kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 3,607
- 9,430
Jamii ya mijusi huwa na nyama tamu sana, hufanana na samaki kwa mbali, pia nyama yao hunyambuka inapokuwa imeiva vizuri kwa moto mdogo same to mamba ni mtamu hatari, Kenya is a common meat!Nyama ya kenge!! Hapana aisee
ChuraKijiji Cha mtakilachawa masasi njia ya newala wamenishangaza Sana asee yaani huku wanyama wa ajabuajabu huwaoni kuanzia paka, mbwa wanaliwa vibaya mno juzi watu wamemlamba kenge.
Sasa huu uchu unasababishwa na nini ni njaa tu au yaani watu kufikia Kula punda ama nyani ama panya
Kwa kina fulani huko Masasi njia ya Newala simtaji na jina hachelewi ku:mindPunda kama habebi mizigo/ kulima ni laini kama kitimoto.
Utakuwa mmakonde mkuu au toka kusiniNimekula panya (sio wa nyumbani), ngedere, paka pori anayekula kuku, mapaja ya bundi lakini kenge hapana aisee. Harufu yake sikuipenda. Sema ukiondoa kichwa anakuwa kama samaki na ule mfupa wa kati kabisa.
Kenge pori yule mwenye mashavu km anapuliza motokenge hapana aisee.
🤮🤮🤮Mkuu ndege JOHN hakuna mnyama ambaye haliwi. Suala ni mnyama yupi analiwa na nani. Ukifika Nigeria au kwa wanaopakana na mbuga/misitu ndiyo utathibitisha ninachokwambia.
Kenge hata uzaramoni analiwa vizuri tu. Anajulikana kama mburu. Huko Mtwara wanaliwa panyapori, vyura wakubwa wanjano na kadhalika. Mbwa huliwa kimila uheheni, ubenani na uluguruni.
Sisi wangoni tunakula panyapori tunaowaita mbewa na wadudu wa aina mbalimbali. Upareni wanakula kobe na mayai yake; kilombero huko na kwawahadzabe wanaliwa ngedere na nyani na kadhalika na kadhalika.
Ni kwetu. Najivunia!Kwa kina fulani huko Masasi njia ya Newala simtaji na jina hachelewi ku:mind
Popo anakaangwa na macho kakodoa km SamakiKila mnyama aliwa yakhe
Bundi ana banikwa km kuku
Mnakula kengemajiNi kwetu. Najivunia!
Mla mizoga ukiambiwa ule pig ooh Mimi ustadh2019 nilikula nyama ya fisi sheikh nilikua mwenyewe nilimchinja tukachuna ngozi chap kata miguu tukaenda kufukia mbali
Tukala nyama choma saafi huku tunavuta picha ya mbuzi
Kuwa makini usije ukageuka kitoweo pia😀Aisee!!
Fisi ni halali katika uislam.Mla mizoga ukiambiwa ule pig ooh Mimi ustadh
Mkuu fisi yule mwenye miguu mifupi? Aisee😀😀2019 nilikula nyama ya fisi sheikh nilikua mwenyewe nilimchinja tukachuna ngozi chap tukakata miguu na ile kichwa tukaenda kufukia mbali
Tukala nyama choma saafi huku tunavuta picha ya mbuzi
Huyohuyo fisi A.k.A mzee wa kazi huyu hapaMkuu fisi yule mwenye miguu mifupi? Aisee😀😀
Kwa hio utamu wa fisi unazidi wa pigFisi ni halali katika uislam.
Usimfananishe fisi na Nguruwe, yaani usirudie kumfananisha fisi na vitu vya kijinga
Sijawahi kula pig ila kilicho halali ni kitam kuliko kilicho haram kwahiyo fisi ni mtamu zaidi.Kwa hio utamu wa fisi unazidi wa pig