Nusu fainali ya COSAFA: Zambia 4 na Tanzania 2

Nusu fainali ya COSAFA: Zambia 4 na Tanzania 2

[emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1433]

Rais bora Afrika ni yule mwenye uwezo wa kushinda nishani ya Mo Ibrahim. Ambayo kigezo chake no moja ni utawala bora na demokrasia. Vipi huyu anayeitwa bora anavyo hivyo vigezo???
 
Nani kiongozi Bora Afrika??

Hahaha, jamani msinicyekeshe bule..!!

Labda Yule kagàme at least anaweza kuwa bora

Lakini cyo Yule sizonje
 
Aya sasa, turudi kwenye drama zetu za siasa. Mpira tuwaachie wenzetu.
 
Back
Top Bottom