Upe muda wakati ni hakimu mzurikatika bandiko hili lenye sura ya kiramli na tambiko,
CCM ambayo inapendwa zaidi na waTanzania mamilioni kwa mamilioni nchini, imetajwa katika paragraph karibu zote . Na hii ikimaanisha CCM inafurukuta pakubwa hata mojoni mwa mtoa hoja...
badala ya kujiandaa na uchaguzi, unaaanda sababu za kushindwa uchaguzi π€£
Nope Mkuu, just the ignorant masses!CCM 's life is entirely dependent on state apparatus. Period!
Sahihi kabisaUoga wetu ndiyo silaha waliyonayo ya kututawala wanavyotaka!
Pesa ni zile kodi zetu, vote ya Ikulu huwa haikaguliwi na mtu yoyote ndiyo shamba la bibi lilipoHizo pesa zimetoka wapi?
CCM ni laana mbele za MUNGUHalafu kuna zile za scavangers wa malighafi zetu
Kwanza sii kweli kuwa CCM imepangawa na uchaguzi mkuu, kitu ni chako mwenyewe utapagawa vipi nacho?. Na kwenye kufanya maandalizi, please usiseme mbinu chafu, sema zile mbinu za kawaida za ki napenape!, kinyago ukichonge mwenyewe, hakiwezi kukutisha.CCM imepagawa na uchaguzi mkuu mwakani.. Bado haijiamini licha ya kufanya maandalizi mengi ya mbinu chafu kushinda
Sii kweli, CCM inapendwa sana na viongozi wake wanapendwa sana, usipime, ndio maana wanachaguliwa kwa kishindo, kila baada ya miaka mitano.CCM na viongozi wake wote wanatambua hawapendwi kabisa Tanganyika na huko Visiwani hali ni mbaya zaidi kuliko huku Bara! Lakini wanalazimisha kupendwa kwa namna yoyote ile.. Hii ni hatari sana!
Hakuna aliyepagawa, CCM haiwezi kupagawa wakati Tanzania ni yake ni mali yake!.Ogopa sana mtu aliyepagawa na jambo lolote lile.. Atafanya mambo ya ajabu bila ufahamu wake kamili.. Na yeyote atakayejaribu kumuasa anageuka kuwa adui na m'baya wake!
CCM kushinda chaguzi zote haihitaji kumwaga pesa zozote balaa!, ile tshirt na kofia, kanga , dera na shibe ya siku moja zinatosha.Katikati ya hii taharuki na kupagawa kwa CCM wamejiinua watu wenye uchu na nia mbaya na tunu zetu za taifa hasa ardhi na maliasili zake.. Hawa wanamwaga pesa balaa ili chama kishinde
This is not fair comment, yaani CCM ni wabaya kuliko shetani!, not fair kabisa!.Kwasasa wamevaa koti kubwa la wema na upole lakini rohoni ni wabaya shetani anasubiri..
Duh...!.Sasa huu ni mfano mmoja tu kuelekea uchaguzi mkuu. Hakuna palipoachwa salama kifedha.. Lakini hii mirija inayotiririsha mihela yote hiyo kwasasa kwa chama chawala..baada ya uchaguzi button itabadilika toka kwenye kutiririsha mpaka kwenye kunyonya na kufyonza
Duh...!.Na kama button ya kutiririsha Ilikuwa 4G ya kufyonza itakuwa 6G.
Kama button ya kutiririsha ilikuwa imefungwa engine ya carina ya kufyonza itafungwa ya semi trailer
Duh....!.Watanyonya kila kitu kisha watafyonza Mabaki..
Duh...!, yaani unatumia neno "kama", as if kuna possibility asirudi!.Na hatutawafanya kitu kama mshirika wao atarudi mamlakani..!
::Hivi kuna umuhimu wowote ule wa kuwa na taasisi ya urais au kuchagua Rais wa nchi wakati tuna Mkuu wa majeshi?Matatizo yanayotukabili kama taifa ni haya hapa:-
- Katiba ya mwaka 1977
- Utawala dhalimu na wakimabavu ambao uko supported na katiba ya mwaka 1977.
- Chama cha Mapinduzi kuhodhi maslahi ya taifa.
- Siasa mbovu, uongozi mbovu na watu wasio na sifa za kuitwa watu.
Je chadema wao ni wasafi?wanatoka jamii ipi isiyo na makandokando ya ccm?chadema ni ccm na ccm ni chadema,laabda MGOMBEA BINAFSI ikiruhusiwa!!CCM imepagawa na uchaguzi mkuu mwakani.. Bado haijiamini licha ya kufanya maandalizi mengi ya mbinu chafu kushinda
CCM na viongozi wake wote wanatambua hawapendwi kabisa Tanganyika na huko Visiwani hali ni mbaya zaidi kuliko huku Bara! Lakini wanalazimisha kupendwa kwa namna yoyote ile.. Hii ni hatari sana!
Ogopa sana mtu aliyepagawa na jambo lolote lile.. Atafanya mambo ya ajabu bila ufahamu wake kamili.. Na yeyote atakayejaribu kumuasa anageuka kuwa adui na m'baya wake!
