabla ya gharika ikapona na hii ni kwa mujibu wa biblia ingawa mpaka leo hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa dunia iliwahi kufunikwa na maji.....

Ni hayo tu mkuu labda niite wataalam zaidi

Malcom Lumumba Son of Gamba Mshana Jr Nanaa jolie piteni huku mtie neno

Nimekuwa nakutana sana na baadhi ya vitabu vikisema mungu hakuumba ulimwengu bali ni msaidizi wake na pia mungu alimsaidia tu kuweka mwanga na mapokeo mazuri ya uelewano wao ndipo kile kikao cha kuumba mwanadamu kwa mfano wao kikawepo na hapo ndipo shetani akataka kumpa pumzi mwanadamu ila mungu akakataa kwa kuwa aliona dhamira ya wivu na chuki kwa Shetani na hapo ndipo ugomvi wao ulipoanzia rasmi
Je nawe umewah kukutana nalo ili siku moja tulijadili hapa?!
 
nakukumbuka sana ndg yang,kule chimbo si unatumia jina "maqcy"?,hata humu nilivyoona ume_coment kule juu,nilikugundua haraka sana,usijal rafk tupo kupata elimu tofaut tofaut.
Yeah bnafs naenjoy na tunaongeza vtu unajua uzur wa elimu kitu kiwe kweli ama uongo bs must kitakufunza na kurutubisha ubongo wko uzd kufkria mbaali zaidi,
 
Kwa binafsi naamini ni inchi siyo dunia na sehemu zilizokumbwa na gharika mpaka leo zimezama baharini garika ilitokea bara la Atlantis na likatoweka huu nd
afu unisaidie ilikua nchi au dunia iliyogjarikishwa?
Kwa binafsi naamini ni inchi siyo dunia na sehemu zilizokumbwa na gharika mpaka leo zimezama baharini garika ilitokea bara la Atlantis na likatoweka mpaka leo limezama baharini
 
Mkuu nashkuru kwa kuniita kwenye mada nzuri hii labda nijibu kwa maoni yangu kutumia source tofauti maana sio kila kitu biblia inazungumzia

1.maji, giza, Nuru, na upepo viliumbwa siku gani kati ya zile sita za uumbaji?

Maji yalitengenezwa siku ya kwanza ama kabla ya siku ya kwanza yalishatengenezwa.... Kuna story ndefu kidogo inaitwa Gap theory inayoeleza muda kati ya mwanzo 1 na 2 kuwa Mungu aliumba dunia ila baada ya kuvurugana na shetani, alivyotupwa aliamua kuivuruga dunia na kuiharibu mfumo wake mzima hivyo kilichobaki ni maji tu na hakukuwa na mwanga yaani GIZA sababu shetani aliharibu nyota zote

Nuru iliumbwa kabla ya mwanzo 2 ila baada ya kuvurugwa na shetani ndipo akaamua kutengeneza nuru siku ya kwanza

3 Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru.
4 Mungu akaiona nuru, ya kuwa ni njema; Mungu akatenga nuru na giza.


NB: ila cha kuzingatia hapa huu mwanga sio jua... Jua lilitengenzwa siku ya 4 ila huu mwanga ulikuwa unaangaza dunia but halina uhusiano wowote na jua au nyota nyingine yeyote

kuhusu upepo ulianza mwanzo 8:1 yaani Nuhu alipokuwa kwenye safina na maji yamejaa dunia nzima hivyo akaamua kuleta upepo ili kutawanya maji na ardhi hivyo upepo umetajwa mara ya kwanza hapa ila kama upepo ndio mara zote unatenganisha maji na ardhi basi tunaweza kusema kwenye zile siku 6 upepo uliumbwa siku ya tatu pale alipofanya kitendo kilekile cha kutenganisha maji na ardhi.

2. swali binadamu karibia wote (sio wote) walioonekana kumchukiza Mungu juu ya uso wa dunia/nchi wangeamua kuingia safinani wangetosha?

Mkuu biblia inaonyesha kuwa alishadhamiria kumfanya Nuhu pekee aanzishe kizazi kipya ndio maana hata ukoo wote wa Seth yaani kina methuselah,kenan,mehujael n.k Mungu aliwachukua kupitia kifo miezi michache kabla ya gharika.... Piga hesabu utagundua ukoo mzima wa seth hakuna aliyekufa wakati wa gharika ila mwaka au miezi kabla ya gharika hata Methuselah naye alifariki miezi 6 kabla ya gharika yote haya ikimaanisha Mungu alishaona wanadamu hawana mpango wa kubadilika hivyo akaona aanze upya... So kujibu swali lako ni kwamba wasingetosha wote ila kama angejua wengi watabaki basi huenda asingeleta gharika kabisa au labda angewaficha tu kwenye Mlima au pango fulani na wakapona

3.swali ilikua nchi au dunia?
kama ilikuwa nchi kwann mafundisho yaoneshe dunia iligharikishwa

Ni dunia nzima ila waliita nchi ikimaanisha arshi yote iliyo juu ya maji hivyo ni dunia maana

Mwanzo 7
22 kila kitu chenye pumzi ya roho ya uhai puani mwake kikafa, kila kilichokuwako katika nchi kavu.

