Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walimu ni watu wa ajabu sanaTakukuru wilaya,
mkugenzu,
mkuu wa idara elimu,
mkuu idara utumishi,
das,
mkuu wa wilaya,
mkuu wa polisi wilaya,
dso,
wote hawa hawayajui haya?
Kama ni kweli basi tuna safari ndefu sana
Acha unafiki wewe na uongo acha kumchafua mwenzakoKuna siku tulikuwa nae kweny bar moj iv jina kapuni...inaonekana pombe kwake anazipiga sanaa hadi zinamsahaulisha majukum...afu tatzo nliloliona kwake kwa muda nliokaa nae ni kama anapenda sanaa kuongea kilugha na mwenzake aliekuwa nae...hadi ikawa kero due hamuwez kuwa jamii tofaut afu muda mwngi uwe unaongea kilugha..kwa hyo hapo kweny upendeleo naweza kukubaliana na wewe...
Hakika sema watu Wengi sana hawawajui walimu walivyo ukitaka kuwajua jifunze kutoka kwao hakikuambia kitu hautawaaminiUalimu ni kada ya hovyo sana.... imejaa uchawi...wivu na husuda. Hagwila mrudie Yesu atakuokoa acha wivu na husuda.
Bora wewe unawajua walimu ni watu wa hovyo sana wakipita mtaani tunawaheshimu sana hilaHuu wivu nndo unafanyaga walimu tuonekane mabwege!.. hapo Mwamba had unaropoka humu Basi ushapigwa hela ili.upate huo ukuu Ila imefeli,, punguza wivu!.. any way Msalimie Shemej Yangu hapo shuleni!.. na mwanangu Michael
Mimi c mwalmu mkuu...ila nliambiwa tu kuwa ni afisa elimu Magu...ila pia sijatoa malalamiko ni mtizamo wangu tu....Ila pole pia cz yawezkana unanufaika nae ndo maana umekuja na povu la kutoshaAcha unafiki wewe na uongo acha kumchafua mwenzako
Badilikeni sana Walimu
Ccm Yenyewe Haijui Sasa Hao Watajua NiniTakukuru wilaya,
mkugenzu,
mkuu wa idara elimu,
mkuu idara utumishi,
das,
mkuu wa wilaya,
mkuu wa polisi wilaya,
dso,
wote hawa hawayajui haya?
Kama ni kweli basi tuna safari ndefu sana
Walimu wanashida sanaNaona kunguni anasagwa hapa.
Mapendekezo ya kuteua Mwl mkuu, yanaanzia kwa hao maafisa taaluma wa wilaya, majina yanapitiwa na afisaelimu wilaya, mdhibiti mkuu wa shule wilaya, TSC wilaya na yakithibitishwa, DED anateua mwl mkuu.Acheni majungu walimu Afisa Elimu yeye hana mamlaka ya kutoa Na kumpa mtu hiyo nafasi
Acheni unafiki walimu na majungu hizo nafasi zinatoka baada ya Mkurugenzi na Watu kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa RAS kuzipitia na kumjua Mtu huyo kama ni sahihi ndio anapewa
Shida ya Walimu sifa zenu ni hizi kuchafuana,majungu,unafiki,waongo na watu waliokata Tamaa kbsa kbsa acheni mambo hayo
Ndugu niwaombe Tuu wachunguzeni sana walimu mtawajua kama una mtoto wako kaana nae taratibu na ulinza sifa za walimu wao atakachokuambia unaweza usiamini
yaani mtu ni mwalimu, maisha yenyewe magumu hivi, kisha unahonga uwe mwalimu mkuu uongezewe majukumu. Ningekuwa ticha nisingetaka hicho cheo, ningekikwepa ili niwe na muda na utulivu wa akili wa kupiga mishe zangu....cheo chenyewe unatukanwa na mtendaji wa kata, mratibu, diwani, dc, mkurugenzi, rc hata na mkimbiza mwenge.Ingekuwa ni amri yangu; huyu Afisa Elimu Taaluma (W) Magu angeondolewa mara moja kwa sababu ni mla rushwa aliyekithiri na ayependelea waalimu wa kabila lake (Wajita).
Amekula fedha kwa walimu wengi sana aliowaahidi kuwapa ualimu mkuu (hao nao wanastahili kushughulikiwa kwa sababu kutoa rushwa ni kosa vilevile).
Lakini wapo wengi waliopenya kupata ualimu mkuu kwa mkondo huo wa Nyagabona, ambao wengi wao hawana uwezo kusimamia Utawala na Taaluma kwenye shule alizowapiganishia mpaka wakapewa kuziongoza.
