Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,768
- 3,622
- Thread starter
- #21
darasa zuri.
hivi kweli prawns ni haramu?
sawa na alivyo nguruwe?
Kwa kweli sijawahi kusikia kama prawns ni haramu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
darasa zuri.
hivi kweli prawns ni haramu?
sawa na alivyo nguruwe?
darasa zuri.
hivi kweli prawns ni haramu?
sawa na alivyo nguruwe?
napenda sana hawa samaki asante kwa somo zuri
asante sanaaaaaaaaaaaaaaaKaribu sana.
Haramu yakhee, usiguse wala kula
kuna siku nlibeba kwa mbwembwe ile nimetenga tu nikasikia astaghfiruulah kadhaa .
nnakaribia miezi sijapata French kiss Aisee.
samaki wa foil namchomaje katika jiko la mkaa?
Mhhh sijawahi kusikia hii habari mbona mi nawala sana tu!!Na kwann wawe haramu?darasa zuri.
hivi kweli prawns ni haramu?
sawa na alivyo nguruwe?
kwa mujibu wa nani?Haramu yakhee, usiguse wala kula
mtume Muhammad s.a.w alipoulizwa hukusu maji ya bahari kama yafaa kuchukulia udhu alisema " maji ya bahari ni twahara na viumbe vyake (vilivyofia ndani ya maji) pia ni twahara(halal kwa kuliwa)"darasa zuri.
hivi kweli prawns ni haramu?
sawa na alivyo nguruwe?
Unachoma kama hivi:
![]()
Tofauti hapo itakuwa ni kwenye nyama unayoichoma. Wewe utakuwa unachoma samaki ambaye yumo ndani ys foil na sio iliyo uchi uchi kama hiyo inayoonekana kwenye picha.
Shukrani sana