Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Naam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi mkuu ila mpaka sasa kupigania vijana wa nchi hii kunahitaji moyo kizazi hiki cha kubeti,mpira na music ni kizazi kiovu kuwahikutokea. Ebu itisha maandamano ya kudai ajira kwa vijana,kupinga mfumko wa bei,mikopo %100 vyuo vikuu na mikopo kwa vijana waliomaliza shule alafu liwepo kongamano likitumbuizwa na Zuchu,Nandi,Diamond,Alikiba na wengine uone kundi tunalopigania litakimbilia wapi tena watatoa mpaka kiingilioCCM imepagawa na uchaguzi mkuu mwakani.. Bado haijiamini licha ya kufanya maandalizi mengi ya mbinu chafu kushinda
CCM na viongozi wake wote wanatambua hawapendwi kabisa Tanganyika na huko Visiwani hali ni mbaya zaidi kuliko huku Bara! Lakini wanalazimisha kupendwa kwa namna yoyote ile.. Hii ni hatari sana!
Ogopa sana mtu aliyepagawa na jambo lolote lile.. Atafanya mambo ya ajabu bila ufahamu wake kamili.. Na yeyote atakayejaribu kumuasa anageuka kuwa adui na m'baya wake!
Wanaopagawa na mapenzi halafu waajua hawapendwi hulazimisha penzi kwa turufu ya pesa! Jamaa yangu mmoja alikuwa anahonga mpaka vitu vya mkewe wa ndoa
Katikati ya hii taharuki na kupagawa kwa CCM wamejiinua watu wenye uchu na nia mbaya na tunu zetu za taifa hasa ardhi na maliasili zake.. Hawa wanamwaga pesa balaa ili chama kishinde
Kwasasa wamevaa koti kubwa la wema na upole lakini rohoni ni wabaya shetani anasubiri.. Kila senti wanayotoa hata thumni wani document.. Hawanaga kazi za hasara hawa ndugu.. Mancha yao tutayaona baada ya uchaguzi na CCM ikishinda..
Juzi kwenye kongamano la TLS kuhusu watu waliopotea alihojiwa afande Murilo kama mbeba dhamana wa ulinzi na usalama wa uhai wetu.. Majibu yake kwenye hayo mahojiano badala ya kuleta tumaini yaliwaacha wengi na kihoro kikubwa
Kwa hali ilivyo na kwa yaliyokwisha tokea alipaswa awe ameshawajibika kwa vitendo.
Sasa huu ni mfano mmoja tu kuelekea uchaguzi mkuu. Hakuna palipoachwa salama kifedha.. Lakini hii mirija inayotiririsha mihela yote hiyo kwasasa kwa chama chawala..baada ya uchaguzi button itabadilika toka kwenye kutiririsha mpaka kwenye kunyonya na kufyonza
Na kama button ya kutiririsha Ilikuwa 4G ya kufyonza itakuwa 6G.
Kama button ya kutiririsha ilikuwa imefungwa engine ya carina ya kufyonza itafungwa ya semi trailer
Watanyonya kila kitu kisha watafyonza Mabaki.. Na hatutawafanya kitu kama mshirika wao atarudi mamlakani..!
Mkuu usiangaike na wahuni awa nguvu tunayotumia kudai haki tuirudishe kuimarisha chumi zetu vijana wetu ni wapumbavu sana wakipewa baiskeli na pikipiki wanaona dunia imeisha.BREAKING: Tumepokea taarifa ya kuogofya kidogo kwamba kontena 72 za futi 40, zimefika Tanzania zikiwa na Shehena ya baiskeli za Rais Samia. Chanzo kinatutaarifu kwamba hizo baiskeli zimetolewa na kampuni ya Adani anayepewa kazi wizara ya Nishati na Tanesco. @TanzaniaLeaksView attachment 3124165View attachment 3124166
Tatizo ni wananchi kutotumia akili zao sawasawaIle ni takrima
BREAKING: Tumepokea taarifa ya kuogofya kidogo kwamba kontena 72 za futi 40, zimefika Tanzania zikiwa na Shehena ya baiskeli za Rais Samia. Chanzo kinatutaarifu kwamba hizo baiskeli zimetolewa na kampuni ya Adani anayepewa kazi wizara ya Nishati na Tanesco. @TanzaniaLeaksView attachment 3124165View attachment 3124166
On the contrary, how can such an organization be recognized to be a "state apparatus"?CCM 's life is entirely dependent on state apparatus. Period!
You are very true. Instead, we should call it CCM apparatusOn the contrary, how can such an organization be recognized to be a "state apparatus"?
Clearly, there should be a better term to describe such an rotten organization!
"Mafia CCM apparatus" comes closer to what I think they deserve to be called!You are very true. Instead, we should call it CCM apparatus
Unataka utafiti kwa vitu vilivyo mbele ya macho yako, vilivyo kwenye ncha ya pua yako???🤣🤣Utafiti gani umefanya mpaka ukakupa ujasiri wa kuandika ulichoandika nadhari yako kiuhalisia hali haipo hivyo!
Mtu mjinga ni kumpuuza!Unataka utafiti kwa vitu vilivyo mbele ya macho yako, vilivyo kwenye ncha ya pua yako???🤣🤣
UJINGA MZIGO!!!