Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Usisahau kwamba ni makombe mawili tofauti Mtani.Mtaanzia wapi wakati ni goli 1 dhidi ya magoli yetu ya jana
Ile VPL
Hii ASFC.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau kwamba ni makombe mawili tofauti Mtani.Mtaanzia wapi wakati ni goli 1 dhidi ya magoli yetu ya jana
Ndio yale ya chakula kikiwa kitamu unasifiwa mchele, ikiwa kinyume chake haulaumiwi mchele analaumiwa mpishi!Sema mmetubahatisha tu. 😎😎
Japo yule kocha naye sijui alitumia nini kupanga ile first eleven. Yaani ilikuwa hovyo kabisa. 😔
Niwakumbushe tu mkataba wake mwisho kesho hapo utoTulishaingia cha kike pale Mtani. noweiauti.
Poleni sana mimi nitaenda kazini muda wa kawaida leo foleni itapungua maana yanga wengi hawataenda kaziniKalijengeni tu kwa kweli. Mi naumwa leo. 😅😂😂😂
Afadhali uishe Mtani mana ameshageuka kichefuchefu.Niwakumbushe tu mkataba wake mwisho kesho hapo uto
Leo hata chai sinywi kwa furaha iliyopoNawaza vile namna unajisikia leo Mtani. Lol.
Nimekubali. í ½í±
Hahahahaaa. Kama nawaona mtakavyokuwa mnatupigia hizo kelele.Poleni sana mimi nitaenda kazini muda wa kawaida leo foleni itapungua maana yanga wengi hawataenda kazini
Tunaumwa leo.Poleni sana mimi nitaenda kazini muda wa kawaida leo foleni itapungua maana yanga wengi hawataenda kazini
Arudi tu kwao sioAfadhali uishe Mtani mana ameshageuka kichefuchefu.
Pole mtani mwenzako alifanya maamuzi magumu akaacha kushabikia yanga mkawa mnamponda yeye sasa hivi roho kwatuTunaumwa leo.
Mi ntaenda kesho na habari za kuzungumzia mpira mwisho leo. 😂😂😂😂
Hahahahaaaa. Halafu bana sijui kwa nini nilikuwa sana mzito jana kwenda Uwanjani.Haikuzima chaji?🤪
Tumieni dawa 3, maumivu yakizidi mumuone daktariTunaumwa leo.
Mi ntaenda kesho na habari za kuzungumzia mpira mwisho leo. í ½í¸í ½í¸í ½í¸í ½í¸
Hiyo para ya pili hiyo nimeilewa Shadeeya. Hiyo ni kauli ya kiungwana kabisa. Umekua sasa mamii, naomba upite kwenye supu nakuja kulipa😀😀😀🤪🤪🤪Hahahahaaa. Kama nawaona mtakavyokuwa mnatupigia hizo kelele.
Ila asiyekubali kushindwa si mshindani. Jana soka nimeliona.
Alivyotolewa akaondoka moja kwa moja uwanjaniArudi tu kwao sio
Hebu tuache basi na wewe. 😂😂😂Tufanye tunawapa na goli la tarehe nane matokeo yatakuwa ngapi ngapi
Sijui kama ulikumbuka kuiondoa hapo baada ya mechi. Wasiwasi wangu ni kwamba ulienda kulala mapeeeeema😀Hahahahaaaa. Halafu bana sijui kwa nini nilikuwa sana mzito jana kwenda Uwanjani.
Nilishaandaa jezi.
Nadhani ndo kimebakia Mtani.Arudi tu kwao sio
Hiyo label ya kwenye socket inaonyesha wazi unaunga mkono juhudi za sscHahahahaaaa. Halafu bana sijui kwa nini nilikuwa sana mzito jana kwenda Uwanjani.
Nilishaandaa jezi.
Ndio mjifunze kumtegemea Mungu na sio mwanadamuNadhani ndo kimebakia Mtani.
Sasa hata kama ni wewe una mtu kila siku anasusa wa nini sasa. Ye anataka furaha tu. Mmmxxxxiiiieeewww.