Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Leo kula tu mapema hakuna namnaInawezekana kabisa hiyo Mtani mana mi ile tarehe nane nilisogoa mpaka nakuja kushituka ni time ya lunch. í ½í¸í ½í¸í ½í¸í ½í¸
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo kula tu mapema hakuna namnaInawezekana kabisa hiyo Mtani mana mi ile tarehe nane nilisogoa mpaka nakuja kushituka ni time ya lunch. í ½í¸í ½í¸í ½í¸í ½í¸
Kuna video niliona kwa Milard Ayo ile saa mpira unaendelea akasepa zake.Hapo hata mazoezi ya leo kunyoosha viungo haendi
Yule kocha si mlisema ana sifa ya kucheza dabi afrika imekuwaje tenaAaaah!! Kocha katuuza Ses.
Mlianza kua tunahonga timu pinzani, ikaja tunapendelewa na TFF, mara tumemrubuni BM, sasa mnamrukia kocha wenu wenyewe eti kawauza!😀😀😀Aaaah!! Kocha katuuza Ses.
Tushaiona na size ya tshirt nitakutumia package ya msimbaziTena ngoja nikakatoe. í ½í¸
Aiseee!!! Mtani mmetuhadhiri.Ndiyo mukome kutembea na goli lenu moja mfukoni 😂😂😂
Pole mamii, mlikua mnaongea sana tukasema ngoja tuweke speed governor kidoogo kwenye midomo ya wana Chura FC🤪Hebu mtuchambe kwa kiasi basi. Lol.
Hiyo hapoKuna video niliona kwa Milard Ayo ile saa mpira unaendelea akasepa zake.
Yule nadhani si mzima.
Tshirt nyekundu itampendeza saanaTushaiona na size ya tshirt nitakutumia package ya msimbazi
Mpira tu huu Ses mmetuotea basi tumekubali.Kwa ile kauli yako nakubali kua umekwiva
Najua leo hamu ya kula haiwezi kuwepo, au upo kwenye swaumu?🤣🤣🤣
Weee!! Mngenimeza mana mnajua kuchamba mbaya.Ukweli tilikumiss wakati wa mpira ulitakiwa uwe live kuwafariji wenzako maana wengi tulikuwa nao kabla ya mpira kuanza baadae hatujui walipata matatizo gani labda walipoteza fahamu baada ya goli la pili
Kweli kabisa. Nafanyaje sasa.Leo kula tu mapema hakuna namna
Sifa anazo ila karata jana amezichanga vibaya.Yule kocha si mlisema ana sifa ya kucheza dabi afrika imekuwaje tena
Kwahiyo hata goli la nne ulifanya kuhadithiwa tu? Pole, tena hapo panadol inahusika🤪Uwiiii!! Mi kulala mapema kawaida yangu.
Nilipoona mauza uza tu wala sikukaa aiseee
Lawama zake yule leo.Mlianza kua tunahonga timu pinzani, ikaja tunapendelewa na TFF, mara tumemrubuni BM, sasa mnamrukia kocha wenu wenyewe eti kawauza!😀😀😀
Nyie mmemzingua na yeye kawazingua, ngoma drooAah!! Huoni kama imekuwa nafuu kwetu. 😎
😂😂😂😂Tushaiona na size ya tshirt nitakutumia package ya msimbazi