Nusura ya Tanganyika ni anguko la CCM

BREAKING: Tumepokea taarifa ya kuogofya kidogo kwamba kontena 72 za futi 40, zimefika Tanzania zikiwa na Shehena ya baiskeli za Rais Samia. Chanzo kinatutaarifu kwamba hizo baiskeli zimetolewa na kampuni ya Adani anayepewa kazi wizara ya Nishati na Tanesco. @TanzaniaLeaks
 
Uko sahihi mkuu ila mpaka sasa kupigania vijana wa nchi hii kunahitaji moyo kizazi hiki cha kubeti,mpira na music ni kizazi kiovu kuwahikutokea. Ebu itisha maandamano ya kudai ajira kwa vijana,kupinga mfumko wa bei,mikopo %100 vyuo vikuu na mikopo kwa vijana waliomaliza shule alafu liwepo kongamano likitumbuizwa na Zuchu,Nandi,Diamond,Alikiba na wengine uone kundi tunalopigania litakimbilia wapi tena watatoa mpaka kiingilio
 
Mkuu usiangaike na wahuni awa nguvu tunayotumia kudai haki tuirudishe kuimarisha chumi zetu vijana wetu ni wapumbavu sana wakipewa baiskeli na pikipiki wanaona dunia imeisha.
 
1.Unamteka mtoto wa kike kwa mtutu wa bunduki

2.Kundi la wanaume saba wakatili mnakubali kwenda kumteka, kumdalilisha, kumnyanyasa na kutweza utu wa mwanamke kwa ujira wa fedha?

3.Mnafunga kitambaa usoni mwanamke kisha mnamtoa nyumbani kwake Kibiti mnamsafirisha hadi mapori ya Kisarawe kwenda kumnyanyasa na kumfanyia ukatili

4.Mnajitambulisha kuwa ni maafisa wa chombo cha dola kisha mnatumia gari la kodi za wananchi, pingu na bunduki zilizonunuliwa kwa kodi zetu.

5.Mnachana nguo za mwanamke aliyefunzwa kujistiri kwa dini yake safi ya kiislamu tangu utotoni na kumuacha utupu.

6.Mwanamke mmoja anashirikiana na wanaume saba kumshambulia na kumdhalilisha mwanamke mwenzake kwa ujira wa pesa tu

7.Mmemaliza kumfanyia ukatili Mwanamke mnamtekeleza maporini mnaondoka na kujiona wajanja... mnajiona mmeyapatia maisha kweli.

8.Nawakumbusha yupo Mungu juu anayeona kila kitu muda wote na sehemu zote. Ipo siku kabla hamjazikwa na kufukiwa na udongo huu mnaotumia kumwaga damu, mtakumbushwa kila tukio moja mlilotenda.

9.Nawaonea huruma ninyi watekaji na wauaji, kwa kuwa najua hamjui watu makatili kama ninyi mwisho wenu unakuwaga vipi.

10.Lakini niwahakikishie akili za upinzani na harakati hazizimwi kwa mtutu wa bunduki na kufuli la Jela tulifikiri mmejifunza kwa Hayati Magufuli

Hamtoweza kuua watu wote,wapo watakaobaki nyuma yetu,wao watatulipia visasi vyetu.hilo mnatakiwa kulielewa siku zote.

Hakunaga Jambo linafanywa na watu zaidi ya wawili likabakia kuwa siri.
Credit: Boni yai Twitter
 

Hawa Adani si ndiyo wamechukua nafasi ya TICTS bandarini. Yaani hii ni kampuni ya hovyo kuliko maelezo

Wameondolewa TICTS ili kuleta ufanisi bandarini lakini cha ajabu hiyo kampuni ni ya hovyo kuliko TICTS.

Wahindi wanajifanya wawekezaji kumbe ni wabongo humu humu ambao hawana hata uwezo wa kuoperate bandari.

Hii nchi ni ya ajabu sana.
 
CCM 's life is entirely dependent on state apparatus. Period!
On the contrary, how can such an organization be recognized to be a "state apparatus"?
Clearly, there should be a better term to describe such an rotten organization!
 
Reactions: G4N
On the contrary, how can such an organization be recognized to be a "state apparatus"?
Clearly, there should be a better term to describe such an rotten organization!
You are very true. Instead, we should call it CCM apparatus
 
Utafiti gani umefanya mpaka ukakupa ujasiri wa kuandika ulichoandika nadhari yako kiuhalisia hali haipo hivyo!
Unataka utafiti kwa vitu vilivyo mbele ya macho yako, vilivyo kwenye ncha ya pua yako???🤣🤣
UJINGA MZIGO!!!
 
Shule ya Msingi UBUNGO NATIONAL HOUSING NYUMA YA UBUNGO PLAZA IMEUZWA.

Wazazi wameambiwa Wakachukue watoto wao wakawatafutie Shule.

Shule ya SERIKALI inauzwa kama Peremende.

Shule iliyojengwa kwa KODI za wananchi kuna watu wachache wamekaa huko juu wameamua WAUZE.

Maelfu ya WATANZANIA yanaenda kuumia kwa kukosa huduma ya Elimu kwaajili ya Maamuzi ya VIGOGO wachache.

Hapa ndio tulipofikishwa TAIFA na CHUKUA CHAKO MAPEMA (CCM).
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…