Wanaopagawa na mapenzi halafu waajua hawapendwi hulazimisha penzi kwa turufu ya pesa! Jamaa yangu mmoja alikuwa anahonga mpaka vitu vya mkewe wa ndoa
Katikati ya hii taharuki na kupagawa kwa CCM wamejiinua watu wenye uchu na nia mbaya na tunu zetu za taifa hasa ardhi na maliasili zake.. Hawa wanamwaga pesa balaa ili chama kishinde
Kwasasa wamevaa koti kubwa la wema na upole lakini rohoni ni wabaya shetani anasubiri.. Kila senti wanayotoa hata thumni wani document.. Hawanaga kazi za hasara hawa ndugu.. Mancha yao tutayaona baada ya uchaguzi na CCM ikishinda..
Juzi kwenye kongamano la TLS kuhusu watu waliopotea alihojiwa afande Murilo kama mbeba dhamana wa ulinzi na usalama wa uhai wetu.. Majibu yake kwenye hayo mahojiano badala ya kuleta tumaini yaliwaacha wengi na kihoro kikubwa
Kwa hali ilivyo na kwa yaliyokwisha tokea alipaswa awe ameshawajibika kwa vitendo.
Sasa huu ni mfano mmoja tu kuelekea uchaguzi mkuu. Hakuna palipoachwa salama kifedha.. Lakini hii mirija inayotiririsha mihela yote hiyo kwasasa kwa chama chawala..baada ya uchaguzi button itabadilika toka kwenye kutiririsha mpaka kwenye kunyonya na kufyonza
Na kama button ya kutiririsha Ilikuwa 4G ya kufyonza itakuwa 6G.
Kama button ya kutiririsha ilikuwa imefungwa engine ya carina ya kufyonza itafungwa ya semi trailer
Watanyonya kila kitu kisha watafyonza Mabaki.. Na hatutawafanya kitu kama mshirika wao atarudi mamlakani..!
Kambini inapopatikana fursa ya kwenda mjini tena kama kuna usafiri, kila mfungabuti huitumia fursa hiyo kwenda kung'aa macho na kuangalia maghorofa. Boni Yai amesaidia watu kupata ''Pass out" ya wiki tatu.
Nchi imejaa mifumo ya kitapeli tupu
CCM ndiyo mfumo wenyewe wa kijinga imekita miziziTatizo ndiyo liko hapo,sasa wajinga waliowengi wanapambana na ccm badala ya kuoambana na mifumo
Hiki ndicho kipimo chako cha hekima na busara? Ndiyo uhuru wa maoni huu? Unajua umeandika kitu kibaya sana ambacho kinachoma moyo? Omba radhi.πππBora Samia afe kama Magufuli Tanganyika ibaki huru
CCM imepagawa na uchaguzi mkuu mwakani.. Bado haijiamini licha ya kufanya maandalizi mengi ya mbinu chafu kushinda
CCM na viongozi wake wote wanatambua hawapendwi kabisa Tanganyika na huko Visiwani hali ni mbaya zaidi kuliko huku Bara! Lakini wanalazimisha kupendwa kwa namna yoyote ile.. Hii ni hatari sana!
Ogopa sana mtu aliyepagawa na jambo lolote lile.. Atafanya mambo ya ajabu bila ufahamu wake kamili.. Na yeyote atakayejaribu kumuasa anageuka kuwa adui na m'baya wake!
Wanaopagawa na mapenzi halafu waajua hawapendwi hulazimisha penzi kwa turufu ya pesa! Jamaa yangu mmoja alikuwa anahonga mpaka vitu vya mkewe wa ndoa
Katikati ya hii taharuki na kupagawa kwa CCM wamejiinua watu wenye uchu na nia mbaya na tunu zetu za taifa hasa ardhi na maliasili zake.. Hawa wanamwaga pesa balaa ili chama kishinde
Kwasasa wamevaa koti kubwa la wema na upole lakini rohoni ni wabaya shetani anasubiri.. Kila senti wanayotoa hata thumni wani document.. Hawanaga kazi za hasara hawa ndugu.. Mancha yao tutayaona baada ya uchaguzi na CCM ikishinda..
Juzi kwenye kongamano la TLS kuhusu watu waliopotea alihojiwa afande Murilo kama mbeba dhamana wa ulinzi na usalama wa uhai wetu.. Majibu yake kwenye hayo mahojiano badala ya kuleta tumaini yaliwaacha wengi na kihoro kikubwa
Kwa hali ilivyo na kwa yaliyokwisha tokea alipaswa awe ameshawajibika kwa vitendo.
Sasa huu ni mfano mmoja tu kuelekea uchaguzi mkuu. Hakuna palipoachwa salama kifedha.. Lakini hii mirija inayotiririsha mihela yote hiyo kwasasa kwa chama chawala..baada ya uchaguzi button itabadilika toka kwenye kutiririsha mpaka kwenye kunyonya na kufyonza
Na kama button ya kutiririsha Ilikuwa 4G ya kufyonza itakuwa 6G.
Kama button ya kutiririsha ilikuwa imefungwa engine ya carina ya kufyonza itafungwa ya semi trailer
Watanyonya kila kitu kisha watafyonza Mabaki.. Na hatutawafanya kitu kama mshirika wao atarudi mamlakani..!