DOKEZO Nyagabona ni Afisa Elimu Taaluma (W) mla rushwa wilayani Magu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Hagwila

Member
Joined
Apr 18, 2019
Posts
82
Reaction score
99
Ingekuwa ni amri yangu; huyu Afisa Elimu Taaluma (W) Magu angeondolewa mara moja kwa sababu ni mla rushwa aliyekithiri na ayependelea waalimu wa kabila lake (Wajita).

Amekula fedha kwa walimu wengi sana aliowaahidi kuwapa ualimu mkuu (hao nao wanastahili kushughulikiwa kwa sababu kutoa rushwa ni kosa vilevile).

Lakini wapo wengi waliopenya kupata ualimu mkuu kwa mkondo huo wa Nyagabona, ambao wengi wao hawana uwezo kusimamia Utawala na Taaluma kwenye shule alizowapiganishia mpaka wakapewa kuziongoza.

Kwa mfano Mwl. CHIGULU ambaye yuko Shule ya Msingi KISESA "A" hapa Kisesa.
Ni shule kubwa ambayo ina watoto wengi, hivyo inahitaji kuwa na Mwalimu Mkuu makini, tofauti na huyu aliyeingizwa na Nyagabona kwa rushwa na ukabila.

Mwl. CHIGULU hawezi kusimamia shughuli za Utawala na Taaluma ipasavyo.

Kwenye mtihani wa darasa la VII wa mwaka huu, ilibainika kuwa wanafunzi 42 wa darasa hilo katika shule hiyo hawakuwa na Continuous Assessment na hawakuwa kwenye mfumo wa NECTA.

Baada ya kasoro hizo kubainika, Maafisa Taaluma (W) Magu, walibaini kwamba mwalimu mkuu huyo hayuko makini hata kwa vitu nyeti Kama CA na Prem Nos. za watoto ambao walikuwa wanafanya mitihani yao ya mwisho ya kumaliza elimu ya Msingi.

Lakini huyu Nyagabona, alikuwa kinyume na maafisa wenzake wote akimtetea Mwalimu Chigulu asichukuliwe hatua, eti kwa sababu shule yake ina watoto wengi!! Hiyo ni sababu?

Mbona zipo shule zingine nyingine zenye idadi kubwa ya wanafunzi kwa mfano WITA Shule ya Msingi, upuuzi kama huo haujatokea?

Afisa Elimu na Afisa Tawala wa Mkoa wa Mkoa wetu wa Mwanza na Taasisi zingine za Usalama na Takukuru, fanyeni uchunguzi juu ya Afisa huyu ambaye kwa namna moja au nyingine anazorotesha juhudi za kuinua elimu katika Wilaya yetu ya Magu kwa kuwapiganishia waalimu wasiokuwa na uwezo wa uongozi kwa rushwa.
Naamini kwamba tabia yake hii mbaya inaathiri pia sifa ya watendaji wazuri happy idarani.

Tuondoleeni Nyagabona hapa idara ya elimu Magu.

Salaam Aleukum.
 
Mkuu hii nchi ninmwendo kwa kujuana na pesa tu kuanzia juu,
Ingawa mwisho wa ck kama huna sifa cha moto utakiona tu.
Nakushauri na ww cheza huohuo mzik uliopo,
Toa rushwa upate chako utulie,
Ukikakaa kupigania uhalali
Utachelewa,
Kumbuka hata Yakobo alipindua Meza dhid ya nduguye na Mungu akabariki.
 
Takukuru wilaya,
mkugenzu,
mkuu wa idara elimu,
mkuu idara utumishi,
das,
mkuu wa wilaya,
mkuu wa polisi wilaya,
dso,
wote hawa hawayajui haya?

Kama ni kweli basi tuna safari ndefu sana
 
Kuna siku tulikuwa nae kweny bar moj iv jina kapuni...inaonekana pombe kwake anazipiga sanaa hadi zinamsahaulisha majukum...afu tatzo nliloliona kwake kwa muda nliokaa nae ni kama anapenda sanaa kuongea kilugha na mwenzake aliekuwa nae...hadi ikawa kero due hamuwez kuwa jamii tofaut afu muda mwngi uwe unaongea kilugha..kwa hyo hapo kweny upendeleo naweza kukubaliana na wewe...
 
Ualimu ni kada ya hovyo sana.... imejaa uchawi...wivu na husuda. Hagwila mrudie Yesu atakuokoa acha wivu na husuda.
 
Vipi mwalimu mary Maganga wa S msingi Magu kastaafu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…