johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Uwe unaelewa wewe bavicha!Msaidizi wa mama lakini unasafiri sana na mme wake si bora ungenyamaza ukampa pole mama kwa kuondokewa na mme wake
Namba inasomwa kitaifa/pande zoteSijui kwann mama Janet hana kataasis ka kupotezea muda
Ongeza hayo mengine bwashee!Uzi umekaa kizandiki, kwamba nyalandu kaongea hayo tu?
kwa hio tumtegemee kua kigwa au nyalandu Wa baadae..!?Wee unadhani kwanini Harmorapa Yuko kimya??
Yani simu zako zitasikilizwa zote.hivi huyu festi ledi Wa sasa ana msaidizi kweli!?
Ongeza hayo mengine bwashee!
Namba inasomwa kitaifa/pande zote
Hilo darasa la 7 tulikuwa wote wewe bavicha?!
Nimeweka link ya video, ulichokifanya ni kama alichokifanya yule mjumbe aliyemuuliza swali mwakyembe kwenye mkutano wa kura za maoni kule kyela, kama alivyojibu mwakyembe na mimi naomba kukuuliza, kwa akili hizi ulifanyaje mtihani wako wa darasa la saba wewe?
tatizo mi ni bubu, sijui kama wataweza kusikiliza!Yani simu zako zitasikilizwa zote.
hakuna mke wa rais asiye na msaidizi,wasaidizi wana kazi nyingi ikiwemo kuongea na watu wanaotak kuongea na mke au raishivi huyu festi ledi Wa sasa ana msaidizi kweli!?
je Mimi na wewe kuna ulazima Wa kuwajua!?hakuna mke wa rais asiye na msaidizi,wasaidizi wana kazi nyingi ikiwemo kuongea na watu wanaotak kuongea na mke au rais