Nyalandu: Nilikuwa msaidizi wa mama Mkapa kwahiyo nilisafiri sana huko duniani na Rais Mkapa!

Nyalandu: Nilikuwa msaidizi wa mama Mkapa kwahiyo nilisafiri sana huko duniani na Rais Mkapa!

je Mimi na wewe kuna ulazima Wa kuwajua!?
ulazima utakuwepo kama itatokea siku tuna shida na muhusika,lakini kwa sasa hakuna ulazima wa kuwajua ,japo ukipata nafasi ya kuwafahamu usiiache,husaidia sana kwenye mambo ya uteuzi nk au hata shida ndogo ndogo mkuu
 
ulazima utakuwepo kama itatokea siku tuna shida na muhusika,lakini kwa sasa hakuna ulazima wa kuwajua ,japo ukipata nafasi ya kuwafahamu usiiache,husaidia sana kwenye mambo ya uteuzi nk au hata shida ndogo ndogo mkuu
safi, nimekuelewa mkuu
 
Mtia nia ya Urais kwa tiketi ya CHADEMA mh Lazaro Nyalandu amesema wakati wa utawala wa Rais Mkapa yeye alikuwa msaidizi wa Mama Anna Mkapa hivyo amesafiri sana huko Duniani na mzee Mkapa.

Nyalandu amesema hayo wakati akiweka saini kitabu cha maombolezo msiba wa mzee Mkapa.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Sasa kusafiri sana ndio kitu gani?
Lemutuz alipokuwa baharia amesafiri na kufika nchi karibu zote duniani
 
Nyalandu baada ya Kusomeshwa na zile Scholarships za Kanisa alifanya kazi muda mrefu tu EOTF( Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote) taasis ya ANBEN

Na walimshika mkono kwa kiwango kikubwa katika harakati zake za mwanzoni za kisiasa

Mwingine aliyebahatika na Taasis za First Lady ni Dk. Kigwangala naye safari yake ya kisiasa imeanzia ikulu ya mkwere akiwa mfanyakazi wa Mama Salma(WAMA)

Sijui kwann mama Janet hana kataasis ka kupotezea muda
Naona huyu hapendi janja janja ya kupiga hela
 
1595709433535.png

Alipokuwa baharia, alipata kufika nchi zaidi ya 150 duniani
 
Mtia nia ya Urais kwa tiketi ya CHADEMA mh Lazaro Nyalandu amesema wakati wa utawala wa Rais Mkapa yeye alikuwa msaidizi wa Mama Anna Mkapa hivyo amesafiri sana huko Duniani na mzee Mkapa.

Nyalandu amesema hayo wakati akiweka saini kitabu cha maombolezo msiba wa mzee Mkapa.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Nadhani, kwa kiasi kikubwa sana mtu huyu ana mapungufu ya kufikiri. Huwa hajui aseme nini ili kimjenge ktk siasa. Ndo huyu huyu aliyewahi kutueleza eti wamarekani wanataka awe rais wa TZ!
 
Jamii ya intelligence hapo washajua nyalandu ni nani na MTU wa aina gani kakosea sana kusema hivyo
 
Nyalandu baada ya Kusomeshwa na zile Scholarships za Kanisa alifanya kazi muda mrefu tu EOTF( Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote) taasis ya ANBEN

Na walimshika mkono kwa kiwango kikubwa katika harakati zake za mwanzoni za kisiasa

Mwingine aliyebahatika na Taasis za First Lady ni Dk. Kigwangala naye safari yake ya kisiasa imeanzia ikulu ya mkwere akiwa mfanyakazi wa Mama Salma(WAMA)

Sijui kwann mama Janet hana kataasis ka kupotezea muda
Mama Janet ni First Lady wa kipekee anayoyatenda atabarikiwa na Mungu tu si rahisi binadamu kuyaona.
 
Huyu houseboy ndo awe rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania..wakati hata kuweka matukio kwenye mtiririko unaoeleweka hawezi??
Uzuri kakupita Elimu, Ujinga,Akili, Umaarufu,Pesa na kila kitu
 
Huyu houseboy ndo awe rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania..wakati hata kuweka matukio kwenye mtiririko unaoeleweka hawezi??
Hatufai. Na kama kuna kosa kubwa CHADEMA watafanya basi ni kumuweka huyu jamaa kuwa mgombea. By the way, kasahau kusema kuwa kati wale walioitwa mafala na wapumbavu na yeye yumo!
 
Back
Top Bottom