Nyalandu ulikuja CHADEMA kwa hiari umeondoka kwa hiari. Kaa kimya kutunza heshima yako

Nyalandu ulikuja CHADEMA kwa hiari umeondoka kwa hiari. Kaa kimya kutunza heshima yako

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,475
Nyalandu ulikuja vizuri take vizuri.
Kama kuna mapungufu waambie viongozi wa CHADEMA watayafanyia kazi, lakini kuongea na redio utashusha heshima yako.
Kwa kukusaidia tu.
Kuna nguli walitoka CHADEMA sio wewe mpita njia usie na msimamo,mtu laini kabisa.

Alitoka Zitto, huyu ni nguli wa Siasa za Upinzani na aliijenga Chadema.

Alitoka Wilbroad Sliaa huyu alikuwa nguli wa siasa za Upinzani na aliijenga CHADEMA,

Nguli wengine Ni
Kitila
Arfi
Mwigamba.

Vitoto vya nguli
Waitara
Shonza
Mwampamba
Mchage.
N.k

Wote hao waliijua CHADEMA nje ndani,wewe Ni mpita njia tu.
Ulitamani kuwa Mwenyekiti lakini ulikwama.

Na bahati nzuri wageni Kama wewe huwa mnaangaliwa kwa macho makini.

Udhaifu wa CHADEMA ni mmoja tu, nao ndio udhaifu mkubwa kuliko udhaifu wowote ule.

Udhaifu wa CHADEMA Ni kunyimwa Uhuru wa kikatiba wa kufanya Siasa.

Hao CCM unaowaona hawana udhaifu Ni kwa sababu wameshika dola,leo CCM wakiondolewa madarakani litabaki Jina tu.

Kama unabisha waulize Wakenya KANU iko wapi?
 
Mimi siasa zangu ni mfuasi wa siasa za kumshabikia mtu/watu na sio chama,

Nimekuwa mshabiki wa Hayati JPM tokea akiwa waziri Hadi Uraisi mpaka ameondoka, na kiukweli, kuna vitu vingi Sana ambavyo nimejifunza kutoka Kwa JPM na vitanifaa Sana na kunifikisha mbali Sana ktk maisha yangu ya mbeleni,

Nikirudi katika siasa zetu hizi,
CCM bila Vyama imara vya Upinzani, wataigawana hii nchi, kila mmoja atajichukilia kipande chake na kujimilikisha

2015 kusingekuwa na Upinzani imara, JPM asingepatikana

Hivyo, mambo anayotaka kuyafanya huyu Nyalandu, akemewe na apingwe kila Kona ya nchi hii, emehama yatosha
 
Nyalandu anatafuta sifa kwa kuinanga Chadema, hopless sana, amekuwa kwenye siasa zaidi ya miaka ishirini hajajenga "reputation" leo analeta mambo ya kizamani kutafuta kiki.

Press conference kumdanganya nani, aseme wazi aliondoka CCM sababu mianya ya kupiga ilizibwa, leo amerudi kwasababu wapiga dili wanaelekea kushika hatamu.

Wajinga tu watakao "pay" attention na hizo taarabu atakazoimba kesho.
 
Nyalandu anatafuta sifa kwa kuinanga Chadema, hopless sana, amekuwa kwenye siasa zaidi ya miaka ishirini hajajenga "reputation" leo analeta mambo ya kizamani kutafuta kiki.

Press conference kumdanganya nani, aseme wazi aliondoka CCM sababu mianya ya kupiga ilizibwa, leo amerudi kwasababu wapiga dili wanaelekea kushika hatamu.

Wajinga tu watakao "pay" attention na hizo taarabu atakazoimba kesho.
Hana mvuto na hajawahi kuwa na mvuto hata kidogo.
 
Nyalandu,Ulikuja vizuri take vizuri.
Kama Kuna mapungufu waambie viongozi wa Chadema watayafanyia kazi,lakini kuongea na redio utashusha heshima yako.
Kwa kukusaidia tu.
Kuna nguli walitoka Chadema sio wewe mpita njia usie na msimamo,mtu laini kabisa.

Alitoka Zitto,huyu ni nguli wa Siasa za Upinzani,na aliijenga Chadema.

Alitoka Wilbroad Sliaa huyu alikua nguli wa Siasa za Upinzani,na aliijenga Chadema,
Nguli wengine Ni

Kitila
Arfi
Mwigamba.

Vitoto vya nguli

Waitara
Shonza
Mwampamba
Mchage.
N.k
Wote hao waliijua Chadema nje ndani,wewe Ni mpita njia tu.
Ulitamani kuwa Mwenyekiti lakini ulikwama.
Na bahati nzuri wageni Kama wewe huwa mnaangaliwa kwa macho makini.

Udhaifu wa Chadema Ni mmoja tu,nao ndio udhaifu mkubwa kuliko udhaifu wowote ule.
Udhaifu wa Chadema Ni kunyimwa Uhuru wa kikatiba wa kufanya Siasa.

Hao CCM unaowaona hawana udhaifu Ni kwa sababu wameshika dola,leo CCM wakiondolewa madarakani litabaki Jina tu.

Kama unabisha waulize Wakenya KANU iko wapi?
Kusudio la kwanza la Nyalandu ilikuwa apewe uenyekiti ili iwe rahisi kwa jiwe kukimaliza maana Nyalandu hakuna mwadilifu na mtiifu kwa chama .
 
Nyalandu anatafuta sifa kwa kuinanga Chadema, hopless sana, amekuwa kwenye siasa zaidi ya miaka ishirini hajajenga "reputation" leo analeta mambo ya kizamani kutafuta kiki.

Press conference kumdanganya nani, aseme wazi aliondoka CCM sababu mianya ya kupiga ilizibwa, leo amerudi kwasababu wapiga dili wanaelekea kushika hatamu.

Wajinga tu watakao "pay" attention na hizo taarabu atakazoimba kesho.
Mimi kwanza hiyo TV station kwangu nilisha ifuta
 
Ukiondoa hao Nguli walioijenga Chadema PiA wapo wana CCM waliokua na Maguvu lakini wameondoka wao Chadema bado ipo.
Kwa sababu sioni mantiki ya kwenda Kusema mapungufu ya Chadema redioni hata kama yapo,badala ya kuwashauri viongozi wa Chadema warekebishe kwa sababu hujafukuzwa.
Unaweza ukatoka halafu ukaacha umeshauri.
Kwenda kuongea redioni Ni nia ovu.
Ulikuja vizuri ondoka vizuri.

Nakuhakikishia mbinu zote za kuiua Chadema zilishatumika,tena zilizoratibiwa kijasusi na majususi wabobevu huku wakipewa ufadhiri wa moja kwa moja kutoka kwa mwenykiti lakini mbinu hazikufua dafu na mwisho tukaona wakubwa wazima wanakimbia na mabox ya kura.
Kukimbia na mabox ya kura ilikua ni aibu ya Karne na ilikua na hovyohovyo baada ya Tundu Lisu kuwakimbiza mchakamchaka.
Kama Chadema ingekua dhaifu tusingeona wizi wa wazi wa mabox ya kura.
 
Sawa hana mvuto, hana lolote, hofu ya nini?, acheni aseme alichokusudia. Kumzuia ni kunyima haki na Uhuru wake binafsi. Hatuwezi kuimarisha demokrasia kwa kuiminya demokrasia. Acheni Nyalandu aseme alichopanga, wasikilizaji tutapima na kuamua kuyaamini au kuyapuuza.
 
Back
Top Bottom