4.kama ilikuwa dunia watu waliwasiliana kwa lugha ipi kutoka kizazi cha nuhu mpaka kwingineko duniani?
Biblia haielezi lugha gani ilioongelewa na Adam wenye biblia yao wanadai ni kiebrania ndio Adam aliongea yaani Adam naye alikuwa myahudi!!! Anyway kwa wasomi wengine wa elimu ya roho kama john dee et al wanadai lugha iliyoongelewa ilikuwa ''enochian'' yaani lugha ya kimalaika ilioongelewa kuanzia bustani ya edeni na waliipa hilo jina baada ya kuona ni Enock mtu wa mwisho kuongea lugha hii ila zaidi ya hapo ukweli haujulikani na kama upo umefichwa na wenye biblia yao.


5.kama ilikuwa nchi na sio dunia ni vizazi gani vingine vilisalimika tofauti na kizazi cha nuhu?
Kibiblia hakuna aliyesalimika kwenye gharika tukiachana na controversy ya mfalme Ogu aliyepona ili kuvusha damu ya wanefili ama mke wa Ham yaani neitamuk kubeba mimba ya shamael ili kuvusha kizazi cha Cain.... Hakuna jamii yeyote iliokuwepo kabla ya gharika ikapona na hii ni kwa mujibu wa biblia ingawa mpaka leo hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa dunia iliwahi kufunikwa na maji.....

Ni hayo tu mkuu labda niite wataalam zaidi

Malcom Lumumba Son of Gamba Mshana Jr Nanaa jolie piteni huku mtie neno
Tumemaliza kila kitu hapa sina la kuongeza... Nipende tu kusema kitabu cha mwanzo kina kila kitu kinachohitaj mijadala ya kila aina... kuanzia mijadala ya wazi.... Ya moja kwa moja mpaka ile tata isiyo na majibu ya kukidhi kiu ya wengi
 
Kwa binafsi naamini ni inchi siyo dunia na sehemu zilizokumbwa na gharika mpaka leo zimezama baharini garika ilitokea bara la Atlantis na likatoweka huu ndKwa binafsi naamini ni inchi siyo dunia na sehemu zilizokumbwa na gharika mpaka leo zimezama baharini garika ilitokea bara la Atlantis na likatoweka mpaka leo limezama baharini
sante kwa kuja na idea mpya. Huwa naona documentary tofautitofauti kwa walie ma diver wapo wanaosema kuna miji ya kihistoria imo chini/ndani ya bahari ngoja tuendelee kujifunza
 
Wanaposema Nchi hapo kwenye biblia inamaana ya ardhi, haimaanishi nchi kama Tz ama Uk, Gharika liliifunika nchi kumaanisha sehemu yote ya ardhi
sio kweli
maji yalifunika futi 21
unaujua urefu wa mlima kilimanjaro?
duniani kuna species takribani milioni 4 au zaidi za wanyama,kwa safina inayoelezewa kwenye biblia hata robo hawawezi kuenea
unamuwekaje simba na mbuzi halafu simba asimle mbuzi!!!
biblia ni kitabu kilichojaa vichekesho
 
sio kweli
maji yalifunika futi 21
unaujua urefu wa mlima kilimanjaro?
duniani kuna species takribani milioni 4 au zaidi za wanyama,kwa safina inayoelezewa kwenye biblia hata robo hawawezi kuenea
unamuwekaje simba na mbuzi halafu simba asimle mbuzi!!!
biblia ni kitabu kilichojaa vichekesho
aisee
 
sio kweli
maji yalifunika futi 21
unaujua urefu wa mlima kilimanjaro?
duniani kuna species takribani milioni 4 au zaidi za wanyama,kwa safina inayoelezewa kwenye biblia hata robo hawawezi kuenea
unamuwekaje simba na mbuzi halafu simba asimle mbuzi!!!
biblia ni kitabu kilichojaa vichekesho
kwa maana hiyo tukichukua aina za ndege warukao tu kwa species zao na wadudu kwa aina zake huwenda safina ingejaa? hapo tutoe wanyama wawili wawili kwa aina zao kweli hapa panazua swali jingine
 
kwa maana hiyo tukichukua aina za ndege warukao tu kwa species zao na wadudu kwa aina zake huwenda sagina ingejaa? hapo tutoe wanyama wawili wawili kwa aina zao kweli hapa panazua swali jingine
unajua wanaoamini drama za kwenye biblia ni wale wafia dini ya wazungu/waarabu bila kujiuliza logic ya vitu vilivyoandikwa kwenye hivyo vitabu
mambo mengi mle kama sio yote haya-make sense
 
niambie hapa kama kuna logic ya maana au tu mwandishi alijichanganya kwenye utunzi wake

Matthew 16:28 King James Version (KJV)

28 Verily I say unto you, There be some standing here, which shall not taste of death, till they see the Son of man coming in his kingdom.
 
niambie hapa kama kuna logic ya maana au tu mwandishi alijichanganya kwenye utunzi wake

Matthew 16:28 King James Version (KJV)

28 Verily I say unto you, There be some standing here, which shall not taste of death, till they see the Son of man coming in his kingdom.
huu utata nwingine sikuwahi kuufikiria kabisa
 
Back
Top Bottom