lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Nyalandu ulikuja vizuri take vizuri.
Kama kuna mapungufu waambie viongozi wa CHADEMA watayafanyia kazi, lakini kuongea na redio utashusha heshima yako.
Kwa kukusaidia tu.
Kuna nguli walitoka CHADEMA sio wewe mpita njia usie na msimamo,mtu laini kabisa.
Alitoka Zitto, huyu ni nguli wa Siasa za Upinzani na aliijenga Chadema.
Alitoka Wilbroad Sliaa huyu alikuwa nguli wa siasa za Upinzani na aliijenga CHADEMA,
Nguli wengine Ni
Kitila
Arfi
Mwigamba.
Vitoto vya nguli
Waitara
Shonza
Mwampamba
Mchage.
N.k
Wote hao waliijua CHADEMA nje ndani,wewe Ni mpita njia tu.
Ulitamani kuwa Mwenyekiti lakini ulikwama.
Na bahati nzuri wageni Kama wewe huwa mnaangaliwa kwa macho makini.
Udhaifu wa CHADEMA ni mmoja tu, nao ndio udhaifu mkubwa kuliko udhaifu wowote ule.
Udhaifu wa CHADEMA Ni kunyimwa Uhuru wa kikatiba wa kufanya Siasa.
Hao CCM unaowaona hawana udhaifu Ni kwa sababu wameshika dola,leo CCM wakiondolewa madarakani litabaki Jina tu.
Kama unabisha waulize Wakenya KANU iko wapi?
Kama kuna mapungufu waambie viongozi wa CHADEMA watayafanyia kazi, lakini kuongea na redio utashusha heshima yako.
Kwa kukusaidia tu.
Kuna nguli walitoka CHADEMA sio wewe mpita njia usie na msimamo,mtu laini kabisa.
Alitoka Zitto, huyu ni nguli wa Siasa za Upinzani na aliijenga Chadema.
Alitoka Wilbroad Sliaa huyu alikuwa nguli wa siasa za Upinzani na aliijenga CHADEMA,
Nguli wengine Ni
Kitila
Arfi
Mwigamba.
Vitoto vya nguli
Waitara
Shonza
Mwampamba
Mchage.
N.k
Wote hao waliijua CHADEMA nje ndani,wewe Ni mpita njia tu.
Ulitamani kuwa Mwenyekiti lakini ulikwama.
Na bahati nzuri wageni Kama wewe huwa mnaangaliwa kwa macho makini.
Udhaifu wa CHADEMA ni mmoja tu, nao ndio udhaifu mkubwa kuliko udhaifu wowote ule.
Udhaifu wa CHADEMA Ni kunyimwa Uhuru wa kikatiba wa kufanya Siasa.
Hao CCM unaowaona hawana udhaifu Ni kwa sababu wameshika dola,leo CCM wakiondolewa madarakani litabaki Jina tu.
Kama unabisha waulize Wakenya KANU iko wapi?