Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Shikamoo Pacha. ๐๐๐Sisi wazee wa kubet ni kawaida sana huo utabiri,sio suala la kuotesha hapo ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shikamoo Pacha. ๐๐๐Sisi wazee wa kubet ni kawaida sana huo utabiri,sio suala la kuotesha hapo ๐
Ahsante Mtani. ๐๐hata mimi huwa nakukubali kwa utulivu wako mtani!
@Shadeeya
Hahahaaaa. Haya bana.Washabiki ws utopolo wangekuwa wastaarabu kama Shadeeya tungewabeba wapate nafasi ya kushiriki kimataifa
Ahsante Binamu. Japo leo ni siku niliyojifungia ndani tu. ๐๐๐Karibu lau unywe juice
Kumbe ulikata tamaa mapema hivyo. Unajuaje pengine yale magoli yalirudishwa kama yalivyorudi kwenye ile mechi ya 2-2!? Kwani ushajua matokeo ya dakika tisini Shadeeya ?๐๐คฃ๐๐คฃ, maana kwa Yanga mpira haujaisha mpaka uishe.....chezea Chura churani wewe๐คฃ๐คฃ๐คฃSikumbuki hata niliishia dakika ya ngapi. ๐๐๐
Toka tuu tulisha wasamehe.Ahsante Binamu. Japo leo ni siku niliyojifungia ndani tu. ๐๐๐
Tuliwashika pabaya eeh๐คฃ?Mtani naona mmetuweza aisee.
Mzima?
Mimi mzima, Naomba mtuuzie Morrison [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mtani naona mmetuweza aisee.
Mzima?
Mchukueni tu Mtani.Mimi mzima, Naomba mtuuzie Morrison [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Au kayapanda dau?View attachment 1505527
Nadhani wako sahihi hao mana ameshakuwa kichefuchefu ndani ya klabu.Au kayapanda dau?View attachment 1505527
Tumebadili gia anganiMchukueni tu Mtani.
Ajue wana Yanga akituchukiza leo basi leo leo tunamtoa thamani.Mshamba huyu anajikuta n zaid ya messi
Mnabadilishaje wakati nyie ndo mmempa hiyo kibri.Tumebadili gia angani
Hatumtaki mechi yajana ilikuwa majaribio na kumpima Kama ana hadhi ya Kuchezea wana MsimbaziMnabadilishaje wakati nyie ndo mmempa hiyo kibri.
Ila nimejikuta namchukia tu. ๐๐Hatumtaki mechi yajana ilikuwa majaribio na kumpima Kama ana hadhi ya Kuchezea wana Msimbazi