zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maxence Melo nyuzi hizi zinaachwa kwa maslahi ya nani?
Kwa hiyo bwashee una maana hao wakristo waliofunga ndiyo wateja wakubwa wa kitimoto?Ni wazi kwamba kipindi hiki cha Mfungo wa Ramadhani biashara ya kitimoto imedorora. Jana na leo bucha nyingi hazina wateja kabisa, nyama zimenin'g'inia tu bila mnunuzi. Hali hii inatufanya sisi wenye mabucha ya kitimoto kuumia sana, maana hakuna mzunguko wa pesa.
Bucha yangu ipo hoi! Kawaida, mida hii ningekuwa na pilikapilika nyingi kuhudumia wateja, lakini sasa niko tu nimekaa nikitazama nyama ikipoteza ule mvuto wake.
Hivi karibuni nitafikiria mbadala wa biashara, labda nichinje mbuzi au kuku ili angalau nipate kipato kidogo. Lakini ukweli ni kwamba, kwa sisi wafanyabiashara wa kitimoto, Ramadhani ni kipindi cha uvumilivu na maombi.
🤣🤣Mufti kuku The Infinity mla kitimoto
Watu wanapenda roast maini ya kitimoto sasa hivi wapo kwenye mfungoKitimoto ingekuwa inaliwa kama ng'ombe; huyo mnyama angekuwa ametoweka.
Ina ukweli sio wakati mzuri wa biashara ya mdudu kwa sasa.Mhm .. Sijafanya utafiti inaweza ikawa kweli ama la
😀😀😀Wallah Shaban amepumzika kula kitimoto
GegedoWamefunga siku 30