Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Nilianza kusoma kabla ya kujua mleta uzi ni nani lkn baada ya kufika hpa nikagundua nimefungua kimakosa uzi huuMara pua yangu ikadondoka chini... kwenye kioo nikaduwaa... badala ya kujiona mimi nikawa namuona huyo mjomba wa mke wangu
Wm good worry outNahisi unatatizo la kisaikologia mkuu. Tafuta wataalam.
OkayNilianza kusoma kabla ya kujua mleta uzi ni nani lkn baada ya kufika hpa nikagundua nimefungua kimakosa uzi huu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]Yaan pua imedondoka afu ukairudishia?
Emb andika vizur mkuu ichi kisa chako
Wakupokonye simj ushalewa🤣🤣🤸♂️🤨Tupo kwenye ugomvi kidogo namke wangu kuhusiana na suala langu la kuzidi kuwa namwili yaani big,,
Amemshirikisha na ndugu yakeupande wa baba yake suala hili.. mimi ni muungwana mno,aliniita na kuniambia nipunguze mwili namkera mkewangu
Sikupinga kwakuwa mimi nimtu mzima mwenye akili zangu... ila yeye alipokuwa akiongea aliongea nikama kwa shari hivi...
Kwanza nimemuona tu at first sight nikagundua ni MCHAWI... jicho lake la kushoto lilikuwa linawaka... ni mtu mwenyemaarifa tu ndiyo huona kitu hiki,na akajua kama nimemgundua...
Asubuhi yaleo nimeshindwa kwenda kazini kutokana na madhila niliyopata... nimeamka najiangalia kwenye kioo naona pingili za mgongo zimechomoza na mgongo umejipinda yaani curve
Nikasema nini hii? Mke wangu akawa ananiona normal tu...
Mara pua yangu ikadondoka chini... kwenye kioo nikaduwaa... badala ya kujiona mimi nikawa namuona huyo mjomba wa mke wangu
Huyu asili yake ni Germany na ana undugu wa mbali kidogo na mkewangu...
Namuona macho yanatema cheche huku anacheka sana
Mke wangu ananiuliza why umeduwaa? Namzuga tu ila nikawa ulimwengu mwingine kabisa...
Nikarudi kulala after kupiga simu yadharura ofisini... nikaamka saa sita mke wangu ananishangaa na kuniuliza kulikoni
Jamani nachoka kuandika mambo ni mengu mno... bado pingili hazijatoka zimekuwa ndefumno na mgongo umekuwawa kizee... mke wangu anaona kawaida tu hana macho ya kuona haya nipitiayo🤸♂️
Nitashinda vita hii kwa uwezo wake Yeye
Popoma kama popomaTupo kwenye ugomvi kidogo namke wangu kuhusiana na suala langu la kuzidi kuwa namwili yaani big,,
Amemshirikisha na ndugu yakeupande wa baba yake suala hili.. mimi ni muungwana mno,aliniita na kuniambia nipunguze mwili namkera mkewangu
Sikupinga kwakuwa mimi nimtu mzima mwenye akili zangu... ila yeye alipokuwa akiongea aliongea nikama kwa shari hivi...
Kwanza nimemuona tu at first sight nikagundua ni MCHAWI... jicho lake la kushoto lilikuwa linawaka... ni mtu mwenyemaarifa tu ndiyo huona kitu hiki,na akajua kama nimemgundua...
Asubuhi yaleo nimeshindwa kwenda kazini kutokana na madhila niliyopata... nimeamka najiangalia kwenye kioo naona pingili za mgongo zimechomoza na mgongo umejipinda yaani curve
Nikasema nini hii? Mke wangu akawa ananiona normal tu...
Mara pua yangu ikadondoka chini... kwenye kioo nikaduwaa... badala ya kujiona mimi nikawa namuona huyo mjomba wa mke wangu
Huyu asili yake ni Germany na ana undugu wa mbali kidogo na mkewangu...
Namuona macho yanatema cheche huku anacheka sana
Mke wangu ananiuliza why umeduwaa? Namzuga tu ila nikawa ulimwengu mwingine kabisa...
Nikarudi kulala after kupiga simu yadharura ofisini... nikaamka saa sita mke wangu ananishangaa na kuniuliza kulikoni
Jamani nachoka kuandika mambo ni mengu mno... bado pingili hazijatoka zimekuwa ndefumno na mgongo umekuwawa kizee... mke wangu anaona kawaida tu hana macho ya kuona haya nipitiayo
Nitashinda vita hii kwa uwezo wake Yeye
Sawa nashukuruWakupokonye simj ushalewa[emoji1787][emoji1787][emoji2223][emoji2955]
Sawa ahsanteWewe dawa yako uchapwe viboko vya kichwa mpaka ubongo ukukae vyema KMNINA zako mtoa sledi
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Nitakujubu ondoa shakaNitashinda vita hii kwa uwezo wake Yeye
Nani?
Sawa ahsante kwa tusi lakoMtoa mada soma vitabu vya alfu lela ulela utapata visa vingi sana vya ajabu ajabu!
Inafikiri ataniua kwa njia ipi? Sumu kwenye chakula(angeacha alama na hawezi kuwa mjinga hivyo)? Kupitia mganga(hakuna mganga wa kuniroga Africa yote)? Unafikiri angeniuaje?Ungekua umeoa mwanamke aina ya cute wife angeshakumalizia ukafie mbele abaki na mali
We ni mpumbavu na mjinga.Tuheshimiane... nina heshima zangu, ni Mhadhiri, mume na baba wa watoto wawili
Sawa ahsanteWe ni mpumbavu na mjinga.
Kama ni mhadhiri ulienda shule kusomea ujinga na ufala.
Kama ni baba wa watoto basi ni baba kubwa Jinga.