Nusu Fainali Azam Sports Federation Cup: Simba 4-1 Yanga uwanja wa Taifa Dar es salaam

Nusu Fainali Azam Sports Federation Cup: Simba 4-1 Yanga uwanja wa Taifa Dar es salaam

Ahsante mkuu lakini jana ni kipigo kama cha Maneno ya RPC wa dodoma
Hahahah,,, yale maneno tu, mechi ishaisha na maisha mengine inabidi yaendelee,, kilichotokea jana kila mtu kaona,

Hiki kipindi kigumu na inabidi mtulie sanaa na msipotulia mtaanza timua timua matokeo yake mtarudi nyuma zaidi.

Viongozi wetu wamekuwa waongo waongo na janja janja nyingi, mbaya zaidi mtu akiongea ukweli anaonekana msaliti.
 
Hahahah,,, yale maneno tu, mechi ishaisha na maisha mengine inabidi yaendelee,, kilichotokea jana kila mtu kaona,

Hiki kipindi kigumu na inabidi mtulie sanaa na msipotulia mtaanza timua timua matokeo yake mtarudi nyuma zaidi.

Viongozi wetu wamekuwa waongo waongo na janja janja nyingi, mbaya zaidi mtu akiongea ukweli anaonekana msaliti.
Yaah huo ndo ukweli na siku ziye ukweli huwa mchungu
 
Ukitaka kujua magoli manne ni mengi waulize watu waliopo kwenye ndoa
 
Hahahah,,, yale maneno tu, mechi ishaisha na maisha mengine inabidi yaendelee,, kilichotokea jana kila mtu kaona,

Hiki kipindi kigumu na inabidi mtulie sanaa na msipotulia mtaanza timua timua matokeo yake mtarudi nyuma zaidi.

Viongozi wetu wamekuwa waongo waongo na janja janja nyingi, mbaya zaidi mtu akiongea ukweli anaonekana msaliti.
angalia mfano usajili wa morison walisema tayari kasainishwa miaka 2,na wakapost na picha ,lakini baada ya kubaki miezi miwili ndo inajulikana morison ana mkataba wa miezi 6
 
Hahaha kumbe alishawahi kuwa coach wa Porto!!

FC Porto ndiko alikopatia umaarufu, alichukua UEFA mwaka 2004, na robo alikutana na Man United ya Ferguson.

Game 1 alishinda 2 - 1 kwake, game 2 walitoka 1 - 1 OT. Hii game ya pili tayari alikuwa ameshajigamba kwamba atawatoa Man Utd.

Na Man Utd alitangulia kufunga mapema, kama matokeo yangebaki 1 bila, Man U angepita, goli lilivyorudishwa Uncle aliondoka kwa kushangilia na hakusubiri mechi iishe.
 
angalia mfano usajili wa morison walisema tayari kasainishwa miaka 2,na wakapost na picha ,lakini baada ya kubaki miezi miwili ndo inajulikana morison ana mkataba wa miezi 6
Hatari, kama viongoz janja janja hatari sana,,, swala la morrison viongozi waliwadangaya mashabiki,,

Kwa hili viongoz wanastahili kuwajibika,, waache janja janja
 
Hadi huruma
IMG-20200712-WA0077.jpg
 
Vyura bhana! Walikuwa wanafikiria namna gani wataturudishia zile 5 yulizowalamba hatimae tumewanyandua nyengine 4 😂😂😂
Sasa sijui watatulipa zipi mwanzo kati ya 5 au hizi 4 za Jana! 😇
 
Back
Top Bottom