Nyalandu: Nilikuwa msaidizi wa mama Mkapa kwahiyo nilisafiri sana huko duniani na Rais Mkapa!

Nyalandu: Nilikuwa msaidizi wa mama Mkapa kwahiyo nilisafiri sana huko duniani na Rais Mkapa!

[emoji1787][emoji28][emoji23]
Screenshot_20200726-123953.jpg
 
Tafsiri nyingine zikizidi utajikuta unapata mimba hivihivi kwa uwezo wa shetani.Thinking capacity haitanuki zaidi ya vernier-caliper?
 
Wacha upumbavu wewe! Hujui mama Mkapa alikuwa na taasisi yake ya equal opportunities trust fund (EOTF). Huko ndiko Nyalandu alikuwa msaidizi wa mama Mkapa, pumbavuuu!!
Kwani nimekosea nini? We ndio mpumbavu, alikuwa anamsaidia mke wa mkapa majukumu yake...yaani mke wa Mkapa msaidizi! Kweli hata kiswahili hujui juha kweli ww!
 
Wasaidizi wa Mama huwa wanapewa Wizara ya Maliasili sijui kwanini?

Hata Kigwa alikuwa msaidizi wa Salma pale Wama
 
Mtia nia ya Urais kwa tiketi ya CHADEMA mh Lazaro Nyalandu amesema wakati wa utawala wa Rais Mkapa yeye alikuwa msaidizi wa Mama Anna Mkapa hivyo amesafiri sana huko Duniani na mzee Mkapa.

Nyalandu amesema hayo wakati akiweka saini kitabu cha maombolezo msiba wa mzee Mkapa.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Okay
 
Back
Top Bottom