Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
CCM imepagawa na uchaguzi mkuu mwakani.. Bado haijiamini licha ya kufanya maandalizi mengi ya mbinu chafu kushinda
CCM na viongozi wake wote wanatambua hawapendwi kabisa Tanganyika na huko Visiwani hali ni mbaya zaidi kuliko huku Bara! Lakini wanalazimisha kupendwa kwa namna yoyote ile.. Hii ni hatari sana!
Ogopa sana mtu aliyepagawa na jambo lolote lile.. Atafanya mambo ya ajabu bila ufahamu wake kamili.. Na yeyote atakayejaribu kumuasa anageuka kuwa adui na m'baya wake!
Wanaopagawa na mapenzi halafu waajua hawapendwi hulazimisha penzi kwa turufu ya pesa! Jamaa yangu mmoja alikuwa anahonga mpaka vitu vya mkewe wa ndoa
Katikati ya hii taharuki na kupagawa kwa CCM wamejiinua watu wenye uchu na nia mbaya na tunu zetu za taifa hasa ardhi na maliasili zake.. Hawa wanamwaga pesa balaa ili chama kishinde
Kwasasa wamevaa koti kubwa la wema na upole lakini rohoni ni wabaya shetani anasubiri.. Kila senti wanayotoa hata thumni wani document.. Hawanaga kazi za hasara hawa ndugu.. Mancha yao tutayaona baada ya uchaguzi na CCM ikishinda..
Juzi kwenye kongamano la TLS kuhusu watu waliopotea alihojiwa afande Murilo kama mbeba dhamana wa ulinzi na usalama wa uhai wetu.. Majibu yake kwenye hayo mahojiano badala ya kuleta tumaini yaliwaacha wengi na kihoro kikubwa
Kwa hali ilivyo na kwa yaliyokwisha tokea alipaswa awe ameshawajibika kwa vitendo.
Sasa huu ni mfano mmoja tu kuelekea uchaguzi mkuu. Hakuna palipoachwa salama kifedha.. Lakini hii mirija inayotiririsha mihela yote hiyo kwasasa kwa chama chawala..baada ya uchaguzi button itabadilika toka kwenye kutiririsha mpaka kwenye kunyonya na kufyonza
Na kama button ya kutiririsha Ilikuwa 4G ya kufyonza itakuwa 6G.
Kama button ya kutiririsha ilikuwa imefungwa engine ya carina ya kufyonza itafungwa ya semi trailer
Watanyonya kila kitu kisha watafyonza Mabaki.. Na hatutawafanya kitu kama mshirika wao atarudi mamlakani..!
CCM na viongozi wake wote wanatambua hawapendwi kabisa Tanganyika na huko Visiwani hali ni mbaya zaidi kuliko huku Bara! Lakini wanalazimisha kupendwa kwa namna yoyote ile.. Hii ni hatari sana!
Ogopa sana mtu aliyepagawa na jambo lolote lile.. Atafanya mambo ya ajabu bila ufahamu wake kamili.. Na yeyote atakayejaribu kumuasa anageuka kuwa adui na m'baya wake!
Wanaopagawa na mapenzi halafu waajua hawapendwi hulazimisha penzi kwa turufu ya pesa! Jamaa yangu mmoja alikuwa anahonga mpaka vitu vya mkewe wa ndoa
Katikati ya hii taharuki na kupagawa kwa CCM wamejiinua watu wenye uchu na nia mbaya na tunu zetu za taifa hasa ardhi na maliasili zake.. Hawa wanamwaga pesa balaa ili chama kishinde
Kwasasa wamevaa koti kubwa la wema na upole lakini rohoni ni wabaya shetani anasubiri.. Kila senti wanayotoa hata thumni wani document.. Hawanaga kazi za hasara hawa ndugu.. Mancha yao tutayaona baada ya uchaguzi na CCM ikishinda..
Juzi kwenye kongamano la TLS kuhusu watu waliopotea alihojiwa afande Murilo kama mbeba dhamana wa ulinzi na usalama wa uhai wetu.. Majibu yake kwenye hayo mahojiano badala ya kuleta tumaini yaliwaacha wengi na kihoro kikubwa
Kwa hali ilivyo na kwa yaliyokwisha tokea alipaswa awe ameshawajibika kwa vitendo.
Sasa huu ni mfano mmoja tu kuelekea uchaguzi mkuu. Hakuna palipoachwa salama kifedha.. Lakini hii mirija inayotiririsha mihela yote hiyo kwasasa kwa chama chawala..baada ya uchaguzi button itabadilika toka kwenye kutiririsha mpaka kwenye kunyonya na kufyonza
Na kama button ya kutiririsha Ilikuwa 4G ya kufyonza itakuwa 6G.
Kama button ya kutiririsha ilikuwa imefungwa engine ya carina ya kufyonza itafungwa ya semi trailer
Watanyonya kila kitu kisha watafyonza Mabaki.. Na hatutawafanya kitu kama mshirika wao atarudi mamlakani..!