BrAsMaRiLiSaShElMa
Senior Member
- Sep 23, 2016
- 150
- 181
Usilolijua ni kama usiku wa giza!! Wewe hujui usemalo; na ninakushauri kuwa, kabla ya kusema chochote kwenye majukwaa kama haya fanya kwanza utafiti; acha kukurupuka.Acheni majungu walimu Afisa Elimu yeye hana mamlaka ya kutoa Na kumpa mtu hiyo nafasi
Acheni unafiki walimu na majungu hizo nafasi zinatoka baada ya Mkurugenzi na Watu kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa RAS kuzipitia na kumjua Mtu huyo kama ni sahihi ndio anapewa
Shida ya Walimu sifa zenu ni hizi kuchafuana,majungu,unafiki,waongo na watu waliokata Tamaa kbsa kbsa acheni mambo hayo
Ndugu niwaombe Tuu wachunguzeni sana walimu mtawajua kama una mtoto wako kaana nae taratibu na ulinza sifa za walimu wao atakachokuambia unaweza usiamini.
NANI ALIKUAMBIA KWAMBA MWALIMU MKUU HATEULIWI NA AFISA ELIMU WA WILAYA?
Afisa Elimu wa Wilaya Msingi (kwenye mada iliyopo), ndiye mwenye mamlaka ya kuteua Mwalimu Mkuu kwenye shule zote za msingi za serikali kwenye Wilaya husika; ndiye Mkuu wa Idara ya Elimu msingi akiongoza maafisa wengine wa Elimu wilayani kama maafisa Taaluma, Vifaa na Takwimu, Elimu Maalum, Elimu ya Watu Wazima n.k.
Afisa Elimu wa Wilaya anaweza tu kuwashirikisha maafisa wenzake wilayani na mamlaka zingine za serikali (akipenda) katika uteuzi wa Mwalimu Mkuu, lakini siyo lazima.
Matatizo huanzia hapo kwenye ushirikiahwaji wa maafisa wengine idarani, hasa inapotokea kwamba kuna baadhi ya maofisa wasiokuwa waadilifu kama NYAGABONA anayetuhumiwa kwa rushwa, na wengine ambao hawajatajwa kwenye bandiko hilo kama JOHARI (ambaye pia anamyumbisha sana DEO Msingi aliyepo) kwa upendeleo kutokana na udini na jinsia.
JOHARI anapendelea sana waalimu wa dini yake, anapendelea pia waalimu wakuu wa kiume na kuwatweza waalimu wakuu wanawake wenzake kwa lugha chafu, dharau na vitisho vya kuwavua madaraka.
Ni kisiki cha mpingo hapo Idara ya Elimu Msingi Magu; yeye sasa amekuwa kama ndiye DEO Msingi, hasa kwa sababu ya kusimamia mfumo wa PREM.
Wakaguzi Ubora wa Elimu ni Idara inayojitegemea, haiko chini ya DED; lakini wanafanya kazi kwa karibu sana na Idara ya Elimu ya Wilaya kwa sababu ndio wanaosimamia shule zinazokaguliwa na Idara hiyo.
Tatizo lililopo hapo ni kuwa, kama kuna maofisa fulani wa idara ya Elimu wanataka kumkomoa Mwalimu Mkuu fulani ili wamng'oe madarakani lakini hawawezi kumshawishi DEO Msingi ili amng'oe Mwalimu Mkuu huyo, basi huwa wanawatumia maofisa wa idara ya ukaguzi ubora kwenda kwenye Kituo husika kufanya "ukaguzi Maalum" kwa lengo la kumkomoa Mwalimu Mkuu mlengwa; hata kwa kuja na ripoti ya ukaguzi yenye tuhuma za uongo dhidi ya Mwalimu Mkuu aliyekusudiwa kung'olewa kwa hila.
Mchezo huu ameufanya sana Nyagabona kwa kushirikiana na na wakaguzi wasiokuwa waadilifu kama Mkaguzi Mkuu Bwana KASWA aliyestaafu mwaka jana!! Mmoja wa waalimu waliofanyiwa mchezo huo na NYAGABONA akishirikiana na KASWA, ni mwalimu aliyewahi kuwa Mwalimu Mkuu pale shule ya msingi Itumbili na shule zinginezo.
Najua mtasema ni majungu; lakini huo ndio ukweli mchungu wa idara ya Elimu Magu, waalimu wanajua.
Cheo ni dhamana; KASWA amestaafu, sasa ni mkulima; NYAGABONA umehamishwa Magu, kaendelee kuwatesa waalimu wakuu Misungwi; lakini kumbuka, KILA KUBWA INA KUBWA YAKE.