Nyalandu ulikuja CHADEMA kwa hiari umeondoka kwa hiari. Kaa kimya kutunza heshima yako

Nyalandu ulikuja CHADEMA kwa hiari umeondoka kwa hiari. Kaa kimya kutunza heshima yako

Aangalie sana siasa za kuchafuana zisije zikamrudia mwenyewe. Angenyamaza nadhani Chadema wange heshimu maamuzi yake, lakini akianzisha mambo ya kuchafuana asije akamsababishia maumivu mkewe Faraja Kota anayeheshimika na kupendwa na jamii kama mfano bora, Maana naye aweza kuchafuliwa na tope.
Siasa za kuchafuana hazijali nani anapata maumivu.
SHAURI YAKE
 
Mimi siasa zangu ni mfuasi wa siasa za kumshabikia mtu/watu na sio chama,

Nimekuwa mshabiki wa Hayati JPM tokea akiwa waziri Hadi Uraisi mpaka ameondoka, na kiukweli, kuna vitu vingi Sana ambavyo nimejifunza kutoka Kwa JPM na vitanifaa Sana na kunifikisha mbali Sana ktk maisha yangu ya mbeleni,

Nikirudi katika siasa zetu hizi,
CCM bila Vyama imara vya Upinzani, wataigawana hii nchi, kila mmoja atajichukilia kipande chake na kujimilikisha

2015 kusingekuwa na Upinzani imara, JPM asingepatikana

Hivyo, mambo anayotaka kuyafanya huyu Nyalandu, akemewe na apingwe kila Kona ya nchi hii, emehama yatosha

Mimi siungi mkono tabia ya kuzibana midomo, aachwe aseme udhaifu wote wa cdm ili atoe nafasi ya kujirekebisha kwenye mapungufu. Akizibwa midomo atakuwa anaitishia cdm kuwa nini siri zenu hivyo kaeni kimya la sivyo nitaziweka hadharani. Akisema ukweli ama uongo sisi ni watu wazima na tunaweza kupima huo ukweli wake.
 
Mbowe alimuamini akampa na uenyekiti wa kanda, kubwa zaidi akapewa na form ya urais
Mbowe ndio anagawa uenyekiti wa kanda? Hayo mambo ya mwendazake anayegawa hadi ubunge usituletee huku
 
Mbowe ndio anagawa uenyekiti wa kanda? Hayo mambo ya mwendazake anayegawa hadi ubunge usituletee huku
Sasa wewe ni kidagaa tu pale ufipa utajua nini?

Kwa taarifa yako Mbowe ndio kila kitu, akisema pale weka huyu, pale toa yule mpleke kule na umlete yule, hakuna wa kumpinga.
 
Nyalandu ulikuja vizuri take vizuri.
Kama kuna mapungufu waambie viongozi wa CHADEMA watayafanyia kazi, lakini kuongea na redio utashusha heshima yako.
Kwa kukusaidia tu.
Kuna nguli walitoka CHADEMA sio wewe mpita njia usie na msimamo,mtu laini kabisa.

Alitoka Zitto, huyu ni nguli wa Siasa za Upinzani na aliijenga Chadema.

Alitoka Wilbroad Sliaa huyu alikuwa nguli wa siasa za Upinzani na aliijenga CHADEMA,

Nguli wengine Ni
Kitila
Arfi
Mwigamba.

Vitoto vya nguli
Waitara
Shonza
Mwampamba
Mchage.
N.k

Wote hao waliijua CHADEMA nje ndani,wewe Ni mpita njia tu.
Ulitamani kuwa Mwenyekiti lakini ulikwama.

Na bahati nzuri wageni Kama wewe huwa mnaangaliwa kwa macho makini.

Udhaifu wa CHADEMA ni mmoja tu, nao ndio udhaifu mkubwa kuliko udhaifu wowote ule.

Udhaifu wa CHADEMA Ni kunyimwa Uhuru wa kikatiba wa kufanya Siasa.

Hao CCM unaowaona hawana udhaifu Ni kwa sababu wameshika dola,leo CCM wakiondolewa madarakani litabaki Jina tu.

Kama unabisha waulize Wakenya KANU iko wapi?
Moja kati ya masharti wanayopewa hawa jamaa kabla ya kupokelewa tena CCM ni kuinyea CDM, kwamba kila anayeondoka ni lazima afanye press kuisema CDM iwe kwa urongo ama kwa ukweli....

