ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Si njaa. Its our lovely culture.Kijiji Cha mtakilachawa masasi njia ya newala wamenishangaza Sana asee yaani huku wanyama wa ajabuajabu huwaoni kuanzia paka,mbwa wanaliwa vibaya mno juzi watu wamemlamba kenge Sasa huu uchu unasababishwa na nini ni njaa tu au yaani watu kufikia Kula punda ama nyani ama panya
hilo ni jina la mwana jf mwenzetuNyama ya kenge!! Hapana aisee
Yaweza kuwa huko wamewahi kuishi na watchina pamoja na wakoreaKijiji Cha mtakilachawa masasi njia ya newala wamenishangaza Sana asee yaani huku wanyama wa ajabuajabu huwaoni kuanzia paka,mbwa wanaliwa vibaya mno juzi watu wamemlamba kenge Sasa huu uchu unasababishwa na nini ni njaa tu au yaani watu kufikia Kula punda ama nyani ama panya
Jidanganye. Au labda utujuze tofauti yao ni ipi kwa kuwatazama,na madhara ya kula hao wa majiKenge wanaoliwa ni kenge wa nchi kavu, wanaitwa mburu.
Kenge maji haliwi.
Punda hana noma.Kijiji Cha mtakilachawa masasi njia ya newala wamenishangaza Sana asee yaani huku wanyama wa ajabuajabu huwaoni kuanzia paka,mbwa wanaliwa vibaya mno juzi watu wamemlamba kenge Sasa huu uchu unasababishwa na nini ni njaa tu au yaani watu kufikia Kula punda ama nyani ama panya
na ukijaribu tu kula kenge ...huachi...utaendelea kula daimaNyama ya kenge!! Hapana aisee
Na ule ugumu? Anaivaga kweli? Labda kama ulikula kitoto chakePunda hana noma.
na ule mtarimbo wAke mnakulaga?Punda hana noma.
Hiyo Busta.na ule mtarimbo wAke mnakulaga?