Mtapenda
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 1,115
- 2,063
45dk simba 2 yanga 0
90dk simba 4 yanga 1
kwenu studio
We jamaaa bwana unajua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
45dk simba 2 yanga 0
90dk simba 4 yanga 1
kwenu studio
Wanaweza kumlaumu baadae kuwa alichangia timu yao kufungwa maana si kawaida yao kuanzisha mada za mechi ya simba na yangaNichukue nafasi kumpongeza Muanzisha mada, Mwana Yanga kindakindaki.
Jeseverest [emoji120][emoji120][emoji120]
kwa waliokua hawajui basi leo ndio watashuhudia kua morison ha-deserve kua hata kikosi B pale simba
dili linavurugika leo
Mtani halafu sijui jana ikawaje mana tiketi nilikuwa nayo lakini imefika mida ya saa sita mchana nafsi ikakataa kabisa kujiandaa kwenda Taifa.Yaani Jana Nilikua Nakutamni Nakutamni Ila Nilikua Bizee Na Furaha Ya Ushindi Wa Mwaka Jana.
Ila Mtani Poleni Sana Na Hongereni Sana Vyamchangani Vinawahusu.
Ahsante Mtani nshapoa bana.Yaani Jana Nilikua Nakutamni Nakutamni Ila Nilikua Bizee Na Furaha Ya Ushindi Wa Mwaka Jana.
Ila Mtani Poleni Sana Na Hongereni Sana Vyamchangani Vinawahusu.
Timu yetu haina ubovu wa kufungwa goli zote zile bana.
Nadhani kocha tu naye alichemsha kuwaanzisha kina Tshishimbi ambao hawana match fitness.
Manara kakuharibu Mtani. Mana hii ni zaidi ya tambo. lolHata wangekuwa wazima tungewafunga tu.
Nyie ni wazuri kwa Mbeya city na timu nyingine ndogo ila si kwa Simba.
Kwa sasa ni bahati tu ndiyo mnaweza kuipata dhidi yetu ila kwa uwezo ni vyema mkafahamu bado mpo chini sana kwetu mtani fanyeni usajili msijifiche kwenye kivuli cha majeruhi[emoji3][emoji3]
Kiukweli Siko poa Mtani. 🙈🙈Ila Mtani Nikuulize Tu Kwa Ukweli Unajisikiaje? Yaani Kwa Ukweli Kabisaa Na Unamuelezeaje Morrison?
Unakielewa ulichokiandika Mkuu? 😳😳Hata kocha angeingia yeye akaanza, mmngepigwa tu!
Simba ilijiandaa vyema nje na ndani ya uwanja kushinda! Ilikuwa imeshamaliza kila kitu, kilichokuwa kimebaki ni kuimaliza utupolo tu!
Wala msimlaumu kocha au wachezaji, ukweli mlizidiwa sana acheni kulaumu sijui kocho, mara morrison oooh, sijui lamine!
...jilaumuni nyie mashabiki na midomo yenu!
Waende kujiandaa na nsimu ujaoaende wapi
Na kwa timu yetu ya Yanga bila Mabadiliko haya ndo yataendelea kila siku.Inahitaji uvumilivu wakati mwingine viongozi na benchi la ufundi wanafanya usajili kwa shinikizo la mashabiki timu bora haipatikani kwa usajili bali wachezaji kukaa pamoja na kuzoeana muda mrefu
Yule refa alitulia na alitenda haki
Haya bana.wanasimba ambao ni waislam wasiache kusoma suratul iklas mara 3,itasaidia kushindana na mambo ya kishirikina
Shadeeya
Ila 4 nyingi sana kama unabisha waulize wanandoa
Pacha alikuotesha babu gani eti? 🏃♂️🏃♂️🏃♂️Simba 3-Yanga 1
Acha tutambe mtani. Mlitukosesha sana amani nyie na goli la adui yenu mpya Morrison[emoji3][emoji3].Manara kakuharibu Mtani. Mana hii ni zaidi ya tambo. lol
Uliangalia mpira kwanza? [emoji3][emoji3]Haya bana. Wadhania leo nna maneno basi.