Kwa mfano Mwl. CHIGULU ambaye yuko Shule ya Msingi KISESA "A" hapa Kisesa.
Ni shule kubwa ambayo ina watoto wengi, hivyo inahitaji kuwa na Mwalimu Mkuu makini, tofauti na huyu aliyeingizwa na Nyagabona kwa rushwa na ukabila.
Mwl. CHIGULU hawezi kusimamia shughuli za Utawala na Taaluma ipasavyo.
Kwenye mtihani wa darasa la VII wa mwaka huu, ilibainika kuwa wanafunzi 42 wa darasa hilo katika shule hiyo hawakuwa na Continuous Assessment na hawakuwa kwenye mfumo wa NECTA.
Baada ya kasoro hizo kubainika, Maafisa Taaluma (W) Magu, walibaini kwamba mwalimu mkuu huyo hayuko makini hata kwa vitu nyeti Kama CA na Prem Nos. za watoto ambao walikuwa wanafanya mitihani yao ya mwisho ya kumaliza elimu ya Msingi.
Lakini huyu Nyagabona, alikuwa kinyume na maafisa wenzake wote akimtetea Mwalimu Chigulu asichukuliwe hatua, eti kwa sababu shule yake ina watoto wengi!! Hiyo ni sababu?
Mbona zipo shule zingine nyingine zenye idadi kubwa ya wanafunzi kwa mfano WITA Shule ya Msingi, upuuzi kama huo haujatokea?
Afisa Elimu na Afisa Tawala wa Mkoa wa Mkoa wetu wa Mwanza na Taasisi zingine za Usalama na Takukuru, fanyeni uchunguzi juu ya Afisa huyu ambaye kwa namna moja au nyingine anazorotesha juhudi za kuinua elimu katika Wilaya yetu ya Magu kwa kuwapiganishia waalimu wasiokuwa na uwezo wa uongozi kwa rushwa.
Naamini kwamba tabia yake hii mbaya inaathiri pia sifa ya watendaji wazuri happy idarani.
Tuondoleeni Nyagabona hapa idara ya elimu Magu.
Salaam Aleukum.
Hata Mimi ningefanya hivyo,Hawa Wana muda mwingi wa kuipiga mishe kuliko Watumishi wa kada nyingine lakini kutwa majungu na malalamiko tu.yaani mtu ni mwalimu, maisha yenyewe magumu hivi, kisha unahonga uwe mwalimu mkuu uongezewe majukumu. Ningekuwa ticha nisingetaka hicho cheo badala ya kukikwepa ili uwe na muda na utulivu wa akili wa kupiga mishe zao....cheo chenyewe unatukanwa na mtendaji wa kata, mratibu, diwani, dc, mkurugenzi, rc hata na mkimbiza mwenge.
Ni kwa nini hawa DED na MD mbona wamepewa Madaraka makubwa sana? Almost kila kitu ni wao ndio final.Mapendekezo ya kuteua Mwl mkuu, yanaanzia kwa hao maafisa taaluma wa wilaya, majina yanapitiwa na afisaelimu wilaya, mdhibiti mkuu wa shule wilaya, TSC wilaya na yakithibitishwa, DED anateua mwl mkuu.
ni watu wa ajabu sana.Hata Mimi ningefanya hivyo,Hawa Wana muda mwingi wa kuipiga mishe kuliko Watumishi wa kada nyingine lakini kutwa majungu na malalamiko tu.
Hii ndio kada yenye likizo zaidi ya nne Kwa mwaka lakini hawaitumii wangejua wenzao wanatamani kuwa na likizo japo mbili Kwa mwaka ili wafanye mishe zao.
Nani amekuambia sifa za kuwa Mkuu wa shule ni kuoa??achen majungu..Halmashauri ya wilaya ya Serengeti: kuna mhuuni moja (Njau) kapewa ukuu wa Shule ya Sekondari Hana hats sifa, ni mhuuni amepanga ghetto, anashinda bar, hana mke, akilewa anajishindia mabaya medi!
Yeye ni chawa wa SLO Ghuzuye, bila kuwa chawa, kuchongea Walimu, hupati promotion
Naamini wapo waliokuwa wanayajua; hata kama siyo kikamilifu, nadhani sasa wamechunguza na kubaini ukweli wa ufisadi wa afisa huyo.Takukuru wilaya,
mkugenzu,
mkuu wa idara elimu,
mkuu idara utumishi,
das,
mkuu wa wilaya,
mkuu wa polisi wilaya,
dso,
wote hawa hawayajui haya?
Kama ni kweli basi tuna safari ndefu sana