Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,233
- 8,022
mean utumbo maana ndo wakaa ndaniNyama ya ndani.
Nimezungumza kiutafiti na sio ki ujumla.Utamu wa nyama au chakuka upo kwako mwenyewe mkuu,
mfano , usifikiri watu wote wanapata ladha tamu ya nyama ya kuku, au ng'ombe, nk , wewe ukiona hiki kitamu , mi naona kile kitamu , ndio hivyo mambo yalivyo mkuu
www.zeutamu.comUtamu wa kitu u ndani mwa mtu
.....Unawaza ngono tuuuK.... tu
Mkuu preza ni noma aiseeNaomba nijulishwe. Maana wapo wanaosema kuku, wengine bata, na wengine husema ngamia na kitimoto
[emoji91] [emoji106] Nakembetwa hii ndiyo kweli kabisaNyama ya ulimi