Nusu Fainali Azam Sports Federation Cup: Simba 4-1 Yanga uwanja wa Taifa Dar es salaam

Nusu Fainali Azam Sports Federation Cup: Simba 4-1 Yanga uwanja wa Taifa Dar es salaam

Hongereni watani zangu nawaza tu vile namna leo mtakavyowahi kazini ili tu mkatutambie. 😀

aminas
Bill.

Mi naumwa ntaenda kesho. 😎
🤪🤪 mtani hapo kwenye kuumwa nimecheka kweli. Kws kipigo hicho ni haki uumwe. Pole sikilizia maumivu taaratibu. Siki nyingine ujipange hatutaniwi
 
Back
Top Bottom