Uchaguzi 2020 Nyalandu kwa Interview hii umepoteza uhalali wa kumkabili Dkt. Magufuli kwenye uchaguzi wa Oktoba 2020

Binafsi nimesikiliza kwa makini interview hiyo leo tena ikiwa live streaming. Nathubutu kusema Nyalandu ni type ya mwanasiasa anayeweza kupeperusha bendela na akafanya maajabu.

Sijaona dosari katika interview kiukweli kaelezea vizur masuala mbalimbali ya kisera, ni mpuuz tu mwenye chuki binafsi anayeweza kukosoa hoja za Nyalandu.
 
Sasa si mpaka apate hiyo nafasi,,hujaona mtu anaoa mke mpole sana,,ndoa ikifungwa tu,,makucha yanafunguliwa,,
Lazima uwe strategic,,we mwenyewe umeona lisu anasubiliwa kwa hamu,,mbowe nae ana ishu ya kusema kavunjwa mguu,
Mpaka sasa watu wa uhakika mnao msigwa na nyalandu tu
 
Nmekuelewa sana mkuu, sijaangalia bt kama kasema hivyo kapoteza sifa ya kugombea ukiacha hivyo CHADEMA hawawezi kurudia kosa kwa kumuweka tena mgombea toka CCM, wakimuweka tu NYALANDU au MEMBE sijui..sitofuatilia tena siasa za upinzani na ntakata kadi ya CCM na kuilipia mwaka mzima
 
Hii interview ambayo Nyalandu anamuita JPM ilinifanya nione huyu mheshimiwa kapwaya sana kupeperusha bendera ya upinzani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…