Ulimwoa mkeo ama uliolewa na mumeo kwa hiari yako, umeamua kuvunja ndoa basi ondoka kwa amani - sasa hayo mapugufu ya chumbani ukituambia sisi yanatusaidia nini? Na kama unaona huwezi kuyavumilia basi mtafute huyo mtalaka wako umweleze huenda yakamsaidia ili akipata mwingine ajirekebishe.

Kila taasisi hapa duniani ina mapungufu yake, hata hao CCM kuna mapungufu tena ni mengi mno mno - kwa hiyo huyu bwana anachofanya ni kujaribu kutumika kuivuruga CDM ila hawezi kufanikiwa. Kama kura zilitimia kwenye kamati kuu kuomba kuteuliwa kugombea Urais lakini jina halikupita cha ajabu ni nini? Mbona ndani ya CCM kuna wagombea kura huwa zinatimia ila majina yao yanapotelea hewani? Mzee wa Tingatinga mnakumbuka yaliyomkuta wakati anaomba ridhaa ya CCM kugombea urais? Mfanyieni press mumuulilize jina lake lilipotelea wapi?

Mzee Nyarandu huna pointi, ungebakia kimya ungeonekana mwanasiasa makini.
 
Mwache ateme nyongo!
Anajidhalilisha tu. Angejikalia kimya tu kama alivyofanya Mzee Lowasa. Nakumbuka Lowasa alisema maneno mawili tu,'nimerudi nyumbani', na toka arudi nyumbani sijawahi kuwasikia Chadema wakimnenea mabaya. Nyalandu kuendelea kuiponda Chadema anakaribisha malumbano yatakayommalizia hata hako kaheshima kadogo alikopewa juzi wakati anapokelewa. Kwa sababu kashfa zake zote zilitokea huko huko CCM,hivyo asijione yuko salama kabisa huko.
 
Nyalandu ulikuja vizuri take vizuri.
Kama kuna mapungufu waambie viongozi wa CHADEMA watayafanyia kazi, lakini kuongea na redio utashusha heshima yako.
Kwa kukusaidia tu.
Kuna nguli walitoka CHADEMA sio wewe mpita njia usie na msimamo,mtu laini kabisa.

Alitoka Zitto, huyu ni nguli wa Siasa za Upinzani na aliijenga Chadema.

Alitoka Wilbroad Sliaa huyu alikuwa nguli wa siasa za Upinzani na aliijenga CHADEMA,

Nguli wengine Ni
Kitila
Arfi
Mwigamba.

Vitoto vya nguli
Waitara
Shonza
Mwampamba
Mchage.
N.k

Wote hao waliijua CHADEMA nje ndani,wewe Ni mpita njia tu.
Ulitamani kuwa Mwenyekiti lakini ulikwama.

Na bahati nzuri wageni Kama wewe huwa mnaangaliwa kwa macho makini.

Udhaifu wa CHADEMA ni mmoja tu, nao ndio udhaifu mkubwa kuliko udhaifu wowote ule.

Udhaifu wa CHADEMA Ni kunyimwa Uhuru wa kikatiba wa kufanya Siasa.

Hao CCM unaowaona hawana udhaifu Ni kwa sababu wameshika dola,leo CCM wakiondolewa madarakani litabaki Jina tu.

Kama unabisha waulize Wakenya KANU iko wapi?
Ni kweli akiwa mtu msomi na mzoefu kwenye siasa ni wazi alifanya utafiti kabla kuingia upinzani anataka kutuambia kuondoka CCM ilikuwa lazima aende Chadema tu mbona wapo waliopinga utawala wa Magufuri na hawakuhamia vyama vingine Kama Prof. Mwandosya.
 
Nyalandu ulikuja vizuri take vizuri.
Kama kuna mapungufu waambie viongozi wa CHADEMA watayafanyia kazi, lakini kuongea na redio utashusha heshima yako.
Kwa kukusaidia tu.
Kuna nguli walitoka CHADEMA sio wewe mpita njia usie na msimamo,mtu laini kabisa.

Alitoka Zitto, huyu ni nguli wa Siasa za Upinzani na aliijenga Chadema.

Alitoka Wilbroad Sliaa huyu alikuwa nguli wa siasa za Upinzani na aliijenga CHADEMA,

Nguli wengine Ni
Kitila
Arfi
Mwigamba.

Vitoto vya nguli
Waitara
Shonza
Mwampamba
Mchage.
N.k

Wote hao waliijua CHADEMA nje ndani,wewe Ni mpita njia tu.
Ulitamani kuwa Mwenyekiti lakini ulikwama.

Na bahati nzuri wageni Kama wewe huwa mnaangaliwa kwa macho makini.

