Nusura nife asubuhi ya leo

Wakupokonye simj ushalewa🤣🤣🤸‍♂️🤨
 
Popoma kama popoma
 
Mtoa mada soma vitabu vya alfu lela ulela utapata visa vingi sana vya ajabu ajabu!
 
Ungekua umeoa mwanamke aina ya cute wife angeshakumalizia ukafie mbele abaki na mali
 
Ungekua umeoa mwanamke aina ya cute wife angeshakumalizia ukafie mbele abaki na mali
Inafikiri ataniua kwa njia ipi? Sumu kwenye chakula(angeacha alama na hawezi kuwa mjinga hivyo)? Kupitia mganga(hakuna mganga wa kuniroga Africa yote)? Unafikiri angeniuaje?
 
Tuheshimiane... nina heshima zangu, ni Mhadhiri, mume na baba wa watoto wawili
We ni mpumbavu na mjinga.

Kama ni mhadhiri ulienda shule kusomea ujinga na ufala.

Kama ni baba wa watoto basi ni baba kubwa Jinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…