Nyalandu: Nilikuwa msaidizi wa mama Mkapa kwahiyo nilisafiri sana huko duniani na Rais Mkapa!

Tafsiri nyingine zikizidi utajikuta unapata mimba hivihivi kwa uwezo wa shetani.Thinking capacity haitanuki zaidi ya vernier-caliper?
 
Wacha upumbavu wewe! Hujui mama Mkapa alikuwa na taasisi yake ya equal opportunities trust fund (EOTF). Huko ndiko Nyalandu alikuwa msaidizi wa mama Mkapa, pumbavuuu!!
Kwani nimekosea nini? We ndio mpumbavu, alikuwa anamsaidia mke wa mkapa majukumu yake...yaani mke wa Mkapa msaidizi! Kweli hata kiswahili hujui juha kweli ww!
 
Wasaidizi wa Mama huwa wanapewa Wizara ya Maliasili sijui kwanini?

Hata Kigwa alikuwa msaidizi wa Salma pale Wama
 
Okay
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…