Udhaifu wa CHADEMA ni mmoja tu, nao ndio udhaifu mkubwa kuliko udhaifu wowote ule.

Udhaifu wa CHADEMA Ni kunyimwa Uhuru wa kikatiba wa kufanya Siasa.

Hao CCM unaowaona hawana udhaifu Ni kwa sababu wameshika dola,leo CCM wakiondolewa madarakani litabaki Jina tu.

Kama unabisha waulize Wakenya KANU iko wapi?
UMEANDUIKA KWA UREEEFUUUU KUMBE UJINGA MTUPU UNAANDIKA WACHA AWAUMBUE WASHENZI NYIE CHADEMA
 
Nyalandu ulikuja vizuri take vizuri.
Kama kuna mapungufu waambie viongozi wa CHADEMA watayafanyia kazi, lakini kuongea na redio utashusha heshima yako.
Kwa kukusaidia tu.
Kuna nguli walitoka CHADEMA sio wewe mpita njia usie na msimamo,mtu laini kabisa.

Alitoka Zitto, huyu ni nguli wa Siasa za Upinzani na aliijenga Chadema.

Alitoka Wilbroad Sliaa huyu alikuwa nguli wa siasa za Upinzani na aliijenga CHADEMA,

Nguli wengine Ni
Kitila
Arfi
Mwigamba.

Vitoto vya nguli
Waitara
Shonza
Mwampamba
Mchage.
N.k

Wote hao waliijua CHADEMA nje ndani,wewe Ni mpita njia tu.
Ulitamani kuwa Mwenyekiti lakini ulikwama.

Na bahati nzuri wageni Kama wewe huwa mnaangaliwa kwa macho makini.

Udhaifu wa CHADEMA ni mmoja tu, nao ndio udhaifu mkubwa kuliko udhaifu wowote ule.

Udhaifu wa CHADEMA Ni kunyimwa Uhuru wa kikatiba wa kufanya Siasa.

Hao CCM unaowaona hawana udhaifu Ni kwa sababu wameshika dola,leo CCM wakiondolewa madarakani litabaki Jina tu.

Kama unabisha waulize Wakenya KANU iko wapi?
Mkubwa naona unalalamika kweli na inaonekana umeumia mno! Ebu chukua K Vant ndogo upunguze machungu. Ntakuja kulipa!!!
 
Mimi siungi mkono tabia ya kuzibana midomo, aachwe aseme udhaifu wote wa cdm ili atoe nafasi ya kujirekebisha kwenye mapungufu. Akizibwa midomo atakuwa anaitishia cdm kuwa nini siri zenu hivyo kaeni kimya la sivyo nitaziweka hadharani. Akisema ukweli ama uongo sisi ni watu wazima na tunaweza kupima huo ukweli wake.
Pamoja na kwamba watu wanatakiwa kuachwa waseme ila mimi naamini kama nia ni kusema kwa lengo zuri jambo jema ni kusema ndani ya ofisi husika.Ukitoka nje alafu ndo ukaanza kusema mapungufu mwenye akili atakuona hujielewi.Ata hivyo cdm wanaweza kumkalia tu kimya mwishoni atasahaulika kama wengine na chama kitaendelea kuwepo.
 
Nyalandu ulikuja vizuri take vizuri.
Kama kuna mapungufu waambie viongozi wa CHADEMA watayafanyia kazi, lakini kuongea na redio utashusha heshima yako.
Kwa kukusaidia tu.
Kuna nguli walitoka CHADEMA sio wewe mpita njia usie na msimamo,mtu laini kabisa.

Alitoka Zitto, huyu ni nguli wa Siasa za Upinzani na aliijenga Chadema.

Alitoka Wilbroad Sliaa huyu alikuwa nguli wa siasa za Upinzani na aliijenga CHADEMA,

Nguli wengine Ni
Kitila
Arfi
Mwigamba.

Vitoto vya nguli
Waitara
Shonza
Mwampamba
Mchage.
N.k

Wote hao waliijua CHADEMA nje ndani,wewe Ni mpita njia tu.
Ulitamani kuwa Mwenyekiti lakini ulikwama.

Na bahati nzuri wageni Kama wewe huwa mnaangaliwa kwa macho makini.

Udhaifu wa CHADEMA ni mmoja tu, nao ndio udhaifu mkubwa kuliko udhaifu wowote ule.

Udhaifu wa CHADEMA Ni kunyimwa Uhuru wa kikatiba wa kufanya Siasa.

Hao CCM unaowaona hawana udhaifu Ni kwa sababu wameshika dola,leo CCM wakiondolewa madarakani litabaki Jina tu.

