Ndokeji
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 698
- 476
Katika Jiji la Mwanza Tanesco Nyakato imeshindwa kutatua kero za wananchi. Wananchi wamelalamika kutofungiwa umeme kwa muda mrefu huku wakidai kupeleka form zao katika kituo hicho kwa mda mrefu wakiahidiwa surveyor kupigiwa simu bila Mafanikio
Manager wa Tanesco amedai wanagali mbili na surveyo wawili na hiyo ndio chamgamoto inayofanya washindwa kuwahudumia wananchi.
Waziri wa Nishati fatilia hiki kilio kimekuwa kikubwa sana.
Inasemekana surveyor akipewa hela siku hiyo hiyo anaenda na umeme unafungwa.
Hii Rushwa ya Tanasco inakuja kwa kasi.
Wako Mwanadiplamasia
Manager wa Tanesco amedai wanagali mbili na surveyo wawili na hiyo ndio chamgamoto inayofanya washindwa kuwahudumia wananchi.
Waziri wa Nishati fatilia hiki kilio kimekuwa kikubwa sana.
Inasemekana surveyor akipewa hela siku hiyo hiyo anaenda na umeme unafungwa.
Hii Rushwa ya Tanasco inakuja kwa kasi.
Wako Mwanadiplamasia