Rais bora Afrika ni yule mwenye uwezo wa kushinda nishani ya Mo Ibrahim. Ambayo kigezo chake no moja ni utawala bora na demokrasia. Vipi huyu anayeitwa bora anavyo hivyo vigezo???
[emoji115]Hapa kazi tu
La pili kafunga nan?ZAMBIA 4 - 2 TANZANIA
Kweli...mbumbumbu fc ndio waliofanya tufungwe magoli yote haya
Zambia 4 - CCM 2
wacha buana[emoji3]Zambia 4 - CCM 2
MsuvaLa pili kafunga nan?
Mama ako umemjulisha? Fara wewe unaendekeza majungu utakufa na pressure mwehu wewe.