Hata mimi nimesikitishwa na hiki alichofanya kocha!Huyu kocha wa Yanga anaumwa ugonjwa wa kukariri,Karudia mfumo na wachezaji karibia wote waliocheza derby iliyopita.
Kulikuwa na maana gani ya Tshimbi kuanza mtu tangia mwezi wa tatu hajacheza game yoyote.Simba wangekuwa makini na goli Yanga angekufa hata sita.
Asante mkuu wawaongeze Ata kimoja tu zifike 4
Una jua goli la free kick ambayo siyo movie lilimpa sana kichwa, lakini kwa kufight, Morrison ni mweupe, na afadhali ya Molinga. Goli la free kick lilimpa sifa ambazo hakustahili. Sasa leo kiko wapi? Ni afadhali wasingepiga kelele pengine tusingekaza, sasa wanabaki na mechi za mchangani tu. Aibu sana hiiutabiri wangu kuhusu morrison umeenda straight, sasa mliokua mnamfanyia comparison na wachezaji wa simba nadhani majibu mshayapata
Hahah eti wakajidai wamepanda costa chura bana kikundi cha kwaya ndio hupanda costa,Una jua goli la free kick ambayo siyo movie lilimpa sana kichwa, lakini kwa kufight, Morrison ni mweupe, na afadhali ya Molinga. Goli la free kick lilimpa sifa ambazo hakustahili. Sasa leo kiko wapi? Ni afadhali wasingepiga kelele pengine tusingekaza, sasa wanabaki na mechi za mchangani tu. Aibu sana hii
Sasa itakuwaje, maana kama hawatoki draw lazima mmoja ashinde.
Heri yametoka kama yalivyotoka
Huwa sifurahii sana mjomba angu Mourinho akiharibu
Siyo kuwa na moyo tu, ukishafahamu kuwa hatuwezi kuwa sawa kimtizamo hata kimahaba katika mpira basi wala hupati tabu sababu ndivyo dunia ilivyo.Ase we jamaa una moyo kweli... endelea kujifariji
Huyo mjomba wako ana kibarua kigumu sana, hawezi kuendana na kasi ya mpira wa sasa.
Ifike muda akafundishe timu ya Taifa, huku anazidi kuharibu CV.
Kwa hiyo umeamua kumchana mkweo?
Jamaa nimeogopa utabiri wako[emoji23]Simba itashinda goli 4 kama benchi la ufundi wakitambua makosa yao.