Nyama ya kenge

Nyama ya kenge

Kenge ni white meat kama samaki, nyoka n.k ! Nzuri sana !

Tatzo ni jamiii na kukaririshwa tu !

Karibia viumbe vyote vinaliwa, tatizo ni ulikulia/unishi Jamii gani ?
 
Nimekula panya (sio wa nyumbani), ngedere, paka pori anayekula kuku, mapaja ya bundi lakini kenge hapana aisee. Harufu yake sikuipenda. Sema ukiondoa kichwa anakuwa kama samaki na ule mfupa wa kati kabisa.
 
Kijiji Cha mtakilachawa masasi njia ya newala wamenishangaza Sana asee yaani huku wanyama wa ajabuajabu huwaoni kuanzia paka, mbwa wanaliwa vibaya mno juzi watu wamemlamba kenge.

Sasa huu uchu unasababishwa na nini ni njaa tu au yaani watu kufikia Kula punda ama nyani ama panya
Chura
Mamba
Nyoka
Boko
Konokono
Panya
Digidigi
Ng'ombe pori aka Nyati

Hakuna kisicholiwa...
 
Nimekula panya (sio wa nyumbani), ngedere, paka pori anayekula kuku, mapaja ya bundi lakini kenge hapana aisee. Harufu yake sikuipenda. Sema ukiondoa kichwa anakuwa kama samaki na ule mfupa wa kati kabisa.
Utakuwa mmakonde mkuu au toka kusini
 
kenge hapana aisee.
Kenge pori yule mwenye mashavu km anapuliza moto
Panyabuku
Paka pori mla kuku huyu ana sura ya Chita au Duma msumbufu ukimkuta bandani anaruka Banda zima Ila ni mbaya akikuotea umekwisha anakimbilia kwenye mapumbu
 
Mkuu ndege JOHN hakuna mnyama ambaye haliwi. Suala ni mnyama yupi analiwa na nani. Ukifika Nigeria au kwa wanaopakana na mbuga/misitu ndiyo utathibitisha ninachokwambia.

Kenge hata uzaramoni analiwa vizuri tu. Anajulikana kama mburu. Huko Mtwara wanaliwa panyapori, vyura wakubwa wanjano na kadhalika. Mbwa huliwa kimila uheheni, ubenani na uluguruni.

Sisi wangoni tunakula panyapori tunaowaita mbewa na wadudu wa aina mbalimbali. Upareni wanakula kobe na mayai yake; kilombero huko na kwawahadzabe wanaliwa ngedere na nyani na kadhalika na kadhalika.
🤮🤮🤮
 
2019 nilikula nyama ya fisi sheikh nilikua mwenyewe nilimchinja tukachuna ngozi chap tukakata miguu na ile kichwa tukaenda kufukia mbali

Tukala nyama choma saafi huku tunavuta picha ya mbuzi
 
2019 nilikula nyama ya fisi sheikh nilikua mwenyewe nilimchinja tukachuna ngozi chap kata miguu tukaenda kufukia mbali

Tukala nyama choma saafi huku tunavuta picha ya mbuzi
Mla mizoga ukiambiwa ule pig ooh Mimi ustadh
 
2019 nilikula nyama ya fisi sheikh nilikua mwenyewe nilimchinja tukachuna ngozi chap tukakata miguu na ile kichwa tukaenda kufukia mbali

Tukala nyama choma saafi huku tunavuta picha ya mbuzi
Mkuu fisi yule mwenye miguu mifupi? Aisee😀😀
 
Mkuu fisi yule mwenye miguu mifupi? Aisee😀😀
Huyohuyo fisi A.k.A mzee wa kazi huyu hapa
0fgjhs2r3libuu3fqg.jpg
 
Back
Top Bottom