Nyakati zimegoma kuubusu upara wa Zidane

Nyakati zimegoma kuubusu upara wa Zidane

madrid inaongoza LaLIGA na hata mpira bado si wa hovyo kama kipindi kilichopita. Nimetizama mechi zote za RM kuna makosa ya wachezaji yanaigharimu timu, kama juzi MODRIC kwa mechi ya Brugge na kukosa striker wa maana. Zizzou ni kocha mzuri... NA atapindua hili grp

Unapozungumza kukosa striker wa maana unakua unamaanisha nini mkuu?
 
[emoji850]
IMG-20200624-WA0000.jpg
 
madrid inaongoza LaLIGA na hata mpira bado si wa hovyo kama kipindi kilichopita. Nimetizama mechi zote za RM kuna makosa ya wachezaji yanaigharimu timu, kama juzi MODRIC kwa mechi ya Brugge na kukosa striker wa maana. Zizzou ni kocha mzuri... NA atapindua hili grp
amini zizzou
 
Back
Top Bottom