LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,483
Acha kabisaHahahahaa kwamba namba imegusa pande zote za nchi🤣🤣
Hizi zama kuanzia magogoni vyuoni wafanyabiashara hadi wajumbe/wakata umeme
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kabisaHahahahaa kwamba namba imegusa pande zote za nchi🤣🤣
ulazima utakuwepo kama itatokea siku tuna shida na muhusika,lakini kwa sasa hakuna ulazima wa kuwajua ,japo ukipata nafasi ya kuwafahamu usiiache,husaidia sana kwenye mambo ya uteuzi nk au hata shida ndogo ndogo mkuuje Mimi na wewe kuna ulazima Wa kuwajua!?
Ndio maana kumbe wana hasira sana na watia nia😄😄Acha kabisa
Hizi zama kuanzia magogoni vyuoni wafanyabiashara hadi wajumbe/wakata umeme
safi, nimekuelewa mkuuulazima utakuwepo kama itatokea siku tuna shida na muhusika,lakini kwa sasa hakuna ulazima wa kuwajua ,japo ukipata nafasi ya kuwafahamu usiiache,husaidia sana kwenye mambo ya uteuzi nk au hata shida ndogo ndogo mkuu
Sasa kusafiri sana ndio kitu gani?Mtia nia ya Urais kwa tiketi ya CHADEMA mh Lazaro Nyalandu amesema wakati wa utawala wa Rais Mkapa yeye alikuwa msaidizi wa Mama Anna Mkapa hivyo amesafiri sana huko Duniani na mzee Mkapa.
Nyalandu amesema hayo wakati akiweka saini kitabu cha maombolezo msiba wa mzee Mkapa.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Naona huyu hapendi janja janja ya kupiga helaNyalandu baada ya Kusomeshwa na zile Scholarships za Kanisa alifanya kazi muda mrefu tu EOTF( Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote) taasis ya ANBEN
Na walimshika mkono kwa kiwango kikubwa katika harakati zake za mwanzoni za kisiasa
Mwingine aliyebahatika na Taasis za First Lady ni Dk. Kigwangala naye safari yake ya kisiasa imeanzia ikulu ya mkwere akiwa mfanyakazi wa Mama Salma(WAMA)
Sijui kwann mama Janet hana kataasis ka kupotezea muda
Nani amruhusu kuhusu makitu hayo?hivi huyu festi ledi Wa sasa ana msaidizi kweli!?
anasemekana hakosi kua nao, unadhani kama watangulizi wake walifanya kwanini kwake iwe nongwa!?Nani amruhusu kuhusu makitu hayo?
Huwezi kuelewa yaliyo nje ya upeo wako wa kufikiri...Kwa akili hiyo ndio apewe nchi kusafiri sana na mama
Nadhani, kwa kiasi kikubwa sana mtu huyu ana mapungufu ya kufikiri. Huwa hajui aseme nini ili kimjenge ktk siasa. Ndo huyu huyu aliyewahi kutueleza eti wamarekani wanataka awe rais wa TZ!Mtia nia ya Urais kwa tiketi ya CHADEMA mh Lazaro Nyalandu amesema wakati wa utawala wa Rais Mkapa yeye alikuwa msaidizi wa Mama Anna Mkapa hivyo amesafiri sana huko Duniani na mzee Mkapa.
Nyalandu amesema hayo wakati akiweka saini kitabu cha maombolezo msiba wa mzee Mkapa.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Kwani Membe ni nani?.......maalim Seif ni nani?....... Marando ni nani?Jamii ya intelligence hapo washajua nyalandu ni nani na MTU wa aina gani kakosea sana kusema hivyo
Jamii ya intelligence hapo washajua nyalandu ni nani na MTU wa aina gani kakosea sana kusema hivyo
[/QUOTE
Alichokosea ni nini hasa
Mama Janet ni First Lady wa kipekee anayoyatenda atabarikiwa na Mungu tu si rahisi binadamu kuyaona.Nyalandu baada ya Kusomeshwa na zile Scholarships za Kanisa alifanya kazi muda mrefu tu EOTF( Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote) taasis ya ANBEN
Na walimshika mkono kwa kiwango kikubwa katika harakati zake za mwanzoni za kisiasa
Mwingine aliyebahatika na Taasis za First Lady ni Dk. Kigwangala naye safari yake ya kisiasa imeanzia ikulu ya mkwere akiwa mfanyakazi wa Mama Salma(WAMA)
Sijui kwann mama Janet hana kataasis ka kupotezea muda
Sina cha kuongeza mkuu hasa apo kwa maalim seif dah hii nchi watu wanadanganywa sanaKwani Membe ni nani?.......maalim Seif ni nani?....... Marando ni nani?
Uzuri kakupita Elimu, Ujinga,Akili, Umaarufu,Pesa na kila kituHuyu houseboy ndo awe rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania..wakati hata kuweka matukio kwenye mtiririko unaoeleweka hawezi??
Kasema kimkakatiJamii ya intelligence hapo washajua nyalandu ni nani na MTU wa aina gani kakosea sana kusema hivyo
Hatufai. Na kama kuna kosa kubwa CHADEMA watafanya basi ni kumuweka huyu jamaa kuwa mgombea. By the way, kasahau kusema kuwa kati wale walioitwa mafala na wapumbavu na yeye yumo!Huyu houseboy ndo awe rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania..wakati hata kuweka matukio kwenye mtiririko unaoeleweka hawezi??