Kama unabisha waulize Wakenya KANU iko wapi?
Mkuu,

Kwanza natangaza maslahi mie sio mwanachama wa chama cha siasa chochote ijapokuwa hapo mwanzo kabla hujajiunga chuo kikuu ili ni sharti uwe mwana chama wa chama cha siasa na kwa wakati wangu ilikuwa ni CCM (1983-1989).

*Jeshini poa kulikuwa na kipindi cha mafunzo ya elimu ya siasa na uzalendo kwa manufaa ya taifa

Uliyosema yote ni sahihi kasoro tu kulinganisha KANU na CCM hapo umejibamiza mwenyewe kwenye kichwa ama kwa kujua au la.

Endapo utaing'oa CCM leo madarakani kama unavyojisemea na kutarajia moyoni sio kwa sauti basi tegemea upinzani usio na mfano wowote duniani na hautamaliza ngwe yako ya utwala maana wanafitina kuzidi UMAFIA unaosimuliwa kuwepo. Wamejikita mahali pote kwa sura tofauti (Bungeni, Mahalamani, Jeshini wana makada, Polisi wana makada, Magereza wana makada, Vyuo vya serikali, taasisi za serikali na umma, usalama wa taifa, Benki kuu, sekta ya usafirishaji na mawasiliano, makampuni binafsi, kwenye vyama pinzani, taasisi zisizo za kiserikali nk)

Wanauwezo wa kujiua wenyewe ukafikiri kuna adui katoka nje kumbe wapi!!!!

Wanauwezo wakuwabadilisha wapinzani wakaanza kuimba ngojera zao ama kwa kujua, kupumbazwa au hisani na wakaufuata upepo huo na kushtuka tayari kumekucha, lakini waliopotoshwa hawapewi pole ya kulaghai ili wafanikishe matakwa yao.

Ukweli nilioandika unasadifu aina ya uongozi uliosimikwa kwa mahitaji, sababu na wakati MAALUM
1. Awamu ya kwanza-Kambarage, Julius Nyerere Burito (Kuzaliwa tar 13th April 1922 huko kijiji cha Butiama, Musoma Mara)- Waziri mkuu 1960-1961 akajiuzulu na kumwachia Rashid Mfaume kawawa; Rais kuanzia 1962-1985 (23yrs)-Mwalimu kwa taaluma
2. Awamu ya pili-Ali Hassan Mwinyi (Kuzaliwa tar 8th May 1925 huko kijiji cha Kivule, Kisarawe, kabla eneo hilo halijaganywa kwenye wilaya tatu za sasa yaani , Kiasarawe, Mkuranga na Ilala). Wazazi wake walihami Unguja kati ya maeneo ya Mangapwani na Dole miaka 1930. Ni mwalimu kwa taaluma (Rais kati ya 1985-1995) 10yrs
3. Awamu ya tatu-Benjamin William Mkapa (Kuzaliwa tar 12th Novemba 1933 huko kijiji cha Lupasso, Masasi Mtwara. Ni mwana habari na mwana diplomasia mbobevu-Rais kuanzia 1995-2005 (10 yrs)
4. Awamu ya nne-Jakaya Halfani Mrisho Kikwete (Kuzaliwa tar 7th Oktoba 1950 huko kijiji cha Msoga, Tarafa ya Lugoba-Chalinze-Pwani. Urais kuanzia 2005-2015; kwa taaluma ni mchumi na mwanadiplomasia; (10 yrs)
5. Awamu ya tano-Dk John Pombe Joseph Magufuli (Kuzaliwa tar 29th Oktoba 1959 huko kijiji cha Rubambangwe, Chato-Biharamulo Mashariki (kwa sasa Geita).Urais kuanzia 2015- Machi 2021 (alifariki tar 17th Machi 2021). Kitaaluma ni mwalimu na mkemia (5yrs & 5 months)
6. Awamu ya sita-Samia Suluhu Hassan (Kuzaliwa tar 27th Januari 1960 huko Makunduchi, Unguja Zanzibar. Makamu wa Rais kuanzia 2015-Machi 2021; Rais kuanzia 19 Machi 2021 hadi sasa. Kitaaluma ni mchumi na mdau wa maendeleo

CCM in sura za kipinzani, harakati na taasisi ya kisiasa komavu wakicheza mchezo kwa kutazama mvumo wa upepo wa kisiasa, kijamii, kiusalama na kiuchumi. Ndio maana anaweza akaingia kiongozi huyo na mtindo wa kipinzani kabisa au wakishikaji nk lakini lengo ni moja la kuwalaghai wapinzani ili kufanikisha ajenda ya taasisi yao. Kama hili kulijui basi jifunze kuwatambua kuanzia leo wale ni zaidi ya kinyonga hivyo ni ngumu kuwang'oa hata kama utaleta tume huru (sijui itakuwa ya malaika kutoka mbingu ya saba ambako hakuna kada alipandikizwa kujifanya ni mpinzani), katiba mpya, mabadiliko ya sheria, kuondoa kinga ya kushitakiwa rais, makamu wa rais, waziri mkuu, spika wa bunge na mwanasheria mkuu wa serikali ni kazi bure.

