Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Big imekuwaje tena kaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anahitaji checkup kubwa Sana....Maana Kama sio mchawi anapata wapi illusion Kama hizo jamani?Kama sio hivyo basi fanya haraka sana uwahi hospitali ukacheki afya yako ya akili.
Wewe una ugonjwa wa akili. Kubali upelekwe milembe utaponaTuheshimiane... nina heshima zangu, ni Mhadhiri, mume na baba wa watoto wawili
😂😂😂😂😂Wewe una ugonjwa wa akili. Kubali upelekwe milembe utapona
Am fineWewe una ugonjwa wa akili. Kubali upelekwe milembe utapona
Umesahau kumwambia pia Mnene wa Mwili Mkubwa na mweye Pua inayodondoka na kurudishika.Tuheshimiane... nina heshima zangu, ni Mhadhiri, mume na baba wa watoto wawili
mshamba_hachekwi naskia macho yako yanatoa cheche🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👋Lovie Lady Leejay49 mcheke na leo msilale mmenuna 😂
Hili tatizo la afya akiri hakika linakuwa ni janga jingine la kitaifa.Tupo kwenye ugomvi kidogo namke wangu kuhusiana na suala langu la kuzidi kuwa namwili yaani big,,
Amemshirikisha na ndugu yakeupande wa baba yake suala hili.. mimi ni muungwana mno,aliniita na kuniambia nipunguze mwili namkera mkewangu
Sikupinga kwakuwa mimi nimtu mzima mwenye akili zangu... ila yeye alipokuwa akiongea aliongea nikama kwa shari hivi...
Kwanza nimemuona tu at first sight nikagundua ni MCHAWI... jicho lake la kushoto lilikuwa linawaka... ni mtu mwenyemaarifa tu ndiyo huona kitu hiki,na akajua kama nimemgundua...
Asubuhi yaleo nimeshindwa kwenda kazini kutokana na madhila niliyopata... nimeamka najiangalia kwenye kioo naona pingili za mgongo zimechomoza na mgongo umejipinda yaani curve
Nikasema nini hii? Mke wangu akawa ananiona normal tu...
Mara pua yangu ikadondoka chini... kwenye kioo nikaduwaa... badala ya kujiona mimi nikawa namuona huyo mjomba wa mke wangu
Huyu asili yake ni Germany na ana undugu wa mbali kidogo na mkewangu...
Namuona macho yanatema cheche huku anacheka sana
Mke wangu ananiuliza why umeduwaa? Namzuga tu ila nikawa ulimwengu mwingine kabisa...
Nikarudi kulala after kupiga simu yadharura ofisini... nikaamka saa sita mke wangu ananishangaa na kuniuliza kulikoni
Jamani nachoka kuandika mambo ni mengu mno... bado pingili hazijatoka zimekuwa ndefumno na mgongo umekuwawa kizee... mke wangu anaona kawaida tu hana macho ya kuona haya nipitiayo
Nitashinda vita hii kwa uwezo wake Yeye
Serikali inavumilia vingi
Hili tatizo la afya akiri hakika linakuwa ni janga jingine la kitaifa.
Hahaha chaiKuna konda kipindi cha nyuma alikuwa na mdomo kwapani. Gari za Ubungo Masaki.
Hebu tafuta nyuzi za huyo kinda zinaweza kuwepo humu ndaniHahaha chai