Nikiwa akili timamu nimeandika hayo hapo juu yaweke kwenye kumbukumbu kisha anza zoezi kufanikisha mojawapo kama utafanikiwa-NEVER!!!
 
Pamoja na kwamba watu wanatakiwa kuachwa waseme ila mimi naamini kama nia ni kusema kwa lengo zuri jambo jema ni kusema ndani ya ofisi husika.Ukitoka nje alafu ndo ukaanza kusema mapungufu mwenye akili atakuona hujielewi.Ata hivyo cdm wanaweza kumkalia tu kimya mwishoni atasahaulika kama wengine na chama kitaendelea kuwepo.

Yap, nataka aachwe aseme na asijibiwe na kiongozi yoyote asije kupata kick ya bure. Kimsingi hana mvuto wala impact yoyote ndani ya cdm.
 
chadema NI kama UTOPOLO.
Wao kila siku wanajisifia NI mabingwa wa kihistoria.
Huku wenzao wakisonga mbele.na kuchukua makombe.
 
Nyalandu ulikuja vizuri take vizuri.
Kama kuna mapungufu waambie viongozi wa CHADEMA watayafanyia kazi, lakini kuongea na redio utashusha heshima yako.
Kwa kukusaidia tu.
Kuna nguli walitoka CHADEMA sio wewe mpita njia usie na msimamo,mtu laini kabisa.

Alitoka Zitto, huyu ni nguli wa Siasa za Upinzani na aliijenga Chadema.

Alitoka Wilbroad Sliaa huyu alikuwa nguli wa siasa za Upinzani na aliijenga CHADEMA,

Nguli wengine Ni
Kitila
Arfi
Mwigamba.

Vitoto vya nguli
Waitara
Shonza
Mwampamba
Mchage.
N.k

Wote hao waliijua CHADEMA nje ndani,wewe Ni mpita njia tu.
Ulitamani kuwa Mwenyekiti lakini ulikwama.

Na bahati nzuri wageni Kama wewe huwa mnaangaliwa kwa macho makini.

Udhaifu wa CHADEMA ni mmoja tu, nao ndio udhaifu mkubwa kuliko udhaifu wowote ule.

Udhaifu wa CHADEMA Ni kunyimwa Uhuru wa kikatiba wa kufanya Siasa.

Hao CCM unaowaona hawana udhaifu Ni kwa sababu wameshika dola,leo CCM wakiondolewa madarakani litabaki Jina tu.

Kama unabisha waulize Wakenya KANU iko wapi?
Alikuja na stress kibao na bila kuwa chadema dishi lingeyumba, manake wenzie walimfanyia kitu mbaya na walitaka kumfunga sasa aliyemtishia hayupo na ile hatari haioni tena mwacheniatomboke tu.
 
Kama huo ndiyo udhaifu pekee wa chadema, sasa wewe una wasiwasi gani mpaka umzuie kuongea? Akitoka mtu ccm mnataka wawe na uhuru wa kusema, akitoka mtu chadema hamtaki waseme, huo uhuru unaenda wapi?
Huo nao ni udhaifu wa chadema.
Nikua namtahadharisha tu.
Yeye alisema ataongea na redio iko aseme madhaifu ya chadema,
Sasa Kama alijua Ana Nia njema mbona hakuyasema Alipokua ndani ya chadema?
Madhara yake ni kwamba Wanachadema nao watamjubu,na wakimjibu wataeleza madhaifu yake.
Awe tayari kwa Hili.
 
Kama ana take advantage ya CHADEMA kunyimwa fursa kwenda kwa wananchi,yuko salama,vinginevyo wakipewa fursa hiyo watamfanya kitu mbaya,hajawa na hayuko msafi kabisa....
Hapo ndipo nawashagaaga CCM,
MwanaCCM yoyote anaweza kwenda redio yoyote au Tv yoyote na kuwasema wapinzani hasa Chadema ambao hakuna chombo chochote Cha habari ninaweza kuwaruhusu kujibu au kuwasema CCM.
 
Back